[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] alimwambia pepo yeye hawaogopi...kichapo alikipataHuyu n Joka mkuu,juz kaja na sired kapasuliwa mingumi na pepo guest hadi kukaribia kukata moto,naona wife kaujua ukwel kafanya maamuzi magum
Hahhahah!baada ya pepo kushindwa kung'oa abdalah kichwa wazi limeamua kwenda kumuharibia kwa wife na ndo anakuja huku kutafuta public sympath[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] alimwambia pepo yeye hawaogopi...kichapo alikipata
Braza kama huwezi kushauri kaa kimya. Anyanduliwe na nani,haiwezekani
Haiwezekani kivipi sasa kunyanduliwa! Kwani ulimuumba wewe? Ulijifanya Shababi!! Sasa utavuna ulichopanda!Braza kama huwezi kushauri kaa kimya. Anyanduliwe na nani,haiwezekani
Usimdanganye mwezio inategemea na kosa. Eti wenye kazi! si mnajijua hamjatulia nyie oeni wasio na kazi basi muwanyanyase mtakavyo..Ukimuomba msamaha ndiyo unaharibu, huyo atakuwa Ana kazi na anaona anajiweza kuishi na wanawe,
wanawake wengi wenye kazi wakishazaa watoto wawili wanatamani kuwa single mother bila sababu za msingi.
Cha kufanya kuwa kimya na usimtafute hata kidogoo atajiona mjinga atarudi Ila ukizidi kumtafuta na kukuomba masamaha ndiyo kiburi kinamzidi.
MlogeeHabari wakuu wa kaya. Iigweee
Nina account humu ila imebidi nifungue nyingine sababu tunafahamiana na baadhi ya watu humu na mimi ni mjuaji yani mbele za watu napenda kuonekana mwanamke hawezi kunipelekesha.
Nimemkosea mke wangu wa miaka 7 ya ndoa. Miaka 7. Tuna watoto wawili. AMEGOMA KUNISAMEHE AMEONDOKA, NAUMIA KUWAZA KUNA MWANAMME ANAWEZA KUMMLIKI.
Msinishauri nijikaze,siwezi siwezi siwezi kuona kuna mwanaume atakuja kuwa anatambulika kama baba au uncle kwa wanangu, nasema siwezi.
Ameacha kila kitu nyumbani ina maana kuna mtu ataenda kumnunulia vingine au? Nimejenga ila sioni faida ya kuishi kama watoto wangu hawazunguki nyumbani hapa na kelele zao.
Siamini kuzaa nje ovyo ovyo najua madhara yake. Nifanyaje arudi mama Doreen wangu. Amenivumilia mno. Najisikia vibaya sana naishi kama mhuni tu nyumbani. Nifanyeje arudi. Nizeeke mwenyewe au mtu mpya hapana hapana.
Mtakaotukana tukaneni tu. Nahitaji njia za kumrudisha. Yupo kwao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwana kuli find mwana kuligetJokajeusi yamekukuta tayari,we rud na Id yako ile tuliokuzoea nayo ambayo kutwa kucha ni kuwasema ambao hawajaoa bikra
Na jinsi alivousufia mchepuko lohHuyu n Joka mkuu,juz kaja na sired kapasuliwa mingumi na pepo guest hadi kukaribia kukata moto,naona wife kaujua ukwel kafanya maamuzi magum
Hivi wanawake wa hivi bado wapo kweli?kwamba akiudhiwa anaenda kwa wakwe?Inategemeana na alipoenda, Mwanamke anayeheshimu ndoa akiondoka anaenda kwa wakwe, yaani kwenu. Kinyume na hapo uwezekano wa ......... ni mkubwa.
Kama hayupo kwenu we endelea kukaa hapo ukisubiri msamaha, atakusamehe ndio maana ni mume na uwezekano wa kuolewa tena ni mdogo sana, ila sasa.
Kuna ndoa wamekaa miaka karibia arobain ila wameachana kwa talaka, wasichojua wanaume wanawake huwa tunavumilia maumivu hadi yanapoa tukishaanua inakuwa point of no return.Yani wanapi
Siku hizi tunaacha hata tulioishi nao miaka 15.
20 maybe.
Usijiaminishe sana
[emoji23][emoji23] mtu aliyeniuzi akinitishia hivo namsaidia hyo process ya kujinyongaHaiwezekani kivipi sasa kunyanduliwa! Kwani ulimuumba wewe? Ulijifanya Shababi!! Sasa utavuna ulichopanda!
Ukitaka urudiane nae, tumia njia hii!! Mtumie ujumbe wa kumpa siku 2 tu za kurudiana na wewe. Na asipofanya hivyo, mwambie utajinyonga!!
Na asipokuja, basi hakuna namna! Jinyonge tu mkuu. Maana hutajisikia vizuri kuona JITU LA MIRABA MINNE likijitafunia tu my wife wako.
Wapo, na ndo mke anavyotakiwa kuwa. Mke anatakiwa kuwa na Discpline na kufuata taratibu na utii wa kiapo chake.Hivi wanawake wa hivi bado wapo kweli?kwamba akiudhiwa anaenda kwa wakwe?
Hawa waandikwe kwenye bible kama wapo
Mkuu kwahiyo mkigombana wife wako huwa anaenda kwa wazazi wako kutafuta suluhu?Wapo, na ndo mke anavyotakiwa kuwa. Mke anatakiwa kuwa na Discpline na kufuata taratibu na utii wa kiapo chake.
Hata kwenye kuivunja ndoa asiyoitaka, anaenda kwa wakwe kisha anawasiliana na wazazi wake waje wamkuchukue hapo.
Kinyume na hapo umeoa malaya tu Unless amepima akaona hakuna usalama ndipo atawajulisha wazazi wake na wazazi wake watazungumza na wakwe kuwa mtoto wapo naye.
Pole sana. Akirudi utulie la sivyo Petrol itakuhusuNi aibu nilichofanya ila sihitaji mwanamke yeyote. Mke wangu nimeanza nae mbali sana tokea hatuna kitu. Siwezi kuruhusu tu mtu mpya kirahisi ana stahili kufurahia matunda ya nyumba sababu alikuwepo kipindi cha ku struggle