ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Nadhani waje watu wa afya ya uzazi watujuze, ila huenda mambo ya hormones yanaweza kuchangia au kama ulivyosema matumizi makubwa ya madawa alivyokuwa binti.Vipi kuhusu kupata ute wa uzazi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani waje watu wa afya ya uzazi watujuze, ila huenda mambo ya hormones yanaweza kuchangia au kama ulivyosema matumizi makubwa ya madawa alivyokuwa binti.Vipi kuhusu kupata ute wa uzazi ?
Sawa mkuu nitafanyia kaziMpeleke kwa daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake pengine ana shida kwenye mambo ya hormone hasa oestrogen.
MKUU UMEOA?SHIDA MNAOA WANAWAKE HAMFANYI UCHUNGUZI KUHUSU MAISHA YAO, MAGONJWA, MAHUSIANO YALIYOPITA, NA FAMILIA ZAO... Halafu badala ya kuinjoi ndoa mnatumia muda mwingi kuwatibia kuhangaika hospital na kutumia pesa nyingi...
Embu rudia kusoma ulichoandika, maana ndipo tatzo lilipo kwa mkeo 👇👇
Nb; miaka ya nyumba background yake aliwahi kuwa mpenzi wa madawa ya hospital sana kutibu maradhi mengine kama Typhoid, Fungus ukeni, UTI za mara kwa mara. Alikua anabugia dawa huko nyuma kama njugu.
hajaoa hayo mambo tunayajua sie aisee.MKUU UMEOA?
Nimegundua pia huwez kutatua changamoto zinazo kukabili...MKUU UMEOA?
Mkuu shukrani.tumieni asali na kitunguu swaumu.
mlete mrejesho,kwa muda wa mwezi.
SAWANimegundua pia huwez kutatua changamoto zinazo kukabili...
😅😂 na wewe mkeo hana utelezi au huwezi kumtoa utelezi..? Embu nijibu basi nijue nakusaidiaje...hajaoa hayo mambo tunayajua sie aisee.
NIKWELI ILA KWA UPANDE MWINGINE SIYO KWELIKama hana tatizo la kiafya basi hakupendi!!.
mtoto wakike akikupenda hata ukimuongelesha kimahaba analoa tena nyepenyepe!.
upande upi..?NIKWELI ILA KWA UPANDE MWINGINE SIYO KWELI
Sawa mkuu nitafanyia kaziSpoil her,ukotoka kazini mletee zawadi hata kama ni ndogo,Mtoe out,tembea nae barabarani,Muogeshe usimfokee mpe attention ,text simu na vitu kama hivyo.
Hawa wenzetu wameumbwa kupendwa tuu
Alafu fuata tiba pia.
Nyuki wadogo,Anasaga vitunguu then anachanganya kwa asali.Mkuu shukrani.
Naomba kuuliza ni asali ya nyuki wa kubwa au wadogo?
Je, anapondaponda na kuchanganya na anatumia kiasi gani kwa siku?
Sidhan kama hio ya masaa 12 inaashindwa kumsaidia sababu hajazingatia hio nusu saa ,nashauri muende hospitaliHii ametumia sana ila alikua analoweka kwa muda wa masaa 12. Vipi hii nusu saa na masaa 12 ipi ni bora zaidi. Mana hii ya masaa 12 naona bado haileti nafuu?