Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

nyie ndo wale mabwege mmezaliwa ili mgongewe wake zenu , endelea hivyo hivyo kuwa mjinga, unagongewa alafu eti hatua kubwa ulichukua ni kununa? Bwege kweli wewe anza kuvaa chupi za mke wako umsubiri huyo jamaa anaekugongea wife wako aje awatembezee rungu wote maana mnaishi jinsia moja hapo ndani
 
Hiyo ni Kweli na ipo wazi wanaume tuna heshima sana ila mwanamke akianza kuchepuka utagundua tu,kuna mambo lazima yatabadilika.
 
Only If possible!! tofauti na hapo dahhh!!!!!!

Dada hiyo issue ni ngumu sana


Unapoamua kuowa basi amua kweli kua now sifanyi ujinga wowote
Na unapoolewa basi hakikisha umeyamaliza hayo yote

Ndio mwanzo wa matatizo na magonjwa



Ni upumbavu
 
Dada hiyo issue ni ngumu sana


Unapoamua kuowa basi amua kweli kua now sifanyi ujinga wowote
Na unapoolewa basi hakikisha umeyamaliza hayo yote

Ndio mwanzo wa matatizo na magonjwa



Ni upumbavu
Huwezi jua sababu zake za kutoka nje..tungesikiliza upambe wa pili babda so huwezi hukumu kwa kusikia upande mmoja mkuu!
 
Katika mafungamano ya maisha ya ndoa ni kuishi na mke kwa wema hata katika hali ya kuwa unamchukia. Na ikitokea unataka kumuacha pia iwe ni kwa wema.
 
Sasa Si Umfukuze. Unaonekana Boya sasa.
Mwanamke haonewi huruma. Utapigwa Tukio Uje Kulia Lia Humu
 
Ingawa mkuu nishakusoma wewe ni mtu wa Aina gani,kutokana na uandishi tu,Muno,hanajua,Mahana nk.

Wewe sio mjanja wa kutosha kujua janja za hawa marafiki wa yule joka.

Hata kufika hapa JF hongera maana sijui uliwezaje kua mjanja wa kufika huku kwa wajanja.

Unaonekana ni mwaminifu Sana kwa mkeo na ni Mtu wa Mungu,usie na janja janja,hongera kwa hili pia.

Ila Ulichofanya hakitoshi,acha augue,acha alazwe,acha ateseke hata mwaka,Kama umeamua usimuache,hakikisha anasota kweli kweli.

Mkuu dunia imebadilika inabidi nawewe ubadilike,yeye alivo fikiria kukusaliti hakukuonea huruma hata chembe,Hadi unamgundua anajitilisha huruma yeye,acha aendelee kupata adhabu.

Kisha hakikisha unamchapa mikwala huyo ex wake,ili utengeneze gepu kubwa Kati yao,vinginevyo atarudi kumshawishi tena.
 
Mkuu kuna VAR
Naizima tu, kosa la usaliti kwangu hakuna msamaha, skwezi vumilia, hapo ndio mchizi kagundua, bila ya kujua si mwali angeendelea kupakuliwa vizuri tu. Mpe kadi nyekundu akaigawe kwa uhuru.
 
Only If possible!! tofauti na hapo dahhh!!!!!!
Hakuna mazungumzo ya ziada hapo zaidi ya kuseparate tu. Labda kama kuna jambo ambalo mwanamke alikua anapitia jamaa hajaamua kulisema kwa sababu tuna hukumu kwa kusikiloza upande mmoja tu. Otherwise hakuna mazungumzo ya ziada yanaweza kuwepo
 
Kusamehe ni swala zuri na la kiungwana na dini zinatufundisha hivyo. Ila ulitakiwa umpe za uso za kumtosha na ufanye kitu kwa huyo ex wake.
 
Kwa maelezo haya ni lazima uchapiwe tu. Na mimi nasema endelea kuchapiwa tu mpaka akili ikukae.
 
Kaka alisema
1.mwanamke akikupa sumu ukapona msamehe
2.mwanamke akikupiga risas akakujeruhi na ukapona msamehe
3.mwanamke akichepuka na kugongwa nje ..achana nae.mpe talaka aondoke au wewe ondoka..
(1 na 2 Ni falsafa)
 
Adhabu uliyotoa uliitoa huku unajuta ..Ni Kama ulikiwa hauko tayar au kazi ulizokuwa unafanya happy nyumbani(kufua,kujipikia nk)zilikushinda ukawa unasubir akuombe msamaha...na ulipoombwa ukaona umeshamuweza...ukasamehe..Hilo Ni kosa..uko soft Sana kwenye maamuzi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…