Mke wangu anapenda sana kujipiga picha na kujipost matandaoni, nimeongea mpaka nimechoka lakini habadiliki

Mke wangu anapenda sana kujipiga picha na kujipost matandaoni, nimeongea mpaka nimechoka lakini habadiliki

Ni kweli
Lakini vitu ambavyo havidhuru familia haina haja kuumizana.
Fikiria mke amwambie Mume anachukizwa na yeye kwenda kuangalia Mpira.

Mwanamke kujipost sioni tatizo kwa upande wangu.
Ingawaje inategemea anajipost amevaa au Akiwa anafanyaje au anasema nini
Mwanamke anaejipost mtandaoni anatafuta attention ya wanaume wengine.

Akijipost insta, fb, na WhatsApp unajua ni kwa kiasi gani ana activate minds za wanaume wengine? akijipost mara kwa mara dm za kutongozwa huanza kumiminika(kuna demu mmoja average tu aliwahi kunionesha inbox yake ya fb, aseee ni balaa)


Sasa jiulize, watu woote wanaokuja dm ya mkeo, unaowajua na usiowajua wenye hadhi tofauti tofauti mkeo ataweza kukwepa Mishale yao???

Kuepusha yote hayo ni bora asijipost tu.
 
Kama ni za staha hakuna shida yeyote ile, na kuna muda ikifika ataacha mwenyewe na kuona ni upuuzi.

kila mtu ana vitu vyake vya ajabu na vinampa furaha.

wengine ndo tunapenda kuchat JF kuliko na Wapenzi wetu
 
Mwanamke anaejipost mtandaoni anatafuta attention ya wanaume wengine.

Akijipost insta, fb, na WhatsApp unajua ni kwa kiasi gani ana activate minds za wanaume wengine? akijipost mara kwa mara dm za kutongozwa huanza kumiminika(kuna demu mmoja average tu aliwahi kunionesha inbox yake ya fb, aseee ni balaa)


Sasa jiulize, watu woote wanaokuja dm ya mkeo, unaowajua na usiowajua wenye hadhi tofauti tofauti mkeo ataweza kukwepa Mishale yao???

Kuepusha yote hayo ni bora asijipost tu.

Huo ni Mtazamo wa wanaume wadhaifu wasiojiamini.

Kwani mtaani hawezi kutongozwa?

Kwa hiyo unamzuia Mkeo asipost mitandaoni Sababu ya kuogopa atatongozwa?
Hiyo sio hoja Kwa Mwanaume thabiti, Alpha Male.

Labda useme anapost picha akiwa hajavaa kiadabu,
Au hajakaa mikao ya kimaadili
Au anazungumza Maneno yasiyo na maadili.
 
Mkuu umenena vyema kabisa ukiona mkeo kujipost sio kesi kwako maana ake ww mwenyew mtandao n sehem yako ya maisha na ukiona mtu anamkatazia mkewe ujue hapend mamb ya mtandao.
Ishu inakuja pale ambapo mmeo anakukataza jambo af hutekelezi hapo ndo tatizo linaanzia

Sasa kama hapendi mambo ya mtandaoni alioaje mtu anayependa mambo ya mtandaoni?
Huyo mwanaume atakuwa anamatatizo Makubwa
 
Gentleman,
ikiwa hana majukumu ya kutosha na ya kumkosesha muda wa kufanya hayo, ulitegemea afanye nini kwenye ulimwengu huu wa kidigitali?

mie nadhan tatizo lipo kwako gentleman? Na hiyo tabia maana yake anahitaji kuwajibishwa kifamilia kwa maana ya kupewa majukumu ya malezi mfululizo ili akose muda wa kufanya hayo ambayo kwakweli hayana maana kabisa.

Mpe ujauzito, kisha baada ya mwaka moja na robo mpatia mwingine wa pili na ikiwezekana watatu, na hapo utakua umetibu na kuponya tatizo hilo linalokukera kabisa, vinginevyo ni ngumu kumtoa kwenye huo uraibu 🐒
Nakuona kada wetu, 😂
 
Sijui kama wake zenu wana tabia kama ya mke wangu. Yaani huyu bibie kila tukio analohudhuria lazima alipost kwenye WhatsApp, Instagram, au Facebook. Pia, anapenda kujipiga picha na kujipost mitandaoni.

Nimemuonya sana kuhusu hii tabia ya kujianika mitandaoni, lakini naona habadiliki.

Mfano, asubuhi hii tayari ameshatupia picha nyingine. Najiuliza, huyu mtu zinamtosha kweli kichwani?
Wanaojipost sana wanafahamika tabia zao.
Tupe jina tumtimizie hitaji la moyo wake!
 
Huo ni Mtazamo wa wanaume wadhaifu wasiojiamini.

Kwani mtaani hawezi kutongozwa?

Kwa hiyo unamzuia Mkeo asipost mitandaoni Sababu ya kuogopa atatongozwa?
Hiyo sio hoja Kwa Mwanaume thabiti, Alpha Male.

Labda useme anapost picha akiwa hajavaa kiadabu,
Au hajakaa mikao ya kimaadili
Au anazungumza Maneno yasiyo na maadili.
Hapana mkuu, kama wewe ni mumewe ndani, ni nani anaempostia picha mtandaoni???

U alpha male wako hauwezi kuzuia dm za wajuba?

Kuna tofauti kubwa sana ya mtongozo wa mtandaoni na wa mtaani
 
Insta anapatikana kwa jina gani tukamuongezee followers😃
 
Back
Top Bottom