Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Sasa nini maana ya ndoa!? Zamani mke alitunzwa na kumtegemea mmewe kwa kilakitu sababu hakuruhusiwa kufanya kazi wala kumiliki mali yoyote ila kwa kizazi hiki cha 50/50 haina maana kuwa na mke mfanya kazi ambaye hachangii chochote mezani. Bora abaki kuwa mama wa nyumbani asaidie kazi za hapa na pale.
#NDOA NI UTAPELI
#NDOA NI KWA WANAWAKE TU LABDA NA WANAUME DHAIFU
#KATAA NDOA
Mwaka juzi nilikuwa siwaelewi mkikataa ndoa ila sasa nimeanza kuwaelewa. Zamani before 1990 ndoa ilikuwa ni ya muhimu kwa sababu hakukuwa na sera ya hamsini kwa hamsini. In modern society, ndoa ni upumbavu kwa sababu hakuna correlation kati ya sheria ya ndoa ya mwaka 1971 na Sera ya hamsini kwa hamsini.Huyo mwanamke mwenye kazi kama kununua chumvi tu hawezi, ataweza kuisaidia familia ukifariki!? Mke ni mama wa nyumbani nje ya hapo ni kujitafutia stress.
#THAMINI UHURU WAKO KIJANA
#KATAA NDOA
KATAA NDOA. NDOA NI UFALA