hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
HahahaHili ni kweli sikutaka tu kulisema hapo awali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaHili ni kweli sikutaka tu kulisema hapo awali.
Nenda nae kanisani,
Muombe msamaha na yote anayotaka uyafanye,
Hii itafanya upime ujinga wa mkeo,ujinga wa viongozi wa kanisa,
Halafu ukisha Fanya anayotaka tangaza hapo hapo kuachana nae mbele ya hao hao anaotaka waone unavyomuomba msamaha
Ndio kosa alilomfanyia? Mimi nilijua labda alichepuka[emoji3][emoji3][emoji3] kama alisema mbele ya kanisa ni vizuri kauli akaifutie huko huko
M
Mkewe atakuwa akina Atuganile Mwakifulefule,,,unamkosea dada msamaha unaomba ukoo mzima [emoji23][emoji23][emoji23] pambana na hali yako.
Heheheeee....Hivi naanzaje kumwambia mume wangu hayo mambo ya kuniomba msamaha mbele ya kanisa? Khaaa...Nikishamsamehe mie inatosha saaana.
Nenda tu mzee baba Mbona Nape katubu na kadhalilishwa na mambo yanaenda?Just kidding kaka baki na msimamo wako!
Huyo Mdada ukiwa naye walahi hii dunia yote wanawake utawaona vikaragosi.
Khantwe kapendelewa jamani
Naam mkuu...habari yako
Aisee. .nimechelewa wapi kumjua. Unazidi kunitia wazimu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu utatua mbavuuhii thread ilinifanya nipigwe ban, leo sitii neno , naunga mkono upuuz wa huyu mwanamke [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe si unakimbizana na kina Katoto Kazuri humu. Wenzako tunajua wapi pakulenga.
Mchukue Dada wa madini Manengelo. Naye ni kisu cha bucha la nyama pori.
Aise kumbe ana umbo namba 8... Khantwe naomba nikuzoee. .puliz
Aisee. .nimechelewa wapi kumjua. Unazidi kunitia wazimu
[emoji23][emoji23][emoji23] msikilize Joka, huyo ni mtani wangu maana nae ni mjukuu wangu kama weweHahaha hapana. ..tutabanana hapo hapo kwa Khantwe. ... manengelo nakuachia wewe mwenyewe mkuu. .haha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu utatua mbavuu
[emoji3][emoji3][emoji3]Ukute kosa lenyewe hata halieleweki!
Sana sana hapo ukute jamaa kafanya ubaharia nje ya ndoa.
Walokole mimi nawajua, tena kama ni mwanamke, unakuta hata akili hazimo.
Nimekomaa kakaYeye ndo nani anetoa msamaha kwa mbwembwe izo. Wakati mungu anasamehe makosa makubwa makubwa kwa ukimuomba msamaha kwa siri. Baharia komaaa tu kibingwa
The one you left at homeMtoa mada au??