Mke wangu hata hanijali. Nimesafiri toka asubuhi lakini hajaniuliza kama nimefika

Mke wangu hata hanijali. Nimesafiri toka asubuhi lakini hajaniuliza kama nimefika

Mtoa mada mkeo atakuwa anazogomolewa na mchepuko wake. Usimsumbue kumpigia subiri hadi kesho kutwa uone kama bado yuko kimya
 
Duh! JF ukija kichwa kichwa, kama ulikua unataka kujiua kwa vidonge unaeza ahirisha ili utafte kamba ujinyonge kabisa.
Hata kama mke wa mtoa mada kapatwa matatizo, sa hv jamaa anawaza kua mkewe analiwa kimasihara.
Anyway ndo maisha, we umepanda ndege ye kapanda mtarimbo.
Usisahau kuleta uzi wa vurugu after kurudi
 
Na hivi karibuni nyuzi na comment za kula wake za watu zilivoshamiri, mkuu panda ungo ukalinde tunda lako. Watu hawana jema.
 
Back
Top Bottom