Mke wangu ananipiga vijembe WhatsApp

Mke wangu ananipiga vijembe WhatsApp

Unapokuwa kwenye kumi na nane hakikisha unampa dozi ya uhakika, hiyo ndio tiba


Wengine wanatumika sana nje Kwa michepuko wakirudi ndani kwa wake zao nguvu hawana huenda michepuko inawaroga !

Mwanaume anapochepuka anamu- expose mkewe kwenye risk kubwa sana.

Ikibidi ni afadhali mwanamke achepuke uafadhali ni Mkubwa kuliko akichepuka Mwanaume ni hatari kwa ustawi wa ndoa na familia kwa ujumla.

Kwa fedha nyingi za familia zinaenda kupotea kwa michepuko (Cash outflow) wakati akichepuka mwanamke inakuwa kinyume chake kwenye ndoa mwanamke analeta cash inflows ambapo eventually inakuwa Na manufaa kwa familia nzima.

Kuchepuka kwa Mwanaume kuna muuma mke wa ndoa sio tu sababu ya wivu wa kimapenzi lakini pia na upotevu wa rasilimali fedha za familia na associated risks kama vile kurogwa n.k

Actually ingekuwa si dhambi ningewa - encourage ladies kuchepuka zaidi maana uwezekano wa kuleta cash inflows kwenye familia ni mkubwa na kuliko akichepuka mwanaume kwenye ndoa hasara tupu ukiachilia mbali kurogwa.

Mchepuko Mwanaume ni nadra sana kutokea kumroga mchepuko wake wa kike sababu motives za kufanya hivyo hazipo.
 
Basi atakuwa ni zile type za wanawake wa kiswahili. Hana Adabu wala Akili wala maadili .
Akiwa na kasura kazuri anajiona kila kitu.

Nina hakika hajafika elimu ya chuo huyu.


Hapana msimhukumu kiasi hicho hamtakuwa mnamtendea haki.

Ingefaa kumsikiliza na yeye kupata ukweli kabla ya hukumu.

Msemapweke hakosi haki.

Huyu Mleta mada anajaribu kujitetea lakini huenda mke ana hoja za msingi kwa yanayoendelea.
 
Hapana yeye ndio anakosa hata katika kikao aliambiwa na kuanuriwa arudi nyumbani


Msemapweke hakosi haki, napata ugumu kuamini unachokisema.

Halafu kwenye hizi familia kuna namna ya kukandamiza wanawake inapotokea migogoro ya ndoa unasikia ndugu au wazazi wanalazimisha mke kurudi kwa mumewe bila kujaribu kuvaa viatu vyake na kuelewa uchungu maudhi ya makusudi ya mumewe.
 
Habari wenzangu.

Jamani ukweli nimebaini mke wangu anamatumizi mabaya ya simu, nilikutana sms yeye anasema ni rafiki yake ila mie sikuipenda kwa hio nikakosana nae akaenda kwao nami nikabaki kwangu sasa ni zaidi ya miezi 4 basi vikao vikawekwa akakubali kurudi ila naona amekua mkali ukisema kitu anakijia juu
Wewe mpige vishoka instagram, acha kulialia
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah
Sasa mkuu mtu kaandika Kiswahili kimakosa ukisoma tiyari unajua atakuwa kundi gani. Ukimwandikia kimombo hatoelewa na hautomsaidia[emoji1]
 
Na vipi huyu jini ulishaachana naye?

Kama ndio hvyo bas jua tatzo alianza kulitengeneza mwenyewe kwa kuruhus huyo kiumbe aingiloe ndoa yake
 
Wengine wanatumika sana nje Kwa michepuko wakirudi ndani kwa wake zao nguvu hawana huenda michepuko inawaroga !

Mwanaume anapochepuka anamu- expose mkewe kwenye risk kubwa sana.
Kwani wanawake wakichepuka huchepuka na wanawake wenzao au sijaelewa?
 
Fanya haya
Weka picha ya mkeo
Screenshot whatsapp alizokuandikia.

Utanapata ushauri wa haraka wenye kufanikiwa.
Fanya hivyo fasta . Weka hapa jf
 
Wengine wanatumika sana nje Kwa michepuko wakirudi ndani kwa wake zao nguvu hawana huenda michepuko inawaroga !

Mwanaume anapochepuka anamu- expose mkewe kwenye risk kubwa sana.

I
Mwanamke wa wapi huyo anachepuka na kuleta pesa ndani ya ndoa ?? Sana sana ataleta dharau
 
kaka nishasema ila tatizo anaonekana kua na misimamo ya kutojali
Kuna mambo mawili, la kwanza huenda hauko sawa kiuchumi na pili humpelekei moto kama inavyotakiwa. Kwa lolote kati ya haya lazima kwa wanawake hawa wa smartphone wakudhalilishe.
 
Back
Top Bottom