Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmhh ...usimdanganye mwenzio😄🤪Sasa hapo shida Nini? Niamini mm shida unayo ww kuzingatia vitu vya kawaida saana.
Wanabodi hii hivi iko sawa.
Ghafla huyu binti ananiita majina ambayo sio kawaida kuyasikia kwa wanawake mara ananitext "Hey mkuu, gas imeisha" mara "Mkuu unarudi saa ngapi".
Je hio ni sawa au ni re
Labda amekuona wewe ni mkundugu yakeWanabodi hii hivi iko sawa.
Ghafla huyu binti ananiita majina ambayo sio kawaida kuyasikia kwa wanawake mara ananitext "Hey mkuu, gas imeisha" mara "Mkuu unarudi saa ngapi".
Je hio ni sawa au ni red flag?
Na wewe anza kumuita dada, shangazi, demu n.kKipindi namtongoza alikua ananiita bro.
Yakaiva akanza kuniita mara baby, mme, mpenzi, na majina ya mahaba mengine.
Sasa hizi wiki mbili hapa kabadilika, alianza ananiita kiongozi sasahivi naitwa mkuu
Wew ni kiongozi mkuu wa familia.Wanabodi hii hivi iko sawa.
Ghafla huyu binti ananiita majina ambayo sio kawaida kuyasikia kwa wanawake mara ananitext "Hey mkuu, gas imeisha" mara "Mkuu unarudi saa ngapi".
Je hio ni sawa au ni red flag?
Huyo anashinda sana mitandaoni au akishika simu yako huwa anakuta unawanyenyekea watu kwakuwaita majina hayo ushauri wa bure tafuta hela upunguze kuwanyenyekea watu kwakuwaita majina km mkuu boss mheshimiwa kiongozi chief n.kWanabodi hii hivi iko sawa.
Ghafla huyu binti ananiita majina ambayo sio kawaida kuyasikia kwa wanawake mara ananitext "Hey mkuu, gas imeisha" mara "Mkuu unarudi saa ngapi".
Je hio ni sawa au ni red flag?
Sio mbaya anajaribu tu kubadilisha mfumo wa MaishaAngalau basi ingekua mara moja moja, now imekua mfululizo
Msimbane sana atakosa hewa, itakuwa huyo mkewe kajiunga jf majuzi akakutana na msamiati mpya ambao hakuuzoea huko kwenye mitandao mingine ya kijamii.Huyo uliyemuita mke wako kwenye heading. Ndio huyu Binti unayemzungumzia?🤔
KabisaHuyo atakuwa Moderator wa Jf.
Mkuu wa Kaya, acha uwogo.. hapo penzi ndio limetamaladi..we unataka maneno ya sweetiee...mara honey...Wanabodi hii hivi iko sawa.
Ghafla huyu binti ananiita majina ambayo sio kawaida kuyasikia kwa wanawake mara ananitext "Hey mkuu, gas imeisha" mara "Mkuu unarudi saa ngapi".
Je hio ni sawa au ni red flag?