Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Nawasiwasi kama wana mtoto jamaa analea watoto wa watu
 
Hakuna mazungumzo ya ziada hapo zaidi ya kuseparate tu. Labda kama kuna jambo ambalo mwanamke alikua anapitia jamaa hajaamua kulisema kwa sababu tuna hukumu kwa kusikiloza upande mmoja tu. Otherwise hakuna mazungumzo ya ziada yanaweza kuwepo
Exactly!!
 
Wewe ni mgeni na hao watu hujui ZE COMMEDY Zao
 
Utachapiwa tena, mark my words. Na safari hii kitapigwa hadi kilainike, na ataomba talaka akakae peke yake ili aendelee kufaidi kwa nafasi. Utarudi hapa kuomba ushauri. Sababu za kuchapiwa tena:
  1. Hujajua kwa nini amechepuka. Huwezi kutatua tatizo usilojua chanzo chake
  2. Umekurupuka kutoa dawa ya ugonjwa usiojua
  3. Uanaume wako haujadhihiri kwa vitendo ulivyomfanyia mkeo ukiviita eti "adhabu". Kununa, kususa na kuzira ni tabia za kike. Kwa vitendo hivyo umemthibitishia mkeo kwamba kaolewa na mwanamke mwenzake, kwa hiyo baadaye atajihisi kwamba alifanya sahihi kutafuta mwanaume kwa njia ya mchepuko
  4. Umemthibitishia mkeo kwamba huyo X wake ni mwanaume halisi na wewe ni "suruali" tu, mnunaji!
  5. Kama kuchepuka kwake ni sawa na kumwagia mbigiri kitandani, wewe umeharibu kabisa kwa kumwaga upupu, hapatalalika tena. Ataendelea kutafuta faraja kwa michepuko.
 
sawa mkuu ila na wewe ukipewa show piga show la maana hadi asimfikirie yule x wake tena, mwanamke ni mgumu sana kutoka kwenye ndoa kama uchumi wako upo sawa basi show ya uhakika ni kitu muhimu sana.
 
Mke wa ndoa kawaida huchepuka na waliowahi mlala kabla yako.Sio watu wapya.SIo mwanzo Wala mwisho tayari wana agano hao watu.

MNGEKUWA NA AKILI,MNGECHA KUOA KWA GHARAMA NYINGI YA FEDHA NA MUDA.
 
Mwanamke akishaanza kuchepuka huyo ni sawa na nyoka ndani ya nyumba. Kuendelea kuishi na mtu wa hivyo utakufa kabla ya siku zako.
 
Sahii kabisa,
Yule mhuni anaemla mkewe inaonekana kana kwamba anamuogopa, na jamaa kule ashajua keshajulikana afu jamaa anasita kumfata.

Ni udhaifu mkubwa sana
 
Yote umefanya sahihi kabisa, kosa kubwa hapo ni HURUMA!

Hata kama ungemsamehe, haikutakiwa kuwa rahisi kiasi hicho. Imekuwa rahisi kama vile ni issue ndogo tu, kumbe mtu kapeleka kipapa kwa jirani/ex.
 
Comment ya kipumbavu Sana hii. Sijapendezewa. Sigongewi lkn majibu haya ni kum_#@35-e


Vipi sigongewi.

Najua kukaba mbaya.

Ila Tusijiamnishe. Kuna jamaa mkewe ni mzuri anaitwa a...... Mkubwa anafanya utata mkewe anasimulia. Tujue tukkaza wakipata mwanya wa natusema.
Sasa basi kigongewwa si kosa letu
 
Kwa hiyo unamshauri mwana akakiwashe au sio [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…