Mke wangu ananilazimisha nimuombe msamaha mbele ya Kanisa

ndo maana sometimes naona kumuomba mwanamke (mke) wako msamaha ni upuuzi tuu.....kwanza hilo ndo itakuwa fimbo ya kukuchapia.....fanya hivi.....mwambie hamia kanisani wiki 2......halafu uje ntakuwa na majibu.....
 
Huyo mama anaoneka hayupo sawa atakuwa ametoa hayo masharti kwa akili za kuambiwa/kufundishwa sio zake
 
Hata kama amenilisha LIMBWATA la damu ya binadamu kamwe siwezi kutekeleza huu upuuzi wa namna hii, katu kabisa siwezi.
 
Kupga magot na kuitana mama mm siungi mkono ila kwa msamaha jamaa aende tu
unaelewa maana ya kujichoresha? hiko unachotaka jamaa afanye ni kujichoresha. kila muumini atakaemuona barabarani atakua anajua uovu aliotenda. sio kitu kizuri. yaishe tu chinichini
 

Msamaha wa kweli na unaotoka moyoni kamwe hauna masharti. Mwenye kutaka kusamehe, husamehe na husahau. Kama una macho ya kusoma na akili ya kuelewa nilichoandika, utaelewa ninazungumzia nini.
 
Na bado anakuja kulalamika kishamba hivi.

Wanaume tupo wachache sana.
 
Hahaa ukaombe msamaha mbele ya kanisa, kwani umelikosea kanisa? Au anataka ufanye show kama ya WCB

Ila kuja kuomba ushauri hivi itakuwa inamaanisha upo 50/50[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Acha kuwaza huo upupu hata kwa asilimia moja[emoji1]
 
Usikubali kutekeleza upuuzi wake huu, usikubali kabisa.
Ukifanya hivyo utakuwa umejidhalilisha vibaya sana, sawasawa NA kusema unaenda kuvua nguo zako zote ulizovaa mwilini NA kubaki uchi wa mnyama mbele ya madhabahu ya kanisa. Aibu itakuwa kubwa sana kwako wewe, KWA mke wako, watoto wenu na familia zenu wote KWA ujumla. Watoto wenu watakuwa mmewaathiri kisaikolojia ktk maisha yao yote kutokana na aibu zenu nyinyi wazazi,
Mwambie mkeo atathmini kwanza juu ya athari za kufanya hivyo anavyotaka.
 
Muulize hivi siku hizi una akili timamu?
 
Ndio kosa alilomfanyia? Mimi nilijua labda alichepuka[emoji3][emoji3][emoji3] kama alisema mbele ya kanisa ni vizuri kauli akaifutie huko huko
Duh hata kama kuchepuka ndio akapige magoti mbele kabisa kanisani!?? Mke ana masharti magumu mno aisee! !
 


Nakazia hapa

Cc Kingsmann
 
Wewe utakuwa mume sarawili,marioo. Mnaachiwa magari myaendeshe wakati wake zenu wakiwa kazini. Ameshakuona huwezi chochote bila yeye. Pigana mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…