Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Kununa hajujawahi kua suluhisho la kudumu kwenye migogoro Kama hiyo.

Ulichokifanya Ni kana kwamba uyo mwanamke ni unaiba tu (Mchepuko au hawala yako).
Hujaonesha Yale makucha na mAmlaka ya kiume kuonesha umekasirishwa na alichokifanya.
Unaweza ukaona ni rahisi, lakini hii adhabu ni kali sana, pengine kuliko hata hizi ulizozipendekeza hapa
 
This is One Very Big Mistake....,,, Ulitumia Hisia badala ya Akili......Yaani ulishindwa kutimiza lile agizo la biblia la kuishi nao kwa Akili.......

Lingine pia Umetoa Msamaha kizembe sana,,,,huyo Muhuni hajajifunza lolote....KUACHA mwanamke inahitaji kuwa MWANAUME kweli..,,,na kama huna uwezo wa kuacha basi hata ungeonyesha kuacha huenda ingebadilisha lolote....

Be a Man, Stay Taliban...

ROBERT HERIEL aliwahi kusema Usimuonee huruma Mwanamke
 
Kuna mama mmoja amekuja dukani kwangu leo akanunua nyundo kubwa nilipomuuliza ya nini akanielezea stori kama hii na akasema leo usiku ni bora afanye maamuzi magumu ili yeye na mumewe ''waondoke wakafanye kesi mbele ya Mungu'' kwani hata huyu mume wake alishawahi kuchepuka!
 
Hadi nimehisi bora ningechukua maamuzi mengine, maana ni kama nimemharibu saiklojia.
 
Ni hatari sana kuendelea kuishi na mwenza mwenye tabia ya uzinzi......

Narudia tena ni hatari sana kuendelea kuishi na mwenza mwenye tabia ya mzinzi.......

Narudia tena no hatari sana kuendelea kuishi na mwenza mwenye tabia ya uzinzi.....

WORD IS ENOUGH FOR THE WISE.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…