Mke wangu hampendi mtoto wangu niliyempata kabla ya ndoa

Mke wangu hampendi mtoto wangu niliyempata kabla ya ndoa

Imagine wao wenye uchungu zaidi wameshindwa, unategemea vipi mtu mwingine aweze. Labda kama mzazi mmoja wa huyo mtoto hayuko hai.
Wao wenyewe waliomleta duniani yamewashinda Mimi ambaye sijamu beba 9 months naweza kuwa na uchungu kweli?
Jamani mama wa kambo huchukiwa Bure tu bila sababu Mimi Bora niletewe kitoto kichanga nikinyonyeshe mwenyewe nikikuze kikijua ni mamake hata nikimkanya anajua ni mamake we have bonding ila mtoto mkubwa kabisa na mamake yuko hai anakula Bata huko Mimi nihangaike dhubutu yangu mie
 
Heri wakimbie wanaume wengi wangesimama kwenye nafasi zao ka vichwa vya familia migogoro mingi isingekuwepo na kusingekuwa na watoto wa mtaani, Sasa wao ni kufungua zipu kwa kujifanya vidume imagine mtu hajaoa ila ana watoto watano na mama tofauti anataka umsaidie kulea kilazima na anakulaumu kabisa. Sina mtoto ila kuolewa na mtu aliyekwisha zaa mtoto/ watoto ni changamoto you won't enjoy the relationship kabisa, na Hawa wanaume ndio hutukana sana single Maza na kusema hawalei watoto wa wanaume wenzao mpaka waone eti kaburi eti
Na sisi tufanye the same
Hadi tuone kaburi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787](kidding)


Nashangaa wanaume wa humu bado wapo kulazimisha huyo mwanamke ampende mtoto.
Yaani hawa ni wanaume wa ajabu kupata kutokea.
 
Na sisi tufanye the same
Hadi tuone kaburi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787](kidding)


Nashangaa wanaume wa humu bado wapo kulazimisha huyo mwanamke ampende mtoto.
Yaani hawa ni wanaume wa ajabu kupata kutokea.
Sio kwamba hatupendi kulea hao watoto huwa hawapendeki haki na hata ukifanya chochote baba atajua una mtesa tu mwanawe Sasa shida za nini hizo
 
Sio kwamba hatupendi kulea hao watoto huwa hawapendeki haki na hata ukifanya chochote baba atajua una mtesa tu mwanawe Sasa shida za nini hizo
Na watu hawakomi tu kuzaa zaa hovyo.

Na hawapendeki kweli,,,
Mechi nzuri ianze bila bila.
 
Na watu hawakomi tu kuzaa zaa hovyo.

Na hawapendeki kweli,,,
Mechi nzuri ianze bila bila.
Imagine mechi imeanza 2-0 hyo sio fair match na wanaume unakuta Wana watoto hawataki kuoa single mom mwenye watoto wawili ka yeye Ili ngoma iwe droo kisa hawataki kulea watoto wa mwanaume mwingine ila sisi wanatu force kilazima huku wao hawawezi sisi kwetu eti roho mbaya na chuki, hivi kwanini vitu vya wanaume wao huwa sawa ila kwetu wanawake tuna roho mbaya na hatupendani
 
Ma single father wataniua humu mwenzenu jamani Mimi nakuwa muwazi na mkweli sipendi watoto wasio na hatia wateseke pia na wanawake wasio wazaa hao watoto walaumiwe
Umewapanikisha mno ila mkuki kwa nguruwe wao wana kamsemo kwamba ili uoe Single Mama hakikisha umeliona kabuli la mhusika hii kauli ni ya roho mbaya kabisa 😂😂😂
 
Imagine mechi imeanza 2-0 hyo sio fair match na wanaume unakuta Wana watoto hawataki kuoa single mom mwenye watoto wawili ka yeye Ili ngoma iwe droo kisa hawataki kulea watoto wa mwanaume mwingine ila sisi wanatu force kilazima huku wao hawawezi sisi kwetu eti roho mbaya na chuki, hivi kwanini vitu vya wanaume wao huwa sawa ila kwetu wanawake tuna roho mbaya na hatupendani
Halafu sasa hapo ndipo wanaponishangaza[emoji1787]
Wameng'ang'ana kusema 'roho mbaya '
 
Halafu sasa hapo ndipo wanaponishangaza[emoji1787]
Wameng'ang'ana kusema 'roho mbaya '
Hapo roho mbaya hapo au nzuri ukiolewa na mwanaume wa hivo jiandae kusononeka maana na family members huingilia Hilo swala uonekane una roho mbaya
 
Umewapanikisha mno ila mkuki kwa nguruwe wao wana kamsemo kwamba ili uoe Single Mama hakikisha umeliona kabuli la mhusika hii kauli ni ya roho mbaya kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]wao hawataki kusikia ingawa wanazalisha hovyo huko nje ila wakuoa wanataka asiye na mtoto hapo kukwepa kero za kulea mtoto wa mwanaume mwenzao na hapo husingizia eti wazazi kupasha kiporo kumbe ni ubinafsi wao tu na roho mbaya zao
 
Hyo treatment mungetakiwa mumpe nyie mliozaa wawili na sio kutegemea mtu baki eti apende starehe zake na kuzihudumia never on earth, eti atleast umpe treatment fair nyie mliozaa mulishindwa nini why mu expect kwa wengine kutoa hizo treatment

Sawa Mkuu umeeleweka,, Mawazo yako yaheshimiwe
 
Sasa unachokosea ni kumlazimisha mtu kuwa na hisia kama zako. Usitumie kipimo cha yeye kutokumkubali mtoto wako kama kipimo sahihi cha mapenzi kwako.

Huyo mwanamke hakuja hapo kumsaidia mwanamke mwenzake kulea mtoto amekuja kujenga familia mpya na wewe. Yaani mpate watoto wenu. Hiyo kulea mtoto wa mke mwingine ni ziada au bonus tu.

Sasa fanya hivi hebu kwanza acha kumlazimisha yeye kumkubali mtoto wako. Mchukue huyo mtoto mpeleke kwa mama yako mzazi au ndugu yako wa damu au mpeleke kwa upande wa mama yake mzazi akatulie kwa muda huko ukiendelea kumlea.

Tenga muda kila baada ya muda fulani mfano kila baada ya wiki mbili au kila weekend mtoto awe anakuja na akifika wewe ndie uwe busy nae kumhudumia. Ila usiache kutoa attention kwa mkeo unapokuwa na mtoto.

Watoe out pamoja mtoto na mkeo kisha jenga mazingira ya mkeo na mtoto wasomane tabia na kubond taratibu. Hii acha ichukue muda hata kama ni miaka. Mtoto na mkeo watazoeana taratibu hadi ipo siku utasikia mkeo anamuulizia mbona fulani haujamleta wiki hii.

Usipende kumpa mwenzako "emotional pressure" sababu ya namna wewe unataka iwe.Unapomleta mtoto wako wa nje kwa mkeo ni kama kumtangazia vita sababu anajua huyo mtoto ana mama yake ambae ni mzazi mwenzio so mtoto anaweza waleta karibu, lakini kuna maswala ya mali katika ndoa huwa mwanamke anakuwa na hofu kuwa mali anayochuma na wewe mwanamke wa nje yaani mama mtoto anaweza jimilikisha kupitia huyo mtoto kama akikubali awe sehemu ya familia. So kuna mambo mengi ambayo yanakuwa yanampelekesha anashindwa kuwa sawa kifikra ndo maana unaona anaamua kumind mtoto.

So don't take personal na ukahisi kwa haraka haraka kuwa mkeo ni mtu mbaya kwako.
Naomba kibali cha kuifanyia lamination hii comment
 
Watu mliozaa kwanini huwa mnapenda ku force watoto wenu wapendwe na wengine kilazima hasa ukichukulia mitoto yenyewe huwa mikorofi imeathiriwa na ugomvi wenu wa mahusiano yali yovunjika na ni watoto wasio pendeka hata ufanyeje wataona huyu sio mama yetu.

Kuku tu mwenyewe huwa anakimbiza vifaranga visivo mhusu sembuse binadamu, na kama kweli ulikuwa na upendo why haukupatana na uliyezaa naye mkamlea mwanenu yeye aligoma then una force mtoto apendwe na mpenzi wako mpya.

Mpenzi wako kaja kwako ku enjoy mahusiano na sio kuhangaika na mtoto asiye mhusu
Wewe ni walewale
 
Kwa vyovyote hayo ni mambo ambayo uliyalea mwenyewe tangu mwanzo na sasa ni tabia ambayo imeshaota mapembe, mwanaume ndiye msimamizi wa mke na mtoto na iwapo ukionyesha kuelemea upande mmoja au kutokukemea tabia mbovu mapema ndio hufikia huko.
Hapo bado yatatokea mazito zaidi...
Jujaelewa point ya msingi. Ngoja nikufafanulie kidogo. Kabla ya maisha ya ndoa, mwanamke alijua kuna mtoto tayari aliyezaliwa kabla ya yeye kuolewa. Na akakubali kuwa atampokea na kumpenda. Baada ya kuingia ndani na kupata ujauzito ndio akaanza kuonyesha figisu zake juu ya Yule mtoto. Na baada ya muda akaanza kudiriki kutamka wazi kuwa hawez kuishi na huyo mtoto na siku aliletwa yeye ataondoka. Mtoto alipoletwa akaona Hana ujanja akabadilika na kusema asamehewe Yuko tayari kumlea mtoto na kumpenda. Swali ni Je kuna mapenzi hapo? Anastahili kukaa na huyo mtoto? Anastahili kuitwa mke????????????
 
Yes I will teach hata nikiondoka mapema they will survive coz spirit inside me itakuwa juu Yao kama Mimi Nili survive at my age with minimal supervision and I am old enough mpaka Leo so sioni hyo ka ni good excuse ya kutetea watu wasio take full responsibility for their actions.
Pia Mimi ka mama I have to protect my genes by any means ensuring their wellbeing by creating good evironment ya wanangu by any means, wa nje kwangu ni intruders for the future of my own kid's survival loh, halafu hyo ya future ya wanangu naongelea kwangu au kwa wamama wanaowekeza vitega uchumi na wanaofanya kazi na biashara na sio kutegemea Cha mumewe sikuhizi hamna kitu ka hicho Cha kuwa goalkeeper tu, so I work hard and I have invested heavily to different properties in town yet huyo mtoto wa mama mwingine hajagi kutoa lolote hata nguo za mwanawe yet aje kupata sawa na wanangu vitu nilivojiandaa huku yeye alikuwa na mambo yake Mimi niache tu kimya na kujifanya eti mwema?
Tena huyo mtoto baba hayupo wataungana na mama yake kuleta chaos kwa watoto wangu nivumilie tu,[emoji23][emoji23] it's not bad to fight for the future of own eggs or na sio dhambi kabisa jamani na sio roho mbaya ooh.
N. B hii case ni Kwa watu walio hai tu na wanaotekeleza watoto na kuachia baba au mama kulea, maisha ni Kwa walio hai so msije hapa na excuse sijui mtu kafa na blah blah nyingi za kutafta huruma za ulezi
Napigia mstari hapa 💯
 
In short kuoana na mtu aliye kwisha kuzaa asilimia tisini ni kero na karaha tupu kwanza Wana machungu Yao na stress zao zisizoisha hau enjoy plus na huyo mtoto na drama za mamake ni kero tupu
Mimi mwenyewe niko kwenye ndoa ya dizain iyo mwanaume alizaa huko na aliwah niambia nina mtoto nilimjib sawa mamaake si yupo ndio.hatukuwah negotiate kwmb nitaletewa nikae nae na hapo ni maamuzi eidha nikubali ama nikatae.basi sikuiz mwanamke kila saa na kila siku n cm na kutaka matumiz nashangaa mwananme anasema anataka amchukue sijajib kitu maana dharau nazoletewa na huyo mwanamke sio poa how nimlelee mtoto? Angelisema mwanzon nitamletaga tukae nae ningejua najibu nn lkn sahii ndo a anataka kumleta mwnyw Ana two years halaf wangu Ana ten months naishia kuambiwa nina roho mbayakwa nn sitaki aletwe na huyo mamaake afanye nn.ni full kisiran n wivu na masimango kila siku n kumchachafya mwanaume nyie kulen raha sisi tuteseke wkt nayopitia hajui na n afadhali yakejmn ndoa za haya mambo n changamoto huinjoi kbs.unataka hela ya majukm flan unaambiwa imeenda kwa mama flan unaambiwa subir saa zngn wala hupewi nashkr Mungu nina kazi yangu most of issues am handling myself! Jmn ikiwa uko maza house tu then ukutane na izi kitu msiombeeeee!! Mungu atusaidie n ngumu kulea mtoto wa mtu huo ndo ukwl wapambn hukohuko walikokutana.and bad enough mwanamke anatuma sms anasema tulikuwa tunakula starehe Mungu akatuzawadia mtoto wala mwananme sikuwah mpenda sasa how starehe za wengn ziumize wengn? Wanaume badiliken wa wanawake hamuez lea went mtuletee tulee Acha niwe na roho ya chui..sidhan km io n dhambi kulazimisha mtu apende zao la zinaa yenu.achen kujidai na nyie wngn eti mna roho nzuri tena mnaandk tu huku lkn ndo wabaya kuliko sie tuloonyesha ukwl wetu.much love to u cariha hujaficha ukwl wako.tuache unafki
 
Mimi mwenyewe niko kwenye ndoa ya dizain iyo mwanaume alizaa huko na aliwah niambia nina mtoto nilimjib sawa mamaake si yupo ndio.hatukuwah negotiate kwmb nitaletewa nikae nae na hapo ni maamuzi eidha nikubali ama nikatae.basi sikuiz mwanamke kila saa na kila siku n cm na kutaka matumiz nashangaa mwananme anasema anataka amchukue sijajib kitu maana dharau nazoletewa na huyo mwanamke sio poa how nimlelee mtoto? Angelisema mwanzon nitamletaga tukae nae ningejua najibu nn lkn sahii ndo a anataka kumleta mwnyw Ana two years halaf wangu Ana ten months naishia kuambiwa nina roho mbayakwa nn sitaki aletwe na huyo mamaake afanye nn.ni full kisiran n wivu na masimango kila siku n kumchachafya mwanaume nyie kulen raha sisi tuteseke wkt nayopitia hajui na n afadhali yakejmn ndoa za haya mambo n changamoto huinjoi kbs.unataka hela ya majukm flan unaambiwa imeenda kwa mama flan unaambiwa subir saa zngn wala hupewi nashkr Mungu nina kazi yangu most of issues am handling myself! Jmn ikiwa uko maza house tu then ukutane na izi kitu msiombeeeee!! Mungu atusaidie n ngumu kulea mtoto wa mtu huo ndo ukwl wapambn hukohuko walikokutana.and bad enough mwanamke anatuma sms anasema tulikuwa tunakula starehe Mungu akatuzawadia mtoto wala mwananme sikuwah mpenda sasa how starehe za wengn ziumize wengn? Wanaume badiliken wa wanawake hamuez lea went mtuletee tulee Acha niwe na roho ya chui..sidhan km io n dhambi kulazimisha mtu apende zao la zinaa yenu.achen kujidai na nyie wngn eti mna roho nzuri tena mnaandk tu huku lkn ndo wabaya kuliko sie tuloonyesha ukwl wetu.much love to u cariha hujaficha ukwl wako.tuache unafki
Da!
Ningekuwa Mimi wewe ndio Mke nimekuoa nakupa Talaka.

Kama huwezi ishi na mwanangu, damu yangu uliyemkuta basi hufai kuwa Mama wa mji wangu.
 
Jujaelewa point ya msingi. Ngoja nikufafanulie kidogo. Kabla ya maisha ya ndoa, mwanamke alijua kuna mtoto tayari aliyezaliwa kabla ya yeye kuolewa. Na akakubali kuwa atampokea na kumpenda. Baada ya kuingia ndani na kupata ujauzito ndio akaanza kuonyesha figisu zake juu ya Yule mtoto. Na baada ya muda akaanza kudiriki kutamka wazi kuwa hawez kuishi na huyo mtoto na siku aliletwa yeye ataondoka. Mtoto alipoletwa akaona Hana ujanja akabadilika na kusema asamehewe Yuko tayari kumlea mtoto na kumpenda. Swali ni Je kuna mapenzi hapo? Anastahili kukaa na huyo mtoto? Anastahili kuitwa mke????????????
Mkuu unajua maana ya mke????
Ndoa na watoto ni vitu viwili tofauti.

Mtoto wako sio wake hata kitokea hapo mama yake anakuja kuchukua mali zako wewe na wanagawana na mke wako huyo.
Na mahusiano yanakufa kabisa tena unaweza shangaa hata watoto wakiwa wakubwa hawatafutani kabisa.
 
Da!
Ningekuwa Mimi wewe ndio Mke nimekuoa nakupa Talaka.

Kama huwezi ishi na mwanangu, damu yangu uliyemkuta basi hufai kuwa Mama wa mji wangu.
Wanaume wa bongo.
Wewe mwenyewe utakuta utaki kuishi na mtoto wa mkeo.
 
Mtoto wa mume wangu aliyezaa nje kabla ya kunioa na nikamfuata kwa bibi yake tukaishi naye na alikuwa sababu ya kuvunja ndoa na hata baada ya baba yake kufariki bado anasumbua

Next week naenda kwenye kesi.

It's better kujihami mapema. Kila mtoto akae na mama yake.
Watoto wa hivyo huwa na ile kinyongo wakiamini kuwa wewe ndo sababu mama yake hakuolewa na hizo mali zote zingekuwa za kwake na mama yake.

Ila pole sana kwa changamoto Mungu atakupigania kwa haki


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tendo la uumbaji unaliita la mapepo?

Uumbaji ni baraka, na kila kiumbe kinachokuja duniani kinakuja kwa makusudi maalumu hata kama kimezaliwa na malaya.

If anything, mwenye makosa ni mzazi na sio mtoto!

Kwanini umbebesha mtoto msalaba wa mateso kwa hatia ya babaye?

Wewe lazima utakuwa MCHAWI, umeanza kufichua matunguli yako taratibu.
Mkuu mtoto anakuwa mbaraka kwa wazazi wake wa kumzaa tuu na si wengine.
Kosa ni la wazazi wake wa kumzaa na si lingine.
Kuhusu kulea mtu mwingine ni uhamuzi wake anaweza mlea au akakataa uwezi mshitaki popote pale.
 
Back
Top Bottom