Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Jamaaa wewe bwege sana, inaonekana huwajui wanawake, hakuna cha adhabu hapo, na ataendelea kugongwa tu, baada hata baada ya mwaka na this time hutakaa ujue
 
Wewe ndio unajua kusema ukweli, jamaa anajisifia hatua za kiutopolo na kiboya alizochukua kisha anajiona mjaaanja.
Nimpe taarifa tu huko kununa, jufua, kulala opposite vyote vilikuwa vinaripotiwa live kwa ex (mme mwenzio), na hata alipomaliza hayo maigiza uchwara yake imeripotiwa pia kwamba naona yameisha baby, jana usk kataka tunda na kaacha kujinunisha! Jamaa akaambiwa huyu niachie mimi namumudu baby! Akamalizia kwa kuambiwa i love you my baby, ngoja hali itulie kidogo nitakuletea tunda lako.

Ushauri: Jiandae kununa zaidi, nunua mashine ya nguvu ya kufua nguo nyingi, jiandae kulala mzungu wa 4×2=8, na ningejua ulipo hata mm ningekuchapia [emoji1]
 
Kakomaa na neno KISAIKOLOJIA, KISAIKOLOJIA, KISAIKOLOJIA, Mbona hiyo saikolojia hakuiona wala kuitumia kabla hajasalitiwa!
Anyway hawa ni wale wasiofurukuta kwa wanawake zao!
Dear ex endelea kukamua muke ya huyu jama ili kumsaidia kazi maana hawez kazi ila anaweza saikolojia.
 
Hiyo kitu inaitwa Psychological torture ni nzuri sana ila linapokuja suala la kusamehe ni vizuri ungechunguza sababu iliyopelekea akakucheat otherwise lazima atarudia tena akijua utampa psychology torture na utamsamehe tu.
 
Hiyo adhabu yako ina-apply kwenye uzinzi tu. Huko kwingine utaonekana kituko.
 
Hiyo kitu inaitwa Psychological torture ni nzuri sana ila linapokuja suala la kusamehe ni vizuri ungechunguza sababu iliyopelekea akakucheat otherwise lazima atarudia tena akijua utampa psychology torture na utamsamehe tu.
Anadhani amemkomoa na kumfundisha ila Hajui wanawake akili zao zipo tofauti sanaa...!! Yani akimsamehe tu ajuee Ex ataendeleaa kula utamuu tuu...
 
Hapo kwenyw Hatorudiaa ndo Unakoseaa.. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Huwajui wanawake vizuri kakaa..
 
Mkuu unajua jamaa angeendelea nini kingefwata??

Kifo Upo Tayari afe kwa kihoro?
 
Kuna group la Whatsapp kuna mwanaumle ameandika kuwa MMEWE KANUNA BAADA YA KUGUNDUA ANALIWA yeye kasema mmewe hajui kutumia mashine vzr.
Yote uliyosema amesema hivyo hivyo. Mbinu alizotumia

1. Alijaribu kuweka mtego wa kutamanisha kwa kujiweka mzigo out. Anasema haukuweza

2. Anasema kuna wakati alikuwa anagusisha mbususukwa kalio la mmewe akapigwa kipespi.

3. Mbinu iliyomaliza. Akaweka USO WA HUZUNI NA KULIA kila mmewe akikaribia kurudi home. Anqsema mbinu hii amefundishwa na Ex wake. Hii AMEFANIKIWA
Pole kumbe ni wewe.
Ishi na mkeo usimuache

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Mimi tangu juzi hatuongei, Mimi Kwa Raha zangu napombeka tu. Na Sina time naye, Jana akaanza kujileta mwenyewe
 
Ulifanya kosa kubwa kumzuia asinywe sumu.
Biblia yangu inasema usimwache mwanamke mchawi aishi.
Siku akisema anataka kunywa sumu ni PM fasta nikuletee BOTOX au nyongo ya mamba anywe aende zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…