Tears of the Sun
Member
- Jun 2, 2022
- 96
- 294
- Thread starter
-
- #141
Mpaka sasa, shauri zote zimejielekeza kufanya maamuzi kwa pupa na fujo zaidi ambazo mara nyingi hitimisho lake waga ni kihama.Narudia Tena,
Hapo Hamna adhabu yoyote ya maana uliyomuadhibu, Kwa Mwanamke Ni Kawaida Sana kujishusha anapokosea.
Ila kumsamehe HARAKA Tena kizembe namna iyo umekosea Sana, ulipaswa uombe USHAUR tukushauri adhabu nzur ya kisaikolojia, I'll sio hiyo yako.
Tena akiwaamemrudisha kwa wazazi wake, kule kwao atachambwa balaa na wazazi wake na ndugu zake kwa kuiletea aibu familia Yao ukweni.Unge mkaushia miezi hata mi 3
Big up bro kwa huu ujasiriTatizo kubwa lilianza pale nilipogundua anachepuka na ex wake. Baada ya kuligundua hilo sikutaka kuchukua hatua za shari sana papo kwa papo, bali nilichukua hatua ambazo mpaka leo anashindwa kuelewa afanyeje, sasa imefikia hatua muda wote ni analia tu, saikolojia hayupo sawa na kama anataka kuchanganyikiwa hivi.
Baada ya kugundua kwamba anachepuka nilichukua maamuzi yafuatayo
1. Siku hiyo hiyo niliyogundua sikutaka kumuuliza kama ni kweli au siyo kweli kwa sababu nilishajihakikishia kwa asilimia 100.
2. Sikula Chakula chake, nilifika naingia jikoni na kuandaa Chakula mwenyewe (hii imeendelea hadi leo)
3. Najitahidi sana niwahi kurudi nyumbani tofauti na siku za nyuma.
4. Tukilala kitandani mimi nageukia mzungu wa nne.
5. Tangia siku hiyo sijawahi kumuomba unyumba(japo anaweka mazingira ya jambo hili kila siku)
6. Akiniuliza namjibu kidogo halafu naendelea na utaratibu wangu.
7. Kila kitu najifanyia hadi nguo chafu zote za kwangu nakusanya na kufua mwenyewe nikipata nafasi(Ninapokuta amezifua narudia kufua)
8. Simtukani wala kumuongelesha vibaya bali nafanya mambo yangu ndani ya nyumba kivyangu.
9. Baada ya kuona hivyo, akasema anataka akaonane na Mama yake(ilikuwa Ijumaa usiku, nikampatia nauli muda huo huo na kumwambia asubuhi na mapema aende, ghafla akasema ameahirisha hadi sasa yupo)
10. Nimeacha kuchangia naye kitu chochote ndani ya nyumba isipokuwa sehemu ya kulala tu(kitandani na penyewe mzungu wa nne au nalala sebuleni wakati mwingine).
Sasa leo ni siku ya 6 tangia nimeanza kuishi hivyo na mke, mke wangu amenyongonyea ghafla, amekonda, amekuwa mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote.
Katika kipindi hiki chote alijua sababu ya mimi kuishi hivyo ni yeye kuchepuka, hii ni baada ya jana jioni kuniita Chumbani na kusema anajutia sana kufanya vile na hatarudia, jambo baya zaidi akasema ameshafikiria mara mbili kunywa Sumu, anaona hana thamani tena kwangu, Dah [emoji24][emoji24] nilimwonea huruma sana na nikaamua kumsamehe tuendelee na maisha lakini naona hali haijabadilika kwake yaani ni mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote, kiufupi anapitia wakati mgumu sana.
Wito kwa wanaume na wanawake hasa wanaoishi pamoja kama mke na mume kwa namna yoyote ile, kupigana siyo adhabu tosha ya kusuruhisha migogoro, mimi huyu mwanamke nimempa adhabu hiyo lakini naona imemnyoosha kweli kweli japo naona kabisa imemuharibu kisaikolojia kabisa.
Suala sio amuache,kwan wanaume mnaosema amuache nyie hamchepukagi[emoji848]....hongera sana mkuu, wewe ni mwanaume mwenye upendo.
Yule sio MKE wangu chief[emoji4]we mbona mama J huwa anachepuka
Hofu niliyomtengenezea kwa adhabu hii ni kubwa muno na pengine anajutia sana hajawahi kupewa mateso ya saiklojia ya namna hii.Adhabu kisaikolojia Ni kkubwa,
ila haiwez kumfanya kujutia alichokufanya asirudie Tena kukifanya.
Lazima mkeo umtengenezee hofu ya matokeo ya kukucheat, sio ajue akikucheat ukikasirika utaishia kufua nguo na kuosha vyombo.
Huo Ni udhaifu sana na kuonesha kwake hupindui, na anajua umemsamehe Kwasababu unampenda Sana na huna mbadala.
Kwanza kile l kitendo Cha kuwahi mapema ana imani anajua huna pa kwenda, Ndo maana umerud nyumban mapema sababu ya wivu wako.
Unajua kuna watu hapa wananiona kama nilichofanya badoo, ila adhabu hii niliyompa imepelekea jioni hii imebidi apelekwe hospitali, pressure iko juu sana na akitoka salama Mama yake anamchukua kwanza, kwhy unaweza kuona hili Jambo nilivyomakini nalo muno.Big up bro kwa huu ujasiri
Binafsi deep down my heart,ni wewe huyu unaandika yote haya au???
kwamba wewe huchepuki, au mkeo hachepuki na mchungaji??
au kwa vile hujamkamata???
Amekuigizia na wewe umeingia kingi,Unajua kuna watu hapa wananiona kama nilichofanya badoo, ila adhabu hii niliyompa imepelekea jioni hii imebidi apelekwe hospitali, pressure iko juu sana na akitoka salama Mama yake anamchukua kwanza, kwhy unaweza kuona hili Jambo nilivyomakini nalo muno.
Sio kweli,Mpaka sasa, shauri zote zimejielekeza kufanya maamuzi kwa pupa na fujo zaidi ambazo mara nyingi hitimisho lake waga ni kihama.
Sahihi lakini hilo kosa adhabu yake ni straight RED CARD. Hakuna adhabu nyingine hapo. Makosa mawili kwenye ndoa hayahitaji vikao vya suluhu. Mke kuchapuka au kufanya mambo ya ushirikina. Malizana naye huyo mwanamke bro.Nakuelewa sana unajua kuna vitu vinapotokea ndani ya ndoa vinahitaji uvumilivu na uhamuzi wa busara kwanza kuliko nguvu. Waswahili wanasema unaweza kuruka mkojo ukakanyaga mavi.
Si ndio anamvuruga kisaikolojia eti. 🙃
Pia siyo jambo rahisi yaan we jamaa jasiri saana mimi nilimjeruhi vibaya nimeponea chupu chupu kua mahabusu saa hizi so naelewa ulichokifanya na nina heshimu kwasabab mimi najuta kwakua nimeharibu reputation yanguUnajua kuna watu hapa wananiona kama nilichofanya badoo, ila adhabu hii niliyompa imepelekea jioni hii imebidi apelekwe hospitali, pressure iko juu sana na akitoka salama Mama yake anamchukua kwanza, kwhy unaweza kuona hili Jambo nilivyomakini nalo muno.
Wee ni bwegeNakuelewa sana unajua kuna vitu vinapotokea ndani ya ndoa vinahitaji uvumilivu na uhamuzi wa busara kwanza kuliko nguvu. Waswahili wanasema unaweza kuruka mkojo ukakanyaga mavi.
Unaweza pima Hofu? Hofu inapimwa kwa kipimo gani? Inaonekana wewe ni mrugaruha sana, eti hofu,Hofu niliyomtengenezea kwa adhabu hii ni kubwa muno na pengine anajutia sana hajawahi kupewa mateso ya saiklojia ya namna hii.
Jioni hii amepelekwa hospitali hali yake imekuwa mbaya sana na pressure imekutwa iko juu sana.
Hizo zpte ni zuga tu, mwanamke anaweza hata zuga anakaribia kukata kamba, hizo zugaHofu niliyomtengenezea kwa adhabu hii ni kubwa muno na pengine anajutia sana hajawahi kupewa mateso ya saiklojia ya namna hii.
Jioni hii amepelekwa hospitali hali yake imekuwa mbaya sana na pressure imekutwa iko juu sana.