Mke wangu ananikera anataka attention yangu kila saa

Mke wangu ananikera anataka attention yangu kila saa

Hahahahaha

We mwanaume au mvulana
Mkipendwa tabu Tu msipopendwa ndo mtalalamika weeeee oooh hata nikija ndani hanipokei, oooooh bahipelekea maji ya kuoga, hanijali

Leo umejaaliwa umeanza lawama ngoja masela wambyatui ndo utajua kua hujui


[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Mkuu naona wewe umenielewa nimpeleke hospitali gani, na niweleze je ni aibu kdg nipe mbinu basi
Mtaftie Wana saikolojia Mimi Nina rafiki yangu naye ana tatizo ka Hilo ila yeye humeza vidonge kabisa ila anapenda kuongea mda wote na kupiga simu, anataka ku chart akuone tu ila ana ugonjwa wa akili na anaendaga kitendo Cha ma physchiatrix.
So huo ni ugonjwa tu ka wengine hata juzi Dr wa magonjwa ya akili alielezea kwenye siku ya mental health.
Mimi rafiki yangu namvumilia ingawa inachosha marafiki zake huwa Wana mkwepa
 
Kutoka mwanzoni iko vile cijafanya issue yoyote ya kuni suspect some time nikiwa citaki anisumbue kwa simu simu zote na muachia home am transparent towards her sina mambo ya kandokando na siependi yata nipotezea mda zaidi
Mpige mimba Azae mapacha
Auone mziki wake

[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Umepata mke mwema sana. Piga magoti hapo ulipo na umshukuru Mungu. Ukisikia wenzio mambo wanayopambana nayo huko kwenye ndoa nadhani ungewaomba mods tu waufute uzi huu.

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Kimsingi wanawake wote wanapenda attention sema tu wengi wamejikatia tamaa kwa sababu ya waume zao kutojali. Na wanawake wengi walio katika ndoa wanachapwa nje sana siyo kwa ajili ya pesa bali kwa kupewa attention tu, kusikilizwa, kujaliwa na kuheshimiwa.

Narudia tena: wewe umepata mke mwema na anayekujali na kukupenda. Mhakikishie tu kuwa unampenda sana na kwamba upo kwa ajili yake mpaka kifo. Vizawadi vidogo vidogo na ukipata mwanya huko kazini mpigie...hata kama ni kusema tu "Niko mkutanoni lakini nilitaka tu kukukumbusha kuwa nakupenda sana mke wangu" na kukata simu inatosha. Na siku hiyo kama una kahela mkononi mchukulie kakitafunwa kake akapendako...hata kama ni kipande cha nanasi au chips (ili azidi kuwa bonge zaidi [emoji16][emoji16][emoji16]). Ndoa zinahitaji kazi na una bahati huyo wa kwako angalau unajua anachohitaji ili kuwa na furaha. Wengine (hasa vimbaumbau) ni minuno tu na ghubu kwa kwenda mbele hata tatizo hulijui.

Akiona kuwa unamjali sana; na akawa na uhakika kuwa penzi lako kwake halijapungua; na kwamba huna wengine huko nje hata ukimwambia kuwa waifu leo naomba privacy kidogo nifanye hiki...na kibusu kidogo ukampa au ukamparaza kikofi chokonozi cha takoni - atakuelewa tu...na ukipata mwanya na wakati sahihi unaweza kuongea naye tu kwa ustaarabu kuhusu nawe kuwa na privacy yako sometimes. Atakuelewa...labda awe na matatizo mengine ya kisaikolojia.

Take care of that marriage my man. That's your duty na ukishindwa mabaharia watakusaidia...na wanajua kutoa attention na ku-care hao usiombe....Usiwape hiyo nafasi maadam unajua weakness ya mkeo!
Asipokuelewa basi[emoji106]
 
Tenga muda mukaongelee mbali zaidi. Yeye anakuona wewe ndo kila kitu kwake. Usija fanya akarudisha upendo wako kwa nduguze. Utaumia. Utakua last option

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Nadhani nimefanya kila jambo kumtengea mda tukae nae ila haridhiki, kuna kipindi nimeanza kuangalia tamithiria za kihindi kwenye Azam TV hata sizijui wala hazinivutii ila nakaa sebule masaa mawili anilalie wakati anatizama na mimi nafanya unafiki eti na enjoy wakati hata sina interest nazo kumbuka huyu mke kanilalia mapajani karibia masaa mawili ni mzito ila navumilia.....what else should I do ni mfurahishe?
 
Back
Top Bottom