Mke wangu hanipi haki ya tendo la ndoa, kila siku amechoka

Mke wangu hanipi haki ya tendo la ndoa, kila siku amechoka

Huu uzi kama wa nne wwanaume wanalalamika hawapewi mbunye. Kitu gani kinaendelea mbona hamniambii wakuu? Isije ikafika kwangu pia [emoji23][emoji1]
Watu wanazuga tu kutafuta angagement
 
kaa nae, nimekutana na kesi kama hii wiki iliyopita, mwanamke anasema hana hisia kwa mume wake, anaona kinyaa kushiriki nae tendo, kwa sababu akiwa secondari alikua anashiriki homosexual na dadake wa shule, badae wakapotena, japo aliendelea kusagana hadi alipimaliza chuo (na wadada wengine) akaolewa baada ya chuo na baada ya hapo akaachana na homosexual ila mwaka huu kakutana na yule mpenzi wake wa zamani dada wa shuleni, akashiwishiwa akakubali kupasha kiporo, from there, hamtaki tena bwanake, anamtaka yule mdada tuuuu.

kwa kua alifunguka mwenyewe, na anataka kuachana na hayo mambo, nimemtafuta spiritual helper ambae J3 nampleka, i hope after there anaweza kua na nyege hata tani 10 kwa mume wake.

kwa kesi ya mkeo, yamkini nae ni walewale, under normal circumstance, hakuna mwanamke ambae hapendi mapenzi
 
Huu uzi kama wa nne wwanaume wanalalamika hawapewi mbunye. Kitu gani kinaendelea mbona hamniambii wakuu? Isije ikafika kwangu pia [emoji23][emoji1]
Kwa kiasi kikubwa tatizo huwa ni jini mahaba, ilo likishamvaa mwanamke ni matatizo matupu.
 
Mkuu Inaonekana Show Zako Zote Unapigia Kiwanja Cha Nyumbani Hapo Hapo.

Mahusiano Ni Art Jitahidi Kuwa Mbunifu Ili Kuleta Chachu Na Madaha Kwenye Mahusiano. Mfano Pata Mapumziko(Vacation) Tembea Kama Advanture Kubadiri Mazingira Mapya.

Ubunifu Ni Muhimu Sana Jitahidi Kwenye Hilo Mkuu.
Kamuulize Manara atakueleza vizuri, mwenzio aliachwa Dubai.

Ondoa huo ujinga kichwani kwako.
 
Kwa maana hiyo kwamba we huna backup!? Huo ni uzembe wa kiwango cha lami
 
Oa mwanamke mwingine kisha huyo mwambie kuanzia sasa nimekuacha arud kwao akapeleke upumbavyu wake huko
 
Back
Top Bottom