Mke wangu hataki kutumia pesa yake kununua kitu chochote kwa matumizi ya familia

Mke wangu hataki kutumia pesa yake kununua kitu chochote kwa matumizi ya familia

Hapo ndio shida ilipoanzia, baada ya wewe kuweka miundombinu ili ukiondoka duniani familia yako isipate shida, unamtegemea mwanmke.


Tatizo consistence , waswahili kumuachia miundombinu wengi 90% hawana uwezo wa kuiendeleza tazama wajane wengi wameachiwa Mali Ila wamerudi tayari katika umasikini mkubwa.

Ila wenye kazi zao wanaendelea vzr Ru

So hapa tunaangalia na aina ya WATU tulionano katika nchi.
 
Mke wangu hawezi kutumia pesa yake kwa matumizi ya wote yan hata nikikwama nikamuomba pesa ananiwekea na riba au hata nikiwa mbali yeye akanunua kitu ndani hata kama ni chumvi au sukari ukirudi anakwambia anakudai wakati alinunua kwa ajili ya matumizi yake jee nifanye ninj
Kuna wanawake ni wabinafsi sana na pasua kichwa, ni kuishi nao kwa hekima hivyo hivyo tu.
 
Mke wangu hawezi kutumia pesa yake kwa matumizi ya wote yan hata nikikwama nikamuomba pesa ananiwekea na riba au hata nikiwa mbali yeye akanunua kitu ndani hata kama ni chumvi au sukari ukirudi anakwambia anakudai wakati alinunua kwa ajili ya matumizi yake jee nifanye ninj
Ma kataa ndoa mnayapaga pointi tu! Umeona takataka mkuu! Kwa hiyo hela yake anapeleka wapi? Uzeeni utapata taabu sana!
 
Mke wangu hawezi kutumia pesa yake kwa matumizi ya wote yan hata nikikwama nikamuomba pesa ananiwekea na riba au hata nikiwa mbali yeye akanunua kitu ndani hata kama ni chumvi au sukari ukirudi anakwambia anakudai wakati alinunua kwa ajili ya matumizi yake jee nifanye ninj
Wacha pesa za matumizi ya familia, na mlipe anapotumia za kwake. Utafanya nini la ziada?!
 
Hapo ndio shida ilipoanzia, baada ya wewe kuweka miundombinu ili ukiondoka duniani familia yako isipate shida, unamtegemea mwanmke.
Amekwambia anamtegemea mwanamke? Mke ameshindwa kutambua wajibu wake katika familia. Alipaswa kujua namna nzuri ya kugawa kipato cha familia. Kama mme na mke wote wana kazi kwa nini mwisho wa mwezi wasiweke mezani walichopata na kupanga bajeti pamoja? Ili sehemu inayobaki wafanye miradi ya familia! Mwamba kaoa takataka!
 
Kosa: kutegemea pesa ya mwanamke.
Usimlazimishe mwanamke kukupa kitu chochote kile. Hakuna mwanamke anayependa kuangalia chini. Elewa nilichokiandika.
Cha kufanya: Endelea na maisha yako, timiza mahitaji yote yanayohitajika na familia yako, ila usisahau kujipenda pia, raise your attractiveness ili kuongeza value. Panua fikra zako kutafuta channel zaidi ya moja ya pesa, ukimkopa, fanya biashara , then rudisha pesa zake, tumia faida kuendeleza biashara yako. Usionyeshe uko needy na pesa yake, we ishi as if you don't depend on her.
Sasa nini maana ya ndoa!? Zamani mke alitunzwa na kumtegemea mmewe kwa kilakitu sababu hakuruhusiwa kufanya kazi wala kumiliki mali yoyote ila kwa kizazi hiki cha 50/50 haina maana kuwa na mke mfanya kazi ambaye hachangii chochote mezani. Bora abaki kuwa mama wa nyumbani asaidie kazi za hapa na pale.
#NDOA NI UTAPELI
#NDOA NI KWA WANAWAKE TU LABDA NA WANAUME DHAIFU
#KATAA NDOA
 
Huyo mama wa nyumbani ukifa ataweza kuipa familia yako mahitaji yote muhimu .

Mtoa mada hajakosea kuoa mwanamke mwenye kazi huwezi kuijua KESHO.
Huyo mwanamke mwenye kazi kama kununua chumvi tu hawezi, ataweza kuisaidia familia ukifariki!? Mke ni mama wa nyumbani nje ya hapo ni kujitafutia stress.
#THAMINI UHURU WAKO KIJANA
#KATAA NDOA
 
Hivi munawapata ujassiri wa kuoa mke mwenye mshahara?
Hiyo ndoa nai zoom, haifiki mbali au itafika ikiwa hoi.
Usioe mke mwenye mshahara, ukifungua biashara usimmilikishe kwa utamu wa maku, yeye mweke kama family member ai run. Mwanamke hatakiwi kupata pesa yake bali awe anashikwa pesa za familia.
Hapo mke mbinafsi ukizooooom kabisa analiwa
 
Mke wangu hawezi kutumia pesa yake kwa matumizi ya wote yaani hata nikikwama nikamuomba pesa ananiwekea na riba au hata nikiwa mbali yeye akanunua kitu ndani hata kama ni chumvi au sukari ukirudi anakwambia anakudai wakati alinunua kwa ajili ya matumizi yake.

Je nifanye nini!

Umeoa mwanamke anayetokea familia fukara...
 
Back
Top Bottom