Tears of the Sun
Member
- Jun 2, 2022
- 96
- 294
- Thread starter
-
- #41
Unaweza ukaona ni rahisi, lakini hii adhabu ni kali sana, pengine kuliko hata hizi ulizozipendekeza hapaKununa hajujawahi kua suluhisho la kudumu kwenye migogoro Kama hiyo.
Ulichokifanya Ni kana kwamba uyo mwanamke ni unaiba tu (Mchepuko au hawala yako).
Hujaonesha Yale makucha na mAmlaka ya kiume kuonesha umekasirishwa na alichokifanya.
Kama mepesi kudeal nayo umekuja kuomba ushauri wa nn hapa?Wala sina kazi, kwangu mimi haya ni mambo mepesi sana kudeal nayo.
Hiyo tunaita umemuwekea kisu shingoni na mgongoni kuna mkukiKiukweli hadi nimemuonea huruma, kisaikolojia anateseka sana, kwanza haelewi afanyaje
This is One Very Big Mistake....,,, Ulitumia Hisia badala ya Akili......Yaani ulishindwa kutimiza lile agizo la biblia la kuishi nao kwa Akili.......Katika kipindi hiki chote alijua sababu ya mimi kuishi hivyo ni yeye kuchepuka, hii ni baada ya jana jioni kuniita Chumbani na kusema anajutia sana kufanya vile na hatarudia, jambo baya zaidi akasema ameshafikiria mara mbili kunywa Sumu, anaona hana thamani tena kwangu, Dahnilimwonea huruma sana na nikahamua kumsamehe tuendelee na maisha lakini naona hali haijabadilika kwake yaani ni mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote,
Kuna mama mmoja amekuja dukani kwangu leo akanunua nyundo kubwa nilipomuuliza ya nini akanielezea stori kama hii na akasema leo usiku ni bora afanye maamuzi magumu ili yeye na mumewe ''waondoke wakafanye kesi mbele ya Mungu'' kwani hata huyu mume wake alishawahi kuchepuka!Tatizo kubwa lilianza pale nilipogundua anachepuka na ex wake. Baada ya kuligundua hilo sikutaka kuchukua hatua za shari sana papo kwa papo, bali nilichukua hatua ambazo mpaka leo anashindwa kuelewa afanyeje, sasa imefikia hatua muda wote ni analia tu, saiklojia hayupo sawa na kama anataka kuchanganyikiwa hivi.
Baada ya kugundua kwamba anachepuka nilichukua maamuzi yafuatayo
1. Siku hiyo hiyo niliyogundua sikutaka kumuuliza kama ni kweli au siyo kweli kwa sababu nilishajihakikishia kwa asilimia 100.
2. Sikula Chakula chake, nilifika naingia jikoni na kuandaa Chakula mwenyewe (hii imeendelea hadi leo)
3. Najitahidi sana niwahi kurudi nyumbani tofauti na siku za nyuma.
4. Tukilala kitandani mimi nageukia mzungu wa nne.
5. Tangia siku hiyo sijawahi kumuomba unyumba(japo anaweka mazingira ya jambo hili kila siku)
6. Akiniuliza namjibu kidogo alafu naendelea na utaratibu wangu.
7. Kila kitu najifanyia hadi nguo chafu zote za kwangu nakusanya na kufua mwenyewe nikapata nafasi(Ninapokuta amezifua narudia kufua)
8. Simtukani wala kumuongelesha vibaya bali nafanya mambo yangu ndani ya nyumba kivyangu.
9. Baada ya kuona hivyo, akasema anataka akaonane na Mama yake(ilikuwa Ijuma usiku, nikampatia nauli muda huo huo na kumwambia asubuhi na mapema aende, ghafla akasema ameahirisha hadi sasa yupo)
10. Nimeacha kuchangia naye kitu chochote ndani ya nyumba isipokuwa sehemu ya kulala tu(kitandani na penyewe mzungu wa nne au nalala sebleni wakati mwingine).
Sasa leo ni siku ya 6 tangia nimeanza kuishi hivyo na mke, mke wangu amenyongonyea ghafla, amekonda, amekuwa mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote.
Katika kipindi hiki chote alijua sababu ya mimi kuishi hivyo ni yeye kuchepuka, hii ni baada ya jana jioni kuniita Chumbani na kusema anajutia sana kufanya vile na hatarudia, jambo baya zaidi akasema ameshafikiria mara mbili kunywa Sumu, anaona hana thamani tena kwangu, Dah [emoji24][emoji24] nilimwonea huruma sana na nikahamua kumsamehe tuendelee na maisha lakini naona hali haijabadilika kwake yaani ni mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote, kiufupi anapitia wakati mgumu sana.
Wito kwa wanaume na wanawake hasa wanaoishi pamoja kama mke na mume kwa namna yeyote ile, kupigana siyo adhabu tosha ya kusuruhisha migogoro, mimi huyu mwanamke nimempa adhabu hiyo lakini naona imemnyosha kweli kweli japo naona kabisa imemuharibu kisaikolojia kabisa.
Taratibu mkuu na kujifanya mpole sana katika hili swala hasa humu jukwaani. Watu wata conclude kuwa una walakini katika ukamilifu wako kama mwanaume kiasi cha kuridhika na kugongewa.Wala sina kazi, kwangu mimi haya ni mambo mepesi sana kudeal nayo.
Yaani hadi nimejikuta namuonea huruma muno, yupo katika hali mbaya.Fimbo uliyomchapa nayo ni kubwa sana
Nafahamu vzuriWanawake ni waigizaji wazuri sana,ni vinara pia wa machozi be careful!
Hapo mwisho nimefanya hivyo kwa lengo maalumu.Umeenda vizuri ukaharibu mwishoni.
Kama uliamua kumsamehe baada ya kukiri ilitakiwa umlambe makofi kadhaa kwa hasira ndio umpe onyo. Ulivyo samehe kilaini hivyo ndio maana bado haamini kama kweli umemsamehe.
Kuniiuwa kwa sasa ni ngumu, kashachelewa.Huu mwaka hutoboi,huwajui wanawake huyo hanywi sumu bali atakuua wewe
Hadi nimehisi bora ningechukua maamuzi mengine, maana ni kama nimemharibu saiklojia.Kama Ni mtu anaye jielewa.. hivyo ulivyo msamehe kilaini kwake Ni zaidi ya adhabu.. ..harudii anahisi huo Ni mtego..
Lakini kwani wewe hujawahi kuwa na chepuko?! Pengine ndio unarejeshewa maumivu unayowapa wenzio..
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi ndiyo maana nilihamua nimuhadhibu hivyo kwanza.Upendo huvumilia, upendo husamehe...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ww ndio unapata wakati mgumu.yy tayri kaliwa utamu anauckilizia tuuu