Mke wangu hataki kutumia pesa yake kununua kitu chochote kwa matumizi ya familia

Mke wangu hataki kutumia pesa yake kununua kitu chochote kwa matumizi ya familia

Mkuu labda mwanamke ana majumu mengi kwao yeye ndiye kichwa cha famolia, wanawake wa sikuizi tofaute na Mama zetu, Mama zetu walipo olewa walikuwa awajengi kwao na wazazi wao walikuwa awawategemia, sikuizi mabinti na wao wanataka kupabadilisha kwao mfano kwao kuna Nyumba siyo nzuri yeye atataka kuibomoa na kujenga mpya ya kisasa na aezeke bati ya msouth.
Sasa mkuu hicho si? kinazungumzika? Ni swala la kukaa na kuongea na mmewe wakaelewana. Sasa anapofanya kimya kimya inakuwa kama anaiba mali ya familia yao na kuipeleka mahali ambako tayari walishamuaga! Mabinti wanasahau tu kwamba huko wanajiita nyumbani kwao kiuhalisia siyo kwao ni kwa kaka zao!
 
Kosa: Kutegemea pesa ya mwanamke.
Usimlazimishe mwanamke kukupa kitu chochote kile. Hakuna mwanamke anayependa kuangalia chini. Elewa nilichokiandika.

Cha kufanya: Endelea na maisha yako, timiza mahitaji yote yanayohitajika na familia yako, ila usisahau kujipenda pia, raise your attractiveness ili kuongeza value. Panua fikra zako kutafuta channel zaidi ya moja ya pesa, ukimkopa, fanya biashara , then rudisha pesa zake, tumia faida kuendeleza biashara yako. Usionyeshe uko needy na pesa yake, we ishi as if you don't depend on her.
Best advice ever! Wanaume tafuteni hela mtuhudumie!
 
Kosa: Kutegemea pesa ya mwanamke.
Usimlazimishe mwanamke kukupa kitu chochote kile. Hakuna mwanamke anayependa kuangalia chini. Elewa nilichokiandika.

Cha kufanya: Endelea na maisha yako, timiza mahitaji yote yanayohitajika na familia yako, ila usisahau kujipenda pia, raise your attractiveness ili kuongeza value. Panua fikra zako kutafuta channel zaidi ya moja ya pesa, ukimkopa, fanya biashara , then rudisha pesa zake, tumia faida kuendeleza biashara yako. Usionyeshe uko needy na pesa yake, we ishi as if you don't depend on her.
Huu ushauri wako kuna mahali una makosa. Ndoa ni pamoja kushirikiana katika shida na raha. Kwenye matrimonial property na hela za mke pia zimo. Sasa si vema kumwambia mume asiombe pesa kwa mkewe au mke asinunue mahitaji ya nyumbani wakati uwezo wa kufanya hivyo anao.
Ushauri wangu ni kuwa mke aache kazi atunze familia kwani huo ndio wajibu wake na mume abaki na jukumu la kutoa gharama za matumizi ya kila siku kwa familia. Dhuluma kama mke anatumia muda wa mumewe kufanya kazi halafu mshahara anaopata hataki mumewe autumie.
 
Kwamba unamuomba pesa mkeo anakupa na riba unakuja kushtaki jamiiforum???
ILa mambo mengine ya aibu sana
Hawa ndio wanashikishwa ukuta.
Utaombaje pesa kwa mwanamke kwanza.na unaloloma km vile ulimpa.
 
Ndoa si Utapeli. Kukosa maarifa ndo inakufanya kuiona kama utapeli. Wengi mnaignore red flags mnawachagua 304's woman, mnacommit halafu mnaanza kulaumu taasisi ya ndoa kuwa ni utapeli.

Kufeli kwa Ndoa ni makosa ya mwanaume kuchagua mwanamke asiye sahihi kwa kukosa maarifa sahihi
Umemaliza bro
 
Mke wangu hawezi kutumia pesa yake kwa matumizi ya wote yaani hata nikikwama nikamuomba pesa ananiwekea na riba au hata nikiwa mbali yeye akanunua kitu ndani hata kama ni chumvi au sukari ukirudi anakwambia anakudai wakati alinunua kwa ajili ya matumizi yake.

Je nifanye nini!
Huna akili ww na mkeo , kweli mbuzi na mbuzi wanaishi pamoja , hatuna Cha kukushauri pambana na Hali Yako , kama huwezi kuhandle issue kama hizo huna sababu ya kuwa mme wa mtu
 
Mke wangu hawezi kutumia pesa yake kwa matumizi ya wote yaani hata nikikwama nikamuomba pesa ananiwekea na riba au hata nikiwa mbali yeye akanunua kitu ndani hata kama ni chumvi au sukari ukirudi anakwambia anakudai wakati alinunua kwa ajili ya matumizi yake.

Je nifanye nini!
Ni kabila gani huyo?

Je mlipendana wenyewe au mlikutanishwa na wazazi?

Kutoka uchumba mpaka ndoa imechukua muda gani?

Mna level gani ya elimu wewe na yeye?
 
Kuna wakati unaweza kusema huyu ni mke au shetani.

Kuna ndugu yangu mke wake alikuwa anaweza kwenda hospitali, akaacha kuchukua dawa kwa bima, akaenda pharmacy na kuchukua dawa at inflated prices, baadae anakuja kudai refund kwa mume.
Duuh mboni hatari,
Kampenj yetu kataa ndoa[emoji3514][emoji3514]
 
Back
Top Bottom