Mke wangu ananikera anataka attention yangu kila saa

Mke wangu ananikera anataka attention yangu kila saa

kwa hiyo unataka kuweka term and conditions za kupendwa. Yaani unampangia mtu njia za kukuonesha upendo, sio fair

naelewa upendo kila mtu anaupenda ila attachment huwa ni tatizo ila si kwa kiwango ulichofikia. Inachoonekana huyo mwanamke anakupenda kuliko unavyompenda maana toka mwanzo wa post hadi mwisho sijaona sehemu yoyote uliyoonesha affection kwake

Usimuone fala au mjinga na usidhani kila unapompa negative reaction haumii. Anaumia sana ila since anakupenda anamezea na kukuoneshea tabasamu bila hata kukuropokea chochote..siku ukiyaona mabadiliko unayoyatamani bhasi ndio ufa kwenye ndoa yenu umeanza

all the best
Nampenda ila am not that kind of person wa ku-showoff ningekua cmpendi nisinge zaa nae hao watoto wote na pia nisingekua na mjali ningekua nimesha mtoa ila anani kera sipendi kufugwa kama mnyama
 
Wakati pekee Mwanaume hutaka kuwa karibu na mwanamke ni ule wakati wa kumchakata tu.
Sasa wakati unafikiria mambo ya maisha yeye anakuja kuning’inia shingoni!
Mkuu tenga kona yako hapo nyumbani, kochi au chumba kabisa. Ukiwa hapo weka sura ya mbuzi, Mjengee utamaduni kwamba ukikaa hapo asisogee karibu.
Hata wahenga walikuwa na “kiti cha baba”
 
Nampenda ila am not that kind of person wa ku-showoff ningekua cmpendi nisinge zaa nae hao watoto wote na pia nisingekua na mjali ningekua nimesha mtoa ila anani kera sipendi kufugwa kama mnyama
mkuu swala la ndoa ndo kufugana,
me naona situation yako haiko critical ujue kuna wengine ni too much sema ndo uvumilivu ....

Cha muhimu mwambie kwa ukali aone uko serious ,lkn unaweza kukuta anapigapiga simu kwako ajue kama hauchepuki na watu wa ofisi kwamaana ukiwa kweny mamb yetu yale simu huwa zinazimwa kwahyo she feels insecure maybe

N:B watanzania maisha yamekuwa ya ghali sana zaidi ya South Africa saa hv

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Aisee hadi nakuonea wivu et. Huyo ndio mke sasa tena miaka 11 ya ndoa lakin bado tu ana moyo wa hvyo, wenzio wanateseka sahih ndan watu wanapishana kama hawajuani et
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mie nina misimamo yangu na pia na tambua majukumu yangu nikifikia hatua tunapishana ndani ya nyumba atusemeshani ni hatari, siwezi kudumu hata mwezi on earth we live once kwanini niteseke na mtu?
 
mtafutiemchepuko ahamishie attention huko wala hutaiona hiyo kero tena
Siwezi wake wawili na value my prime time kiliko mchepuko, I need to rest and meditate wana wake ni wale wale.
 
Nampenda ila am not that kind of person wa ku-showoff ningekua cmpendi nisinge zaa nae hao watoto wote na pia nisingekua na mjali ningekua nimesha mtoa ila anani kera sipendi kufugwa kama mnyama
Okeey kuzaa na mtu au kumjali kama mama watoto wako haina connection yoyote na kumpenda

unaweza ukawa umemzoea au kumkubali mtu kwa alivyo na kuhisi uwepesi wa wewe kuishi nae lakini usimpende. It's possible sababu upendo ni matters of emotions and affections, watu wengi tu wanaishi na wake zao for years lakini upendo haupo

tufanye nimekuelewa

sasa utadeal nae vipi apunguze attachment na wewe pasipo kupunguza kiwango cha upendo juu yako

kumbuka mtu akikupenda anakuwa delicate kwa matendo yako, dissapointment unayoiona kwako ni ndogo inaweza mpush akatafute pa kuhemea huko nje au ikamuharibu kisaikolojia

nadhani kama mtu hapo juu alivyosema, kama yupo idle mtafutie shughuli kama yupo na shughuli bhasi iliyobakia ni shughuli yako kaka
 
Nampenda ila am not that kind of person wa ku-showoff ningekua cmpendi nisinge zaa nae hao watoto wote na pia nisingekua na mjali ningekua nimesha mtoa ila anani kera sipendi kufugwa kama mnyama
Kwa miaka yote hiyo takribani 12 umechukua hatua gani ili kukabiliana na changamoto hii uliyoleta hapa?
Isijekuwa wewe mwenyewe ni sehemu ta tatizo
 
Wakati pekee Mwanaume hutaka kuwa karibu na mwanamke ni ule wakati wa kumchakata tu.
Sasa wakati unafikiria mambo ya maisha yeye anakuja kuning’inia shingoni!
Mkuu tenga kona yako hapo nyumbani, kochi au chumba kabisa. Ukiwa hapo weka sura ya mbuzi, Mjengee utamaduni kwamba ukikaa hapo asisogee karibu.
Hata wahenga walikuwa na “kiti cha baba”
Mkuu nilisha wahi kutenga chumba nikajifungia yule mwana mke (mke wangu) alipiga mlango kwa funjo kama masaa mawili ikawa kero zaidi nikafungua na hasira nikaomba mungu anisimamie nisi mudhuru,.....nikamuuliza nini unapiga mlago kama kichaa akanijibu nilifikiri umefia ndani nikaacha tu ckumjibu nikampigia mama angu simu kupoteza hasira, nasikumueleza hilo tukio
 
Hivi na nyie wake zenu wanapenda attention kama huyu wa kwangu, ana nikera sanaa, sijui nifanye je nime dumu nae takribani miaka 11, huu ni wa 12 lakini bado iko vile vile nilidhani ataacha akikua ila duh iko vile vile, kwa siku anaweza akakupigia simu mara kumi usipo pokea ataendelea kubipu paka utakavo mpigia, na ukimpigia na kumuuliza kuna jimpya anasema hamna na kusalimia tu, weekend hamna ku concentrate au ku-compose ili upange mishe zako za j3, sio kwamba anapenda yale mambo mengine mnayo fikiria hayo anashibishwa kweli kweli ila bado anataka awe karibu nami kila moment, au kila wakati, kupumzika huwezi ikienda chumbani huyu hapo ukija sebuleni anakulalia arafu ni bonge ukimwambia unaniumiza anasema kumbe unipendi na wewe sio ramantic duh, akikutumia sms atatuma taarifa nusu paka umtumie sms zingine zaidi ya mbili kupata taarifa kamiri.......na kumuacha siwezi hiyo sio sabb ya kuacha mke wa watt wako, ila ni kero kweli kweli.
Sasa wewe mpotezee halafu halaf wenzako wampe attention. Utarudi Tena hapa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mie nina misimamo yangu na pia na tambua majukumu yangu nikifikia hatua tunapishana ndani ya nyumba atusemeshani ni hatari, siwezi kudumu hata mwezi on earth we live once kwanini niteseke na mtu?
Bas tenga mda wa kuwa nae kila siku mbali na kitandan na tenga mda wa kumpigia kila unapokuwa mbali na home. Ukiona uwe mbadirisha mtu badirika wewe
 
Hivi na nyie wake zenu wanapenda attention kama huyu wa kwangu, ana nikera sanaa, sijui nifanye je nime dumu nae takribani miaka 11, huu ni wa 12 lakini bado iko vile vile nilidhani ataacha akikua ila duh iko vile vile, kwa siku anaweza akakupigia simu mara kumi usipo pokea ataendelea kubipu paka utakavo mpigia, na ukimpigia na kumuuliza kuna jimpya anasema hamna na kusalimia tu, weekend hamna ku concentrate au ku-compose ili upange mishe zako za j3, sio kwamba anapenda yale mambo mengine mnayo fikiria hayo anashibishwa kweli kweli ila bado anataka awe karibu nami kila moment, au kila wakati, kupumzika huwezi ikienda chumbani huyu hapo ukija sebuleni anakulalia arafu ni bonge ukimwambia unaniumiza anasema kumbe unipendi na wewe sio ramantic duh, akikutumia sms atatuma taarifa nusu paka umtumie sms zingine zaidi ya mbili kupata taarifa kamiri.......na kumuacha siwezi hiyo sio sabb ya kuacha mke wa watt wako, ila ni kero kweli kweli.
Kale kawimbo kanaimba

"RAHA KUPENDWA RAHA kanakuhusu"😀😀😀😀😀
 
Kwa miaka yote hiyo takribani 12 umechukua hatua gani ili kukabiliana na changamoto hii uliyoleta hapa?
Isijekuwa wewe mwenyewe ni sehemu ta tatizo
Hapana mkuu nimeishi na matumaini kwamba atakuja kubadilika kwa but not naona hiyo tabia imekua sugu habadiliki na suweji kuipeleka kwa wazazi isipo kua hapa jf tu ndokuna variety ya watu ndo wanaweza kunielewa, wengi watz hawajui umuhimu wakua na mda wa privacy
 
Sasa wewe mpotezee halafu halaf wenzako wampe attention. Utarudi Tena hapa
Mkuu hiyo sio issue aende tu atapata propotionate repercussion ya kitendo hicho atakacho tenda mie sitishiwi na hayo mambo ajaribu tu idont look back kwa mwanamke mzinifu namimi siko hivo
 
Back
Top Bottom