Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
Kama mama kashaolewa na ME mwingine?Mmekutana mme/mke ana watoto mnakubaliana kuoana inakuwaje watoto wasiwe huru Na baba yao Na kuja kukaa na baba yao au mama yao
Mke akishaolewa anaona anammliki mme kuliko wengine
Ndoa na watoto ni vitu 2 tofauti.Mwanoa ni ndugu yako ni damu yako,mwanao hawezi kukusaliti ata ukiwa maskini,mgonjwa nk.
Mwanamke asiyempenda mwanao huyo hakupendi maana kama anashindwa kumpenda mwanao(damu yako) anawezaje kukupenda wewe?
Hiki ndicho kipimo cha mapenzi yake kwako,kama hampendi mwanao it's a wake up call for you...achana nae haraka before it's too late.
Mtoto hana hatia yoyote kwa yaliyotokea uko nyuma.
Nimewahi onalakini kuna maswala ya mali katika ndoa huwa mwanamke anakuwa na hofu kuwa mali anayochuma na wewe mwanamke wa nje yaani mama mtoto anaweza jimilikisha kupitia huyo mtoto
Hii ni ngonjera au shairi?Hivi mwanamke kumkataa/kumchukia mtoto wako uliyezaa kabla ya kumuoa. Kuna mapenzi hapo? Yaani hampendi Mwanao je wewe atakuwa anakupenda kweli?
Sasa mkuu mbona wao wanataka wanaume tuwapende mitoto yaoHii ni ngonjera au shairi?
Mama yake ulimwacha wapi?
Jawezi mpenda hata kwa udi na uvumba ila atapretend tu
Kweli kabisa maana u single father/mother unasababishwa na mengi ikiwemo KIFO. Unataka mtoto huyo alelewe na nani kama siyo wewe mpenzi wa mamake/babake?Mama wa huyo mtoto yuko hai?
Naona ukumbuke story ya nabii Ibrahimu na Mkewe Sarah baada ya kuzaliwa Isaka, alimfanyaje Hajir?Jujaelewa point ya msingi. Ngoja nikufafanulie kidogo. Kabla ya maisha ya ndoa, mwanamke alijua kuna mtoto tayari aliyezaliwa kabla ya yeye kuolewa. Na akakubali kuwa atampokea na kumpenda. Baada ya kuingia ndani na kupata ujauzito ndio akaanza kuonyesha figisu zake juu ya Yule mtoto. Na baada ya muda akaanza kudiriki kutamka wazi kuwa hawez kuishi na huyo mtoto na siku aliletwa yeye ataondoka. Mtoto alipoletwa akaona Hana ujanja akabadilika na kusema asamehewe Yuko tayari kumlea mtoto na kumpenda. Swali ni Je kuna mapenzi hapo? Anastahili kukaa na huyo mtoto? Anastahili kuitwa mke????????????
Mwanamke ni pretenderSasa mkuu mbona wao wanataka wanaume tuwapende mitoto yao
Unahitaji maombi!Watu mliozaa kwanini huwa mnapenda ku force watoto wenu wapendwe na wengine kilazima hasa ukichukulia mitoto yenyewe huwa mikorofi imeathiriwa na ugomvi wenu wa mahusiano yali yovunjika na ni watoto wasio pendeka hata ufanyeje wataona huyu sio mama yetu.
Kuku tu mwenyewe huwa anakimbiza vifaranga visivo mhusu sembuse binadamu, na kama kweli ulikuwa na upendo why haukupatana na uliyezaa naye mkamlea mwanenu yeye aligoma then una force mtoto apendwe na mpenzi wako mpya.
Mpenzi wako kaja kwako ku enjoy mahusiano na sio kuhangaika na mtoto asiye mhusu
Huyo lazima atakua Mama wa kambo mkatili,na ni kweli ana hitaji maombi au mafuta ya Mwamposa!!Unahitaji maombi!
Kwa hiyo na wwe uko tayari kumpanda Mama yako kama Kuku anavyofanyaga!? Kweli nimeaamini, kuna binaadamu nao wana akili kama za kuku!!Nakazia
Kuku Tu Mwenyewe Anafukuza Vifaranga Visivyo Vyake
""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""
Mbinguni Una Nafasi Yako Tena Utakaa Kwenye Kivuli
Ukiwa~Zoom Kama Jiwe