kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
Hivi unaamini mwanamke wa aina hiyo unahitaji kushauri kitu kaka kweli ?
Tuna safari ndefu sana kama taifa
Tuna safari ndefu sana kama taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakushauri kabla ya kuchanganya lugha hebu kwanza tazama mwandiko wa mleta mada. Huyu si wa kuandikia kimalkiaSit and talk with her. Try to understand your wife and solve your marriage's challenges before you drop them here. Ikishindikana kwa njia zako utakazoziona za busara, tafuta msaada. Usije tafuta msaada kabla ya kuchukua hatua yoyote ulioiona kwako ni bora.
Atafutaye msaada kabla ya kuushirikisha ubongo wake katika kuamua huyo hubaki kuwa tegemezi katika kila jambo limtokealo.
Sasa si umuache utafute mwengine. Hayo ndio matatizo ya kufunga pingu za maisha.Habari wenzangu.
Jamani ukweli nimebaini mke wangu anamatumizi mabaya ya simu,
nilikutana sms yeye anasema ni rafiki yake ila mie sikuipenda kwa hio nikakosana nae akaenda kwao nami nikabaki kwangu sasa ni zaidi ya miezi 4 basi vikao vikawekwa akakubali kurudi ila naona amekua mkali ukisema kitu anakijia juu na manuno maneno ya shombo kibao.
sasa juzi nilikua nakarabati nyumba yetu wakati yeye yuko kwao basi nikawa napiga palasta na rangi baadhi ya vyombo vikarukiwa na tope na rangi alikuja kuchukua kitu akaona kua imekua hivyo katukana huyo kwa kusema nimemfujia vyombo vyake akatukana sana na kukata simu
leo ni siku kama ya 6 hatujawasiliana mimi sijampigia na yeye hajapiga ila huko whatssap huko vijembe kibao yeye ni mzuri mie sijui kukea namjibu jeuri mambo kibao.
sasa naona kwa kosa hilo tunafikiana huko jee akirudi tukikosana si atanimalizia maneno huyu.
Kabisa nakuunga mkonoNajua hata wewe itaniunga mkono kwenye hilo
KITENDO TU CHA MWANAMKE KUANZA KUKAA KWAO TAYARI NI TATIZO KUBWA KWENYE NDOA BORA HATA MNUNIANE KULIKO KUWA ANAONDOKA KWAO MKIGOMBANA.
Baaasi.. Umemaliza kila kitu.Kwa sasa yuko na miaka 25
Hahahahahah..Nakushauri kabla ya kuchanganya lugha hebu kwanza tazama mwandiko wa mleta mada. Huyu si wa kuandikia kimalkia
vyombo ulinunua wewe au yeye?
Mkeo amekulia maeneo gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
kwa akili hio acha akupelekesheVyombo nimenunua mimi ila ni mahari yake kwa hio kidini mie sio vya kwangu ni vyake
Kama una moyo mvumilie kama una roho ndogo kama yangu pga chinKwa sasa yuko na miaka 25
mblock watsup kwa muda then kaa kimya..
akichoka kukaa kwao atakutafta
usijichoshe,
kama mamake na babke walishatengana basi huyo nae atakusumbua tu
Wewe umeuma maneno inawezekana amekufuma na michepuko au umezaa nje ya ndoa.
Unalo hilo babu!
Aibu sana usipoheshimiwa na mke ni kazi bure, heshima, adabu, utii na unyenyekevu ndio nguzo ya mke.Habari wenzangu.
Jamani ukweli nimebaini mke wangu anamatumizi mabaya ya simu,
nilikutana sms yeye anasema ni rafiki yake ila mie sikuipenda kwa hio nikakosana nae akaenda kwao nami nikabaki kwangu sasa ni zaidi ya miezi 4 basi vikao vikawekwa akakubali kurudi ila naona amekua mkali ukisema kitu anakijia juu na manuno maneno ya shombo kibao.
sasa juzi nilikua nakarabati nyumba yetu wakati yeye yuko kwao basi nikawa napiga palasta na rangi baadhi ya vyombo vikarukiwa na tope na rangi alikuja kuchukua kitu akaona kua imekua hivyo katukana huyo kwa kusema nimemfujia vyombo vyake akatukana sana na kukata simu
leo ni siku kama ya 6 hatujawasiliana mimi sijampigia na yeye hajapiga ila huko whatssap huko vijembe kibao yeye ni mzuri mie sijui kukea namjibu jeuri mambo kibao.
sasa naona kwa kosa hilo tunafikiana huko jee akirudi tukikosana si atanimalizia maneno huyu.
[emoji23][emoji23] wasaaalaam aleikhumDar na zenji
Umechanganya hbr kiasi hata nimeshindwa kuelewa ulitaka kutujulisha niniHabari wenzangu.
Jamani ukweli nimebaini mke wangu anamatumizi mabaya ya simu,
nilikutana sms yeye anasema ni rafiki yake ila mie sikuipenda kwa hio nikakosana nae akaenda kwao nami nikabaki kwangu sasa ni zaidi ya miezi 4 basi vikao vikawekwa akakubali kurudi ila naona amekua mkali ukisema kitu anakijia juu na manuno maneno ya shombo kibao.
sasa juzi nilikua nakarabati nyumba yetu wakati yeye yuko kwao basi nikawa napiga palasta na rangi baadhi ya vyombo vikarukiwa na tope na rangi alikuja kuchukua kitu akaona kua imekua hivyo katukana huyo kwa kusema nimemfujia vyombo vyake akatukana sana na kukata simu
leo ni siku kama ya 6 hatujawasiliana mimi sijampigia na yeye hajapiga ila huko whatssap huko vijembe kibao yeye ni mzuri mie sijui kukea namjibu jeuri mambo kibao.
sasa naona kwa kosa hilo tunafikiana huko jee akirudi tukikosana si atanimalizia maneno huyu.