Mke wangu hampendi mtoto wangu niliyempata kabla ya ndoa

Mmekutana mme/mke ana watoto mnakubaliana kuoana inakuwaje watoto wasiwe huru Na baba yao Na kuja kukaa na baba yao au mama yao
Mke akishaolewa anaona anammliki mme kuliko wengine
Kama mama kashaolewa na ME mwingine?
 
Ndoa na watoto ni vitu 2 tofauti.

Upendo upo tofauti mkuu.
Unavyompenda MUNGU wewe ni tofauti unavyompemda Baba yako na pia ni tofauti utakavyompenda mama yako. Ni upendo tofauti kabisa.

Wewe unavyompemda mama yako ni tofauti utavyompenda mkeo.
 
Hivi mwanamke kumkataa/kumchukia mtoto wako uliyezaa kabla ya kumuoa. Kuna mapenzi hapo? Yaani hampendi Mwanao je wewe atakuwa anakupenda kweli?
Hii ni ngonjera au shairi?

Mama yake ulimwacha wapi?

Jawezi mpenda hata kwa udi na uvumba ila atapretend tu
 
Hayo mambo ya mwanamke kutokumpenda mtoto aliyezaliwa ndani ya ndoa inabidi mwanamke ayaseme kabla ya ndoa ili kumrahisishia mwanaume maamuzi. Sio wakati wa urafiki na uchumba unajifanya kumpenda sana mwanangu ila baada ya ndoa ndio mtoto anaanza kuwa mbaya.
 
Mama wa huyo mtoto yuko hai?
Kweli kabisa maana u single father/mother unasababishwa na mengi ikiwemo KIFO. Unataka mtoto huyo alelewe na nani kama siyo wewe mpenzi wa mamake/babake?
 
Naona ukumbuke story ya nabii Ibrahimu na Mkewe Sarah baada ya kuzaliwa Isaka, alimfanyaje Hajir?

Mwanzo 21:12
 
Katika hili pachiko, inaonesha Mkuu cariha anayo maslahi na hoja inayoendelea. Hata hivyo, ni vema kuukubali upendo wa Baba kwa watoto wake hata kama hukubali au kuridhia mahusiano na nasaba yao. Kubali hata kiaina ili na wengine waweze kupona.
 
Unahitaji maombi!
 
Nakazia
Kuku Tu Mwenyewe Anafukuza Vifaranga Visivyo Vyake
""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""
Mbinguni Una Nafasi Yako Tena Utakaa Kwenye Kivuli
Ukiwa~Zoom Kama Jiwe
Kwa hiyo na wwe uko tayari kumpanda Mama yako kama Kuku anavyofanyaga!? Kweli nimeaamini, kuna binaadamu nao wana akili kama za kuku!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…