Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kwann nawaza ni Extrovert
👍Siumesema waenda kaZini ni wasumbufu oa asiye fanya kazi uone. In short mahusiano hayakosi xhangamoto ila makosa ya kujirudia rudia makusudi ni hatari kuendelea na hayo mahusiano nfano umalaya wa mwenza wako daily
Nina maana ya kutoa taharifa tu kama kupotea kwa kitu chochote.Sasa mwanamke Hadi kuondoka huwa hana cha kupoteza kabisa na hata kuaga hamna umuhimu. Hata huko Police watafanyaje wamfunge arudi kinguvu[emoji23][emoji23][emoji23] kah, police wenyewe yao yamewashinda loh. Love ikifa police hawataweza kukusaidia hata kidogo
🏃Wewe umeachwa na mke kwa comment's zako hizi loh
Ni wale viruka njia kwenye ndoa wapo na bado Wanataka kudanga,Ok ...kwa kuwa siyo wote🙏
Asante ndugu asante sana ishu ni tukiwa wote anatakaga sana sasa inakuwaje huko au anavumilia.
Jamaa anawaza kitu yake itatumiwa na mijamaa hukoWewe unataka suluhu au unataka kupunguza nyege? Mbembeleze usitumie nguvu
😂😂😂 sahivi kuna njemba inamkunja kunja mama DoreenJamaa anawaza kitu yake itatumiwa na mijamaa huko
Alimuoa bikra nini...manake daah
Ahaaaa! huyu ndo wa kutusimanga tuliooa single mothers kisa aliooa bikira. Kwa taarifa yako ukiona mwanamke anaondoka kwako na haondoki na kitu, ujue anapata huduma na mahitaji kwa mume mwenzio.Jokajeusi yamekukuta tayari,we rud na Id yako ile tuliokuzoea nayo ambayo kutwa kucha ni kuwasema ambao hawajaoa bikra
Ashaolewa sasa na wanaoweza kubembeleza. Wewe si huwezi kubembeleza? Acha walee halafu utakutana naye katakata ile sawasawa.Ni aibu nilichofanya ila sihitaji mwanamke yeyote. Mke wangu nimeanza nae mbali sana tokea hatuna kitu. Siwezi kuruhusu tu mtu mpya kirahisi ana stahili kufurahia matunda ya nyumba sababu alikuwepo kipindi cha ku struggle
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Asinyanduliwe yeye nani?Braza kama huwezi kushauri kaa kimya. Anyanduliwe na nani,haiwezekani
Unamuumiza roho bana[emoji23][emoji23][emoji23] sahivi kuna njemba inamkunja kunja mama Doreen
Anakolezwa yani.....Unamuumiza roho bana
Pole kwa ujinga uliofanya kwa mkeo. Ila naamini sasa ndio unaona umuhimu wake wakati hayupo ktk hinaya yako..na hofu kubwa ni pale unapowaza mtu mwingine akimmiliki wakati wewe ulishaona unaumiliki wa kudumu😀😀😀, anyways..nakushauri kwa sasa mwache kabisaa atulie ajifikirie kwanza....anahitaji kupata muda wa kutafakari maisha yake..hapo ndio anapima mizani ya ndoa na usingo upi unafaa.Habari wakuu wa kaya. Iigweee
Nina account humu ila imebidi nifungue nyingine sababu tunafahamiana na baadhi ya watu humu na mimi ni mjuaji yani mbele za watu napenda kuonekana mwanamke hawezi kunipelekesha.
Nimemkosea mke wangu wa miaka 7 ya ndoa. Miaka 7. Tuna watoto wawili. AMEGOMA KUNISAMEHE AMEONDOKA, NAUMIA KUWAZA KUNA MWANAMME ANAWEZA KUMMLIKI.