Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Kununa hajujawahi kua suluhisho la kudumu kwenye migogoro Kama hiyo.

Ulichokifanya Ni kana kwamba uyo mwanamke ni unaiba tu (Mchepuko au hawala yako).
Hujaonesha Yale makucha na mAmlaka ya kiume kuonesha umekasirishwa na alichokifanya.

Na kwasababu umemsamehe kirahisi Sana, nna imani atachepuka Tena maana keshakusoma una moyo mwepesi Sana wa kusamehe haraka.

Ulitakiwa uoneshe advertise Moja matata Sana kama unamwacha Moja kwa moja.
(Hata Kama huna.mpango wa kumuacha)

Pia uyo ex wake nae umchimbe mkwara mzito Sana kwamba umejua na akiendelea dawa yake inachemka. Ajutie kabisa Ujinga aliufanya. Yaan ikiwezekana uyo kijana ndio amkimbie mkeo.

Unapojificha eti unanuna na hufunguki kwa pande zote mbili kilichokukasirisha. Eti unajifulia nguo n.k
Huo unakua Ni ufala.

Wote wanakuona Ni mwanaume mwenye wivu sana na kisirani tu. Na ulivosamehe kirahis wameshakuchora Ni mwanaume kisirani na laini asiye na msimamo kabisa.

BE A MAN and be a HUSBAND[emoji120]
Simamia ndoa yako, ilinde familia yako
Ni ujinga ku deal na mgoni wako Sasa uta deal na wangapi ? deal na mkeo maana yeye ndio main character
 
Unapoingia kwenye ndoa na familia lazima uwe tayari kupambana na changamoto kama hizi.
Nimependa jinsi ulivyoliendea Hilo swala yaani kiutuuzima,sina tatizo na wewe kumsamehe,Ila nadhani kuonyesha kwamba umekereka ingebidi ungeamua aende Kwanza kwao akakae kama mwezi hivi apate kujitafakari vizur na kuona ubaya wa kitendo chake au kama wewe ni muislamu waeza kumtenga Kwa kipindi cha miezi minne atie akili Kwanza, hapo inamaana hulali nae kitanda kimoja na hukutani nae kimwili lkn mambo mengine ya huduma yanaendelea kama kawaida, hapo ataujiuliza hapa sijaachwa hivi je nikiachwa itakuwaje.

Ila fanya Jambo ambalo litaonyesha umekereka sana
 
Tatizo kubwa lilianza pale nilipogundua anachepuka na ex wake. Baada ya kuligundua hilo sikutaka kuchukua hatua za shari sana papo kwa papo, bali nilichukua hatua ambazo mpaka leo anashindwa kuelewa afanyeje, sasa imefikia hatua muda wote ni analia tu, saikolojia hayupo sawa na kama anataka kuchanganyikiwa hivi.

Baada ya kugundua kwamba anachepuka nilichukua maamuzi yafuatayo

1. Siku hiyo hiyo niliyogundua sikutaka kumuuliza kama ni kweli au siyo kweli kwa sababu nilishajihakikishia kwa asilimia 100.

2. Sikula Chakula chake, nilifika naingia jikoni na kuandaa Chakula mwenyewe (hii imeendelea hadi leo)

3. Najitahidi sana niwahi kurudi nyumbani tofauti na siku za nyuma.

4. Tukilala kitandani mimi nageukia mzungu wa nne.

5. Tangia siku hiyo sijawahi kumuomba unyumba(japo anaweka mazingira ya jambo hili kila siku)

6. Akiniuliza namjibu kidogo halafu naendelea na utaratibu wangu.

7. Kila kitu najifanyia hadi nguo chafu zote za kwangu nakusanya na kufua mwenyewe nikipata nafasi(Ninapokuta amezifua narudia kufua)

8. Simtukani wala kumuongelesha vibaya bali nafanya mambo yangu ndani ya nyumba kivyangu.

9. Baada ya kuona hivyo, akasema anataka akaonane na Mama yake(ilikuwa Ijumaa usiku, nikampatia nauli muda huo huo na kumwambia asubuhi na mapema aende, ghafla akasema ameahirisha hadi sasa yupo)

10. Nimeacha kuchangia naye kitu chochote ndani ya nyumba isipokuwa sehemu ya kulala tu(kitandani na penyewe mzungu wa nne au nalala sebuleni wakati mwingine).

Sasa leo ni siku ya 6 tangia nimeanza kuishi hivyo na mke, mke wangu amenyongonyea ghafla, amekonda, amekuwa mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote.

Katika kipindi hiki chote alijua sababu ya mimi kuishi hivyo ni yeye kuchepuka, hii ni baada ya jana jioni kuniita Chumbani na kusema anajutia sana kufanya vile na hatarudia, jambo baya zaidi akasema ameshafikiria mara mbili kunywa Sumu, anaona hana thamani tena kwangu, Dah [emoji24][emoji24] nilimwonea huruma sana na nikaamua kumsamehe tuendelee na maisha lakini naona hali haijabadilika kwake yaani ni mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote, kiufupi anapitia wakati mgumu sana.

Wito kwa wanaume na wanawake hasa wanaoishi pamoja kama mke na mume kwa namna yoyote ile, kupigana siyo adhabu tosha ya kusuruhisha migogoro, mimi huyu mwanamke nimempa adhabu hiyo lakini naona imemnyoosha kweli kweli japo naona kabisa imemuharibu kisaikolojia kabisa.

Tatizo mkuu hutakua na furaha
Niamin mimi hutakua na AMANI
 
Kununa hajujawahi kua suluhisho la kudumu kwenye migogoro Kama hiyo.

Ulichokifanya Ni kana kwamba uyo mwanamke ni unaiba tu (Mchepuko au hawala yako).
Hujaonesha Yale makucha na mAmlaka ya kiume kuonesha umekasirishwa na alichokifanya.

Na kwasababu umemsamehe kirahisi Sana, nna imani atachepuka Tena maana keshakusoma una moyo mwepesi Sana wa kusamehe haraka.

Ulitakiwa uoneshe advertise Moja matata Sana kama unamwacha Moja kwa moja.
(Hata Kama huna.mpango wa kumuacha)

Pia uyo ex wake nae umchimbe mkwara mzito Sana kwamba umejua na akiendelea dawa yake inachemka. Ajutie kabisa Ujinga aliufanya. Yaan ikiwezekana uyo kijana ndio amkimbie mkeo.

Unapojificha eti unanuna na hufunguki kwa pande zote mbili kilichokukasirisha. Eti unajifulia nguo n.k
Huo unakua Ni ufala.

Wote wanakuona Ni mwanaume mwenye wivu sana na kisirani tu. Na ulivosamehe kirahis wameshakuchora Ni mwanaume kisirani na laini asiye na msimamo kabisa.

BE A MAN and be a HUSBAND[emoji120]
Simamia ndoa yako, ilinde familia yako

Kachaaaaaaaaa!!!!!
 
Amejutia kosa lake kwakuwa umemdaba. Usingemdaba, abadani, asingeona kama anachokifanya ni kibaya.

Unajua anavyochepuka huwa anamwambia na kupanga nini na mchepuko?.

Kusaliti ni kama uhaini. Akosaye uzalendo hapaswi kuishi.

Nashukuru.
 
Unaweza ukaona ni rahisi, lakini hii adhabu ni kali sana, pengine kuliko hata hizi ulizozipendekeza hapa
Adhabu kisaikolojia Ni kkubwa,
ila haiwez kumfanya kujutia alichokufanya asirudie Tena kukifanya.

Lazima mkeo umtengenezee hofu ya matokeo ya kukucheat, sio ajue akikucheat ukikasirika utaishia kufua nguo na kuosha vyombo.

Huo Ni udhaifu sana na kuonesha kwake hupindui, na anajua umemsamehe Kwasababu unampenda Sana na huna mbadala.

Kwanza kile l kitendo Cha kuwahi mapema ana imani anajua huna pa kwenda, Ndo maana umerud nyumban mapema sababu ya wivu wako.
 
Nimependa jinsi ulivyoliendea Hilo swala yaani kiutuuzima,sina tatizo na wewe kumsamehe,Ila nadhani kuonyesha kwamba umekereka ingebidi ungeamua aende Kwanza kwao akakae kama mwezi hivi apate kujitafakari vizur na kuona ubaya wa kitendo chake au kama wewe ni muislamu waeza kumtenga Kwa kipindi cha miezi minne atie akili Kwanza, hapo inamaana hulali nae kitanda kimoja na hukutani nae kimwili lkn mambo mengine ya huduma yanaendelea kama kawaida, hapo ataujiuliza hapa sijaachwa hivi je nikiachwa itakuwaje.

Ila fanya Jambo ambalo litaonyesha umekereka sana
Nakuelewa sana unajua kuna vitu vinapotokea ndani ya ndoa vinahitaji uvumilivu na uhamuzi wa busara kwanza kuliko nguvu. Waswahili wanasema unaweza kuruka mkojo ukakanyaga mavi.
 
Uko sahihi ndiyo maana nilihamua nimuhadhibu hivyo kwanza.
Narudia Tena,
Hapo Hamna adhabu yoyote ya maana uliyomuadhibu, Kwa Mwanamke Ni Kawaida Sana kujishusha anapokosea.

Ila kumsamehe HARAKA Tena kizembe namna iyo umekosea Sana, ulipaswa uombe USHAUR tukushauri adhabu nzur ya kisaikolojia, I'll sio hiyo yako.
 
Back
Top Bottom