PLAN B VERYFIED
Senior Member
- Aug 10, 2023
- 169
- 589
Achana naye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni story ya upande mmoja kumbuka! Ulichoandika kinawezekana au Si ajabu huyu jamaa ana Mchepuko na mkewe alishamfumania. Hapo atakuwa anamkomoaWewe jamaa utakuta ukishatoa hela ya kula ndio basi unashindwa ata kumhudumikia mkeo mahitaji yake kwa sabab ana vijipesa vyake
Lazima mwanamke awe mbinafs hela zake halaumiki ata kdg.
Nakubaliana nawe!Sitoagi ushauri bila kusikiliza upande wa pili.
Mkeo nae aje aseme yake.ndo tutajua tatizo liko wapi
Ukute tunaanza kumsimanga tu hapa mbinafsi Hana upendo..kumbe we una nyumba ndogo pesa ndo mana hazitoshi wamtia uchungu mkeo.tutajuaje?
Sisemi neno mie.maana najua vyovyote atavyobehave mtu Kwa asilimia kubwa ni matokeo ya vile unavyomtendea.
Ukiona ndoa Ina miaka mingi ujue kiwango Cha uvumilivu kwa mwanaume ni kikubwa mno,Mke wangu hawezi kutumia pesa yake kwa matumizi ya wote yaani hata nikikwama nikamuomba pesa ananiwekea na riba au hata nikiwa mbali yeye akanunua kitu ndani hata kama ni chumvi au sukari ukirudi anakwambia anakudai wakati alinunua kwa ajili ya matumizi yake.
Je nifanye nini!
Hao ndio wanawake jamii yao ni moja ndio.maana imeibuka kampeni ya kata ndoa humuMke wangu hawezi kutumia pesa yake kwa matumizi ya wote yaani hata nikikwama nikamuomba pesa ananiwekea na riba au hata nikiwa mbali yeye akanunua kitu ndani hata kama ni chumvi au sukari ukirudi anakwambia anakudai wakati alinunua kwa ajili ya matumizi yake.
Je nifanye nini!
Ndoa inahitaji kiwango fulani cha uvumilivu, na kiwango kikubwa cha UBABE! Ukiwa mvumilivu sana kwenye ndoa utaumia manake hawa wenzetu hua hawajui kutofautisha UVUMILIVU na UBOYA!Ukiona ndoa Ina miaka mingi ujue kiwango Cha uvumilivu kwa mwanaume ni kikubwa mno
Sitoagi ushauri bila kusikiliza upande wa pili.
Mkeo nae aje aseme yake.ndo tutajua tatizo liko wapi
Ukute tunaanza kumsimanga tu hapa mbinafsi Hana upendo..kumbe we una nyumba ndogo pesa ndo mana hazitoshi wamtia uchungu mkeo.tutajuaje?
Sisemi neno mie.maana najua vyovyote atavyobehave mtu Kwa asilimia kubwa ni matokeo ya vile unavyomtendea.
Mnapoanza mahusiano kabla hamjaoana hukulijua hilo ndugu? Maana sidhani kama kaanza taba hizi baada ya kuingia katika ndoa, lazima kulikuwa na viji dalili vya namna hio kwenye uchumba. Kama ulivipuuzia basi pambana na hali yako. Baadhi ya masuala ukiyaona katika uchumba usiyapuuze, chukua hatua.Mke wangu hawezi kutumia pesa yake kwa matumizi ya wote yaani hata nikikwama nikamuomba pesa ananiwekea na riba au hata nikiwa mbali yeye akanunua kitu ndani hata kama ni chumvi au sukari ukirudi anakwambia anakudai wakati alinunua kwa ajili ya matumizi yake.
Je nifanye nini!
Shetani mwenyewe, kATAA NDOA LINDA MAISHA YAKOchini ya udhamini wa shetani
Mkuu labda mwanamke ana majumu mengi kwao yeye ndiye kichwa cha famolia, wanawake wa sikuizi tofaute na Mama zetu, Mama zetu walipo olewa walikuwa awajengi kwao na wazazi wao walikuwa awawategemia, sikuizi mabinti na wao wanataka kupabadilisha kwao mfano kwao kuna Nyumba siyo nzuri yeye atataka kuibomoa na kujenga mpya ya kisasa na aezeke bati ya msouth.Amekwambia anamtegemea mwanamke? Mke ameshindwa kutambua wajibu wake katika familia. Alipaswa kujua namna nzuri ya kugawa kipato cha familia. Kama mme na mke wote wana kazi kwa nini mwisho wa mwezi wasiweke mezani walichopata na kupanga bajeti pamoja? Ili sehemu inayobaki wafanye miradi ya familia! Mwamba kaoa takataka!
Kwa hiyo mkuu wasio na kazi wasiolewe?Huyo mama wa nyumbani ukifa ataweza kuipa familia yako mahitaji yote muhimu .
Mtoa mada hajakosea kuoa mwanamke mwenye kazi huwezi kuijua KESHO.
Na Ukute ana kipato kikubwa mara tatu ya mke bado analialia.Unakuta jamaa mchoyooo
Mbinafsi motooo [emoji23][emoji23]
Akikwama anakuja kujitilisha huruma