Mke wangu hataki niendeshe gari alilonunua. Nakereka sana

Mke wangu hataki niendeshe gari alilonunua. Nakereka sana

Mkuu umefikiria vizuri sana
Pole mkuu..hilo gari sio lake..yeye ni kivuli tu cha alionalo,atakua kuna mtu aliweka fungu lake kubwa ili amfanikishie anunue hilo gari ndo maana anaona jau ukiwa unataka kuliendesha usijepishana na mwenye nalo..yeye kukaa nyuma anahifia mkionwa pamoja..maana ukionwa wewe pekeako anaweza sema wewe ni mfanyakazi wao alikutuma..

Kama si hivyo nnavyofikiria tofauti na hapo huyo mwanamke ana roho ya uchoyo sana..


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mwanaume wa kawaida, nimejaaliwa kipato cha wastani tu kinachotokana na juhudi za kujihusisha na hiki na kile kwa kupitia kujiajiri.

Mke wangu pia ni mchakarikaji na anaitumikia biashara ya vyombo vya ndani na mapambo ya ndani ambayo kwa pamoja tuliifungua na inafanya vzr sana.

Tumejaaliwa kuwa na gari moja Suzuki modeli mpya ambayo kiukweli aliinunua yeye mwaka Jana January. Kwasasa mimi ni fundi wa mashine za aina mbalimbali ikiwemo majenereta, magreda, kreni n.k. Na kwa kuwa mishe zangu za kiufundi hazihusishi sana matumizi ya gari ya kutembelea kwahyo huwa naitumia mara chache sana.

Baada ya kumfundisha mkewangu kuendesha akawa nayo kuanzia hapo. Mie Nina pikipiki ambayo hunipeleka huku na kule na kunifanikishia mishughukiko yangu yote bila tashwishi . Ninapohitaji gari kwa ajili ya matumizi ya hapa na pale au ninapoonyesha dalili ya kwamba nitatumia gari siku hiyo, papo hapo mke wangu huanza kujiskia karaha na ataanza kuongea maneno ambayo yanatoa ishara kwamba hataki ntumie gari.

Ukweli sipendezwi na hali hiyo maana inaudhi sana. Kwakuwa nimeshamjulia huwa nampuuza afu nachukua gari naenda kwenye kusudi nililolenga lkn furaha yake hutoweka kwa siku hiyo na hukereka kiukweli. Ingawa mie ndo niliyemfundisha kuendesha lkn pia haniamini napoendesha gari na hapendi nimuendeshe na kila wakati anasikika akinikosoa ninapoendesha, yani huwa dereva namba moja wakati aliyeshika usukani ni mimi.

Na kwa vile ameshajua pia nampuuza katika hilo, mara nyingi mke wangu huamua kukaa siti ya nyuma kwa vile haamini udereva wangu na huona kama nitamsababishia ajali akikaa mbele.

Kwa ufupi hapendezwi ninvyoendesha gari na hili jambo linanikera sana.

NAOMBENI USHAURI WENU WA KUNIJENGA KTK HILI.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu Bulichekah kwa bandiko hili mimi nimeelewa mambo mengi sana ila kubwa kuna mahali umelegalega kama kichwa cha familia kiasi kwamba mke wako haioni Ile nafasi yako tena. Inawezekana akiangalia maisha mnayoishi haoni mchango wako kabisa na hata hilo gari amezawadiwa na watu wasiojulikana kwako

Kumbuka uliambiwa uishi nae kwa akili😁😁
 
Pole mkuu..hilo gari sio lake..yeye ni kivuli tu cha alionalo,atakua kuna mtu aliweka fungu lake kubwa ili amfanikishie anunue hilo gari ndo maana anaona jau ukiwa unataka kuliendesha usijepishana na mwenye nalo..yeye kukaa nyuma anahifia mkionwa pamoja..maana ukionwa wewe pekeako anaweza sema wewe ni mfanyakazi wao alikutuma..

Kama si hivyo nnavyofikiria tofauti na hapo huyo mwanamke ana roho ya uchoyo sana..


Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaa @gidumunaweza uwa mtu kwa presha wewe
 
Mimi ni mwanaume wa kawaida, nimejaaliwa kipato cha wastani tu kinachotokana na juhudi za kujihusisha na hiki na kile kwa kupitia kujiajiri.

Mke wangu pia ni mchakarikaji na anaitumikia biashara ya vyombo vya ndani na mapambo ya ndani ambayo kwa pamoja tuliifungua na inafanya vzr sana.

Tumejaaliwa kuwa na gari moja Suzuki modeli mpya ambayo kiukweli aliinunua yeye mwaka Jana January. Kwasasa mimi ni fundi wa mashine za aina mbalimbali ikiwemo majenereta, magreda, kreni n.k. Na kwa kuwa mishe zangu za kiufundi hazihusishi sana matumizi ya gari ya kutembelea kwahyo huwa naitumia mara chache sana.

Baada ya kumfundisha mkewangu kuendesha akawa nayo kuanzia hapo. Mie Nina pikipiki ambayo hunipeleka huku na kule na kunifanikishia mishughukiko yangu yote bila tashwishi . Ninapohitaji gari kwa ajili ya matumizi ya hapa na pale au ninapoonyesha dalili ya kwamba nitatumia gari siku hiyo, papo hapo mke wangu huanza kujiskia karaha na ataanza kuongea maneno ambayo yanatoa ishara kwamba hataki ntumie gari.

Ukweli sipendezwi na hali hiyo maana inaudhi sana. Kwakuwa nimeshamjulia huwa nampuuza afu nachukua gari naenda kwenye kusudi nililolenga lkn furaha yake hutoweka kwa siku hiyo na hukereka kiukweli. Ingawa mie ndo niliyemfundisha kuendesha lkn pia haniamini napoendesha gari na hapendi nimuendeshe na kila wakati anasikika akinikosoa ninapoendesha, yani huwa dereva namba moja wakati aliyeshika usukani ni mimi.

Na kwa vile ameshajua pia nampuuza katika hilo, mara nyingi mke wangu huamua kukaa siti ya nyuma kwa vile haamini udereva wangu na huona kama nitamsababishia ajali akikaa mbele.

Kwa ufupi hapendezwi ninvyoendesha gari na hili jambo linanikera sana.

NAOMBENI USHAURI WENU WA KUNIJENGA KTK HILI.

Sent using Jamii Forums mobile app


Hilo gari atakuwa kanunuliwa na basha lake la kitaa na pengine kapigwa beat na huyo jamaa kuwa asione wewe unaendesha la sivyo hatolilipia gharama ya maintenance. Vumilia tu, ndiyo mademu wa siku hizi walivyo...akipata mtu wa kumuhudumia huko nje wanakuwa na kiburi sana.
 
Nimejikuta nawachukia sana watu wanaotoa siri za wapenzi wao hadharani, hivi unadhani nani anajali? inatusaidia nini>? Jifunze kumheshimu mke au mume wako, social media kamwe haiwezi kukusaidia matatizo yako zaidi utaishia kupata majanga zaidi
Saikolojia inatuambia kuongea vitu vinavyoumiza moyo wako ni tiba. Kwa hapa jf kwa kua hajataja majina wala kuweka picha huu uzi hauna madhara ila utabaki hapa kuwa fundisho kwa vizazi vijavyo
 
Hii korona na iishe tu, naona nyuzi za wanaume kuleta vilio vyao kwenye mahakama ya JF zimekuwa nyingi sana.
 
Hiyo gari amenunuliwa na msaidizi wako,ambae kwa mkeo wewe ndiyo msaidizi,huyo ndiyo baba mwenye mji.
Jamaa anakasirika akiona wewe unaendesha kwakuwa kamnunulia kimada wake,chunguza utakuja kunishukuru.
 
Hiyo gari amenunuliwa na msaidizi wako,ambae kwa mkeo wewe ndiyo msaidizi,huyo ndiyo baba mwenye mji.
Jamaa anakasirika akiona wewe unaendesha kwakuwa kamnunulia kimada wake,chunguza utakuja kunishukuru.
Kha! Sasa ndio nini hivi Mnondwe tumia basi hata tafsida upunguze makali😂😂😂
 
Hata mm nilikuwa sipendi uendeshaji wa mume wangu na sikuwah kumwamini kabisa uendeshaji wake , alisababisha ajali nyingi sana na hata mwisho alikuja kupata ajali mbaya mnoo

Msikilize mkeo ..elewa anachokurekebisha..kumfundisha haimaanishi utakuwa bora zaidi yake no! Mwanafunzi humzidi mwalimu muda mwingine

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
 
Huyo ni mke au takataka? Kwanza ana umri gani?

Infact, wewe pia una umri gani? I must be honest, kuna utoto na irresponsibility mahali fulani!

Kuwa nae makini sana huyo mkeo ana tabia ya uchoyo na ubinafsi! Jiandae baada ya muda kugawana mali pasu kwa pasu baada ya talaka! Na talaka haiko mbali!

No wonder ni mroho wa chakula pia?

Kwanza huwa mnakula mezani nyie? Au mnajificha ficha tu na mabakuli ya mchuzi uvunguni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mwanaume wa kawaida, nimejaaliwa kipato cha wastani tu kinachotokana na juhudi za kujihusisha na hiki na kile kwa kupitia kujiajiri.

Mke wangu pia ni mchakarikaji na anaitumikia biashara ya vyombo vya ndani na mapambo ya ndani ambayo kwa pamoja tuliifungua na inafanya vzr sana.

Tumejaaliwa kuwa na gari moja Suzuki modeli mpya ambayo kiukweli aliinunua yeye mwaka Jana January. Kwasasa mimi ni fundi wa mashine za aina mbalimbali ikiwemo majenereta, magreda, kreni n.k. Na kwa kuwa mishe zangu za kiufundi hazihusishi sana matumizi ya gari ya kutembelea kwahyo huwa naitumia mara chache sana.

Baada ya kumfundisha mkewangu kuendesha akawa nayo kuanzia hapo. Mie Nina pikipiki ambayo hunipeleka huku na kule na kunifanikishia mishughukiko yangu yote bila tashwishi . Ninapohitaji gari kwa ajili ya matumizi ya hapa na pale au ninapoonyesha dalili ya kwamba nitatumia gari siku hiyo, papo hapo mke wangu huanza kujiskia karaha na ataanza kuongea maneno ambayo yanatoa ishara kwamba hataki ntumie gari.

Ukweli sipendezwi na hali hiyo maana inaudhi sana. Kwakuwa nimeshamjulia huwa nampuuza afu nachukua gari naenda kwenye kusudi nililolenga lkn furaha yake hutoweka kwa siku hiyo na hukereka kiukweli. Ingawa mie ndo niliyemfundisha kuendesha lkn pia haniamini napoendesha gari na hapendi nimuendeshe na kila wakati anasikika akinikosoa ninapoendesha, yani huwa dereva namba moja wakati aliyeshika usukani ni mimi.

Na kwa vile ameshajua pia nampuuza katika hilo, mara nyingi mke wangu huamua kukaa siti ya nyuma kwa vile haamini udereva wangu na huona kama nitamsababishia ajali akikaa mbele.

Kwa ufupi hapendezwi ninvyoendesha gari na hili jambo linanikera sana.

NAOMBENI USHAURI WENU WA KUNIJENGA KTK HILI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Komaa faza,kaza sanaaaaaa! Vuta chuma chako na umpuuze na ndingaye! Toa kabisa dalili za kuonekana unaitegemea ndinga yake ktk mishe zako! Tena kwa sasa mbona kuna huduma nyingi za usafiri kama UBER,TAXIFY etc. Kaa humo huku ukizichanga na kuvuta mchuma wako!
 
Shughulika naye vizuri kale ka mchezo - awe anafika mara kwa mara....hiyo gari utaiendesha na yeye kuna muda mwingine atapanda daladala !!

heshima ya ndoa ni muhimu saana.
 
Back
Top Bottom