Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kwann Mwenye Mji ndio aondoke? Nasio Wanawake?Kazi unayo sasa si uondoke tuu ukapange kila mtu aendeleee na hamsini zake
Yani within only 6 days alimsamehe na mbususu akapewa ....dah kaharubu kila kituNarudia Tena,
Hapo Hamna adhabu yoyote ya maana uliyomuadhibu, Kwa Mwanamke Ni Kawaida Sana kujishusha anapokosea.
Ila kumsamehe HARAKA Tena kizembe namna iyo umekosea Sana, ulipaswa uombe USHAUR tukushauri adhabu nzur ya kisaikolojia, I'll sio hiyo yako.
Sasa mimi naona tumshauri afanye nini bada ya kuharibu ...maana amesha haribuIngawa mkuu nishakusoma wewe ni mtu wa Aina gani,kutokana na uandishi tu,Muno,hanajua,Mahana nk.
Wewe sio mjanja wa kutosha kujua janja za hawa marafiki wa yule joka.
Hata kufika hapa JF hongera maana sijui uliwezaje kua mjanja wa kufika huku kwa wajanja.
Unaonekana ni mwaminifu Sana kwa mkeo na ni Mtu wa Mungu,usie na janja janja,hongera kwa hili pia.
Ila Ulichofanya hakitoshi,acha augue,acha alazwe,acha ateseke hata mwaka,Kama umeamua usimuache,hakikisha anasota kweli kweli.
Mkuu dunia imebadilika inabidi nawewe ubadilike,yeye alivo fikiria kukusaliti hakukuonea huruma hata chembe,Hadi unamgundua anajitilisha huruma yeye,acha aendelee kupata adhabu.
Kisha hakikisha unamchapa mikwala huyo ex wake,ili utengeneze gepu kubwa Kati yao,vinginevyo atarudi kumshawishi tena.
Bwege tu na wewe mafala kama nyie mtachapiwa sana kubabake zenuComment ya kipumbavu Sana hii. Sijapendezewa. Sigongewi lkn majibu haya ni kum_#@35-e
Vipi sigongewi.
Najua kukaba mbaya.
Ila Tusijiamnishe. Kuna jamaa mkewe ni mzuri anaitwa a...... Mkubwa anafanya utata mkewe anasimulia. Tujue tukkaza wakipata mwanya wa natusema.
Sasa basi kigongewwa si kosa letu
Namwachia waendelee kwa uhuruUnamtesa au unamwachia mwenzio [emoji1787][emoji1787]
Hivi inakuwaje mwanamke ana cheat. Mimi katika maisha yangu sijawahi cheat hata kwa boy friend, kuwa na mtu zaidi ya mmoja at the same time hapana aisee.Wanaaake wasanii anakuchezea usanii. Mwanamke akishapenda yupo tayari kupoteza kila kitu kwa ajili ya mwanaume anayempenda, ni dhahiri hadi akkachepuka na msela ni kuwa wewe haumo moyoni mwake.
Anakutishia nyau tu. Wanawake ni wajanja kuliko wanaume. Kaa ukijua hilo. Mpaka amechepula myfriend tambua kuwa anakuzidi maujanja na kujinyongonyesha ni janja janja tu ili umsamehe. Na ukimsamehe atarudi kwa X-wake na atamwambia Yule Fala nimeshamweka sawa. Life linasonga.Katika kipindi hiki chote alijua sababu ya mimi kuishi hivyo ni yeye kuchepuka, hii ni baada ya jana jioni kuniita Chumbani na kusema anajutia sana kufanya vile na hatarudia, jambo baya zaidi akasema ameshafikiria mara mbili kunywa Sumu, anaona hana thamani tena kwangu
Huo ndio ujinga sasa Aache kufanya kazi zake afatilie watu wanaopendwa??Tumia huo udhaifu wake akupe details za michepuko yake yote. Na amdanganye kuwa anakutana nae gesti. Andaa majamaa zako. Afu chapa wote mikong'oto. Hadi sura ziwe za andazi
huna lolote Dp...hata nimkute kitandani maana nampenda Sana na bado namhitaji.
Ukzingatia pia mi mwnywn Ni mchepukaji haswa,
dont trust any body,suspect even your shadow!Kuna member mmoja alishaanzisha uzi akasema usimuonee huruma mwanamke na uwe tayari kumpoteza mwanamke yoyote na mda wowote don't and never trust any women even ur mama
Kimsingi umekuwa na hoja za msingi kumsamehe na ndivyo inavyotakiwa.Nimepata muda wa kupitia komenti, baadhi ya watu wanakomenti kwa hasira muno na matusi juu, kitu ambacho wengi wetu tunasahau ni kwamba
Wake tunaowaoa wanakuwa siyo Bikra, kwa maana hiyo wanakuwa wameshalalwa na watu wengine kama sisi wanaume tunavyokuwa tumeshalala na wanawake wengine.
Ni kweli kosa la kuchepuka halifai kupewa msamaha hata maneno matakatifu yametamka wazi, lakini ukimwacha ukamuoa mke mwingine, huyo mwingine utamkuta Bikra?, Vile vile upo uwezekano wa kumuoa mwingine mwenye tabia chafu zaidi na mambo yakaharibika zaidi.
Wanaume wenzangu nawaelewa mnaposema nimekosea kumsamehe, hii ni kwa sababu mara nyingi tunavutaga picha na kufikiria ni jinsi gani alikuwa anashiriki tendo hilo na huyo mtu.
Baadhi naona walitaka nifanye tukio baya zaidi kama kupiga, kuua au kumfukuza papo kwa papo kitu ambacho kingeleta madhara zaidi kwa familia zote mbili(hapa waliopo kwenye ndoa wataelewa)
Kuna watu wanasema amejifanya ameigiza, sizani kama ni kweli yaani aigize pressure na moyo kushtuka?, Hapa ninapoandika hali yake bado ni mbaya muno.
Kwa kumalizia kuna watu wamelaumu kumsamehe, kama nisingeweza kufanya hivyo haraka uhenda angekunywa Sumu kweli na kufariki, kwahiyo kuepusha yote hii imebidi nifanye hivyo maana hamna haja ya kuua wakati uwezekano wa kumrudisha kwao na kila mtu akaendelea na maisha yake upo pia.
Vile vile pamoja na adhabu hii na msamaha niliyompa, bado kuna hatua kadhaa zitafuata baada ya yeye kuwa ameruhusiwa kutoka hospitalini, so niko well organized kupambana na hii changamoto.
Ushauri ninaouchukua kutoka kwenu ni ule ambao una lengo la kuleta suluhisho la kudumu, na siyo ule wa kuchochoea mgogoro zaidi, nimefarijika kuna baadhi wanatoa ushauri wa maana zaidi.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji125][emoji125][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Wewe ndio unapata wakati mgumu.yy tayri kaliwa utamu anauckilizia tuuu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]brooh hakuna msalie mtume,Tena dini imesema kabisa uzinzi ni straight talakaInaonekana yuko kwenye majuto, naweza sema msamehe.
Ila kwangu adhabu ya kosa la usaliti ni straight red card.