DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Labda wewehatuwapendi ila hatuna nafasi ya kutekeleza chuki zetu ,mwanamke anakaba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wewehatuwapendi ila hatuna nafasi ya kutekeleza chuki zetu ,mwanamke anakaba
Wengine ni mashetani na wachawi na sio wanadamu mkuu .Sisi tumelelewa kuishi na watu,bila kujali ni ndugu yako au laa
Nimeanza kuishi na watu(siyo ndugu) hata kabla sijoa.
Swali langu ni Je kuna ugumu gani kuishi na mtu mwingine achilia mbali mtoto wa mumeo/mkeo?basi watu tunatofautiana sana.
[emoji23][emoji23]Kila mtoto akae kwao
Mimi Sina na hata mtu akileta mtoto ndio kuachana mazima na hamna mjadala adeal na kenge zako alizozaa huko nje lohKwa nini azae nje tuanzie hapo?
Kwa nini anazini nje na wewe mkewe upo?
Tibu mapungufu yako ktk ndoa yako,vinginevyo utaletewa watt tu hakuna namna,tatizo limeanzia kwako.
Kwanini nipende vitu visivo ni husu hayo ni matumizi mabaya ya moyo wangu kabisa, na hao unaposema eti nipokea hela zake kwani Mimi sifanyi kazi inayoniingizia kipato?Na wewe acha tamaa zako zinazogharimu utu wako!
Hela unapokea then mtoto hutaki kupokea! Hakuna mapenzi hapo maana kama utashindwa kumpokea na kumpenda mtt mdogo asie na hatia,mtu mzima mwenye hatia kibao utamuweza? Mapenzi ya kufuata hela hatuyataki.
Ni heri mtt abaki maana ni kwangu ndio nyumbani kwake na ni ndugu na damu yangu ila wewe uondoke tu maana una kwenu...kwa baba yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] matumizi mabaya ya moyo sio?Kwanini nipende vitu visivo ni husu hayo ni matumizi mabaya ya moyo wangu kabisa, na hao unaposema eti nipokea hela zake kwani Mimi sifanyi kazi inayoniingizia kipato?
Kumbuka Mimi nataka mahusiano na wewe na sio watoto wako nimekuja kwa starehe hayo ya mtoto wako mpendeni nyie mliomzaa, na hii yote watu hawafati maadili wao ni kuzaa tu wakitegemea kuja kulaumu wengine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umewapiga kwenye mshono.Ma single father wataniua humu mwenzenu jamani Mimi nakuwa muwazi na mkweli sipendi watoto wasio na hatia wateseke pia na wanawake wasio wazaa hao watoto walaumiwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyoko zenu nyie mnazaa huko mnashindwana zenu mtoto unampa lawama mtu mwingine ndio aliwatuma mpanue miguu kweli Yani nyie mzae huko kwa starehe zenu na ubinafsi mumeshindwa kuelewana huko then una force mama wengine wampemde nyie ka mnashindwa na ni damu yenu why blame other women's. Damu yenu nyie mumeshindwa ku raise mwanenu are you guy's mad?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wajinga ni wale wanaozaa mtoto then hawataki kumlea mikojo Yao ya starehe na ku Force mama wa wengine awasaidie kulea watoto, kwanini huyo mama aliwatuma mzae, hata huyo mtoto hakuomba mumazae mje kumtesa na kumyumbisha kilikuwa kiherehere chenu tu wawili then why ulaani wanawake wengine, nyie wenyewe mliokutanisha vikojoleo lawashinda kwanini mtu baki ambaye hajamubeba tumboni awe na uchungu naye.
[emoji23][emoji23] Nitapinga siku zote hii tabia za kuzaa hovyo na kuja kutesa watoto kupata malezi na watu baki Nitapinga Jana, Leo, kesho na keshokutwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahhatuwapendi ila hatuna nafasi ya kutekeleza chuki zetu ,mwanamke anakaba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan uzi mtamu huu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] matumizi mabaya ya moyo sio?
Yes matumizi mabaya ya moyo bana ujue kupenda kisicho kuhusu ni ngumu mno angalieni hata mfano wa kuku na vifaranga wake akiona wa kuku mwingine ana vidonyoa donyoa tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] matumizi mabaya ya moyo sio?
Watu hawapendi ukweli bana, I hate innocent and poor kid kuathirika malezi yake kwa usumbufu wa wazazi, wakati mtoto hakuomba wamlete duniani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umewapiga kwenye mshono.
Ndo hapo sasa.Watu hawapendi ukweli bana, I hate innocent and poor kid kuathirika malezi yake kwa usumbufu wa wazazi, wakati mtoto hakuomba wamlete duniani.
Imagine wao wenye uchungu zaidi wameshindwa, unategemea vipi mtu mwingine aweze. Labda kama mzazi mmoja wa huyo mtoto hayuko hai.Maelezo mazuri Yao yamewashinda hafu laana wamwangushia mtu mwingine it's not fair
Na umewakimbiza kweli kwenye hii thread, washazoea unafki lol . Wanawake wengi wanapenda ndoa ndo maana wanajifanyisha kupenda watoto wasio wao, na kuna wenzangu na mimi akuu hatutaki!Watu hawapendi ukweli bana, I hate innocent and poor kid kuathirika malezi yake kwa usumbufu wa wazazi, wakati mtoto hakuomba wamlete duniani.
Heri wakimbie wanaume wengi wangesimama kwenye nafasi zao ka vichwa vya familia migogoro mingi isingekuwepo na kusingekuwa na watoto wa mtaani, Sasa wao ni kufungua zipu kwa kujifanya vidume imagine mtu hajaoa ila ana watoto watano na mama tofauti anataka umsaidie kulea kilazima na anakulaumu kabisa. Sina mtoto ila kuolewa na mtu aliyekwisha zaa mtoto/ watoto ni changamoto you won't enjoy the relationship kabisa, na Hawa wanaume ndio hutukana sana single Maza na kusema hawalei watoto wa wanaume wenzao mpaka waone eti kaburi etiNa umewakimbiza kweli kwenye hii thread, washazoea unafki lol . Wanawake wengi wanapenda ndoa ndo maana wanajifanyisha kupenda watoto wasio wao, na kuna wenzangu na mimi akuu hatutaki!
Jifunzeni kua responsible folks, sio kuja kutupia lawama wengine.