Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Mpaka sasa, shauri zote zimejielekeza kufanya maamuzi kwa pupa na fujo zaidi ambazo mara nyingi hitimisho lake waga ni kihama.
 
Unge mkaushia miezi hata mi 3
Tena akiwaamemrudisha kwa wazazi wake, kule kwao atachambwa balaa na wazazi wake na ndugu zake kwa kuiletea aibu familia Yao ukweni.

Wanawake Ni Watu wanaoheshimu na kuogopa Sana walikotokea, itamuuma Sana

Siku ukija kumrudisha atakua keshanyooka vya kutosha, kutokurudia UPUMBAVU ule.
 
Big up bro kwa huu ujasiri
 
Hofu niliyomtengenezea kwa adhabu hii ni kubwa muno na pengine anajutia sana hajawahi kupewa mateso ya saiklojia ya namna hii.

Jioni hii amepelekwa hospitali hali yake imekuwa mbaya sana na pressure imekutwa iko juu sana.
 
ni wewe huyu unaandika yote haya au???

kwamba wewe huchepuki, au mkeo hachepuki na mchungaji??

au kwa vile hujamkamata???
Binafsi deep down my heart,
Siwez kumuacha MKE wangu eti kwa kosa la kuchepuka, hata nimkute kitandani maana nampenda Sana na bado namhitaji.
Ukzingatia pia mi mwnywn Ni mchepukaji haswa, nnapochepuka nafs sometimes inanisuta sana ila Basi TU[emoji29].

ila Sasa siwez ruhusu ajue Hilo
(Ni Siri yangu) maana ntatengeneza Uhuru wa manyani.

Ninachomwambia kila Mara,
Siku nikimbaini anachepuka Mimi na yeye bhasi, talaka inatolewa chap mfuko wa shati.

Na nimemuweka wazi Hilo kusudi Kama difensive mechanism maana mwanamke kuchepuka madhara yake kwenye ndoa Ni makubwa sana kuliko hata sisi wanaume tukichepuka.[emoji4]
 
Amekuigizia na wewe umeingia kingi,

Kwanza kitendo Cha binti yao kuchepuka na ukawaficha wazazi wake unatengeneza bomu baya Sana.

Usichokijua,
Wanawake huwasikiliza na huwaogopa Sana wazazi wa kuliko hata wewe.

Wazaz wake na ndugu zake Wana nafas Kubwa Sana ya kumsema akabadilika kuliko hata wewe mme wake.

Hamna kitu wanawake wanaogopa Kama kuchafua jina la ukoo wao au familia Yao.

Malalamiko na makasiriko ya wazazi wake huwauma na kuwachoma Sana kuliko hata hicho kisirani Chako uko nyumbani kwako
 
Mpaka sasa, shauri zote zimejielekeza kufanya maamuzi kwa pupa na fujo zaidi ambazo mara nyingi hitimisho lake waga ni kihama.
Sio kweli,
Sio kila kosa Ni la kumuacha MKE,
Binafsi huwa najisemea kua siwez kumuacha MKE wangu kwa kosa la kuchepuka (japo siombei itokee, na sitak ajue Siri hii)

Ila hata nikimkuta kitandani sitompa talaka,
Kwa maana mbali na Hilo la kuchepuka, anayo mazur yake mengi Sana yanayolifunika Hilo baya la kuchepuka.
Ambalo kwa Mimi nimeshamkosea sana uko mafichoni.

Ila ujue siwez msamehe kirahisi hivyo,
Ntamnyoosha ipasavyo mpk ajutie UPUMBAVU ule.
 
Ndugu yangu,ukisikiliza ushauri wa wengi humu.utachanganyikiwa.kwanza nikuulize kama mna watoto.kama una watoto,hao ni kiunganishi kikubwa sana kati yenu.huenda nawe pia ktk maisha yako sidhani kama hujawahi kuchepuka.kuna watu wamezaa ndani ya ndoa na bado wakasemehewa na wenzi wao.adhabu hiyo uliyompa,sidhani kama atathubutu kurudia.mungu alisema samehe 7 mara 70 utapata thawabu.
 
Nakuelewa sana unajua kuna vitu vinapotokea ndani ya ndoa vinahitaji uvumilivu na uhamuzi wa busara kwanza kuliko nguvu. Waswahili wanasema unaweza kuruka mkojo ukakanyaga mavi.
Sahihi lakini hilo kosa adhabu yake ni straight RED CARD. Hakuna adhabu nyingine hapo. Makosa mawili kwenye ndoa hayahitaji vikao vya suluhu. Mke kuchapuka au kufanya mambo ya ushirikina. Malizana naye huyo mwanamke bro.
 
Endelea kusamehe hadi ubambikiwe mwanaharamu ndipo akili zikukae sawa.
 
Pia siyo jambo rahisi yaan we jamaa jasiri saana mimi nilimjeruhi vibaya nimeponea chupu chupu kua mahabusu saa hizi so naelewa ulichokifanya na nina heshimu kwasabab mimi najuta kwakua nimeharibu reputation yangu
 
Hofu niliyomtengenezea kwa adhabu hii ni kubwa muno na pengine anajutia sana hajawahi kupewa mateso ya saiklojia ya namna hii.

Jioni hii amepelekwa hospitali hali yake imekuwa mbaya sana na pressure imekutwa iko juu sana.
Unaweza pima Hofu? Hofu inapimwa kwa kipimo gani? Inaonekana wewe ni mrugaruha sana, eti hofu,
 
Hofu niliyomtengenezea kwa adhabu hii ni kubwa muno na pengine anajutia sana hajawahi kupewa mateso ya saiklojia ya namna hii.

Jioni hii amepelekwa hospitali hali yake imekuwa mbaya sana na pressure imekutwa iko juu sana.
Hizo zpte ni zuga tu, mwanamke anaweza hata zuga anakaribia kukata kamba, hizo zuga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…