Mke wangu hataki kutumia pesa yake kununua kitu chochote kwa matumizi ya familia

Huyo mwanamke mwenye kazi kama kununua chumvi tu hawezi, ataweza kuisaidia familia ukifariki!? Mke ni mama wa nyumbani nje ya hapo ni kujitafutia stress.
#THAMINI UHURU WAKO KIJANA
#KATAA NDOA
Mwaka juzi nilikuwa siwaelewi mkikataa ndoa ila sasa nimeanza kuwaelewa. Zamani before 1990 ndoa ilikuwa ni ya muhimu kwa sababu hakukuwa na sera ya hamsini kwa hamsini. In modern society, ndoa ni upumbavu kwa sababu hakuna correlation kati ya sheria ya ndoa ya mwaka 1971 na Sera ya hamsini kwa hamsini.

KATAA NDOA. NDOA NI UFALA
 
Mke mwema anayetajwa kwenye maandiko METHALI 31 hakutajwa ni mbinafsi

METHALI 31:14
14. Huleta chakula chake kutoka mbali.

METHALI 31:27
27. Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu.



Mungu anataka mke awe wa aina hii ndiyo maana hasa ya msaidizi

Hapo hauna mke uliooa malaya
 
Ulisha kufa umekufa, acha kuhangaika mambo ya nikifa itakuaje ishi maisha yako sasa ungali hai, ukishakufa Mungu atawapa familia yako namna nyingine ya kuishi


Lazima ufikirie KIFO wala sio swala kuogopa na lazima utengeneze presence yako baada ya kuondoka.

WATU ambao ni wabinafsi ndo huwa hawafikirii KIFO na kuamini mambo yatajiseti na mwisho kuacha familia yako ktk mikono ambayo sio salama.
 


Hakika kusaidiana muhimu Sana .
 
Mwanaume ndio, msingi wa, familia, kama, ulivyo msingi wa, nyumba, hutqkiwi kulalamika kabisa, we mpelekee moto tu
 
Lazima ufikirie KIFO wala sio swala kuogopa na lazima utengeneze presence yako baada ya kuondoka.

WATU ambao ni wabinafsi ndo huwa hawafikirii KIFO na kuamini mambo yatajiseti na mwisho kuacha familia yako ktk mikono ambayo sio salama.
Hata ukifikiria, kifo hakibishi hodi anytime kinakuja, unafikiri waliokufa hawakuwa na mipango? ninachosema pambana kuweka maisha yako sawa, lakini sio upambane kwa kufikiria kifo, kwa sababu katika kupambana kwako ukikosa, kwa sababu unakifikiria kifo utajikuta unakikaribisha
 


Kwanini mkuu unakuwa muoga Sana hivyo
 
Kwanini mkuu unakuwa muoga Sana hivyo
Sio muoga kuna kiongozi wangu wa kiroho amekufa wiki iliyoisha na ameacha mke na watoto watatu, hao watoto bado wadogo, hoja yangu ni hii unafikiri yeye alikuwa hawezi kuhusu watoto wake? lakini je anajua watoto wake wataishije baada ya yeye kuondoka? ni hakika hajui lolote linaloendelea
 


Kwahiyo suluhisho ni lipi kwa mtoa mada?

Amuache ?

Ajaribu kumfundisha na kumpa elimu ya MAISHA namna ya kujali familia ?

Au atafute mama wa nyumbani tu?

Mimi ushauri wangu aanze kwa kumpa Elimu amuambue aachane na ubinafsi na ajue kuwa wanajenga nyumba moja .
 
Wewe jamaa utakuta ukishatoa hela ya kula ndio basi unashindwa ata kumhudumikia mkeo mahitaji yake kwa sabab ana vijipesa vyake

Lazima mwanamke awe mbinafs hela zake halaumiki ata kdg.
 
Ndio maana wanaume tunakufa haraka..
 
Jukumu la kuihudumia familia ni la mume ila huyo mkeo hafai, anadai hadi chumvi huo ni ubinafsi na uchoyo uliokubuhu. Kuliko nioe mwanamke wa hivyo bora nisioe kabisa. Huyo maisha yakiyumba kidogo hakuna rangi ya dharau hutoacha kuiona.
 
Piga chini hiyo mama utakuta ni kibenteni ndo kinakula hiyo hela
 
Una point!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…