Mke wangu hataki niendeshe gari alilonunua. Nakereka sana

Mke wangu hataki niendeshe gari alilonunua. Nakereka sana

Kuna watu watamshauri vibaya na yeye atekekeze hili Jambo angemwambia mkewe angejirekebisha sio humu.
Nimejikuta nawachukia sana watu wanaotoa siri za wapenzi wao hadharani, hivi unadhani nani anajali? inatusaidia nini>? Jifunze kumheshimu mke au mume wako, social media kamwe haiwezi kukusaidia matatizo yako zaidi utaishia kupata majanga zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejikuta nawachukia sana watu wanaotoa siri za wapenzi wao hadharani, hivi unadhani nani anajali? inatusaidia nini>? Jifunze kumheshimu mke au mume wako, social media kamwe haiwezi kukusaidia matatizo yako zaidi utaishia kupata majanga zaidi
hapo kuna jambo gani jipya zaidi ya ubinafsi tu,then siyo kila kinachoandikwa haha nikweli inawezekana anafikisha tu ujumbe kwa wanawake wale chako chetu,changu changu
 
Ndio tatizo la wanawake wa kuchuma wote, ulipoambiwa ujipange ndipo uoe uliona watu hawataki utiane kwa kujinafasi. Pambana na hali yako.
Kuna mwanamke mmoja aliwahi kuniambia kuwa mimi nimekutengeneza mpaka umekuwa hivyo ulivyo, nilimkata jicho hilo, akajikuta anaomba tu msamaha mwenyewe. Kwasababu yeye kaja na begi lake tu, kila kitu changu.
 
Maelezo ya mtoa mada yana viashiria vya wazi kuwa hilo gali mke amenunuliwa na mchepuko.
 
Mimi ni mwanaume wa kawaida, nimejaaliwa kipato cha wastani tu kinachotokana na juhudi za kujihusisha na hiki na kile kwa kupitia kujiajiri.

Mke wangu pia ni mchakarikaji na anaitumikia biashara ya vyombo vya ndani na mapambo ya ndani ambayo kwa pamoja tuliifungua na inafanya vzr sana.

Tumejaaliwa kuwa na gari moja Suzuki modeli mpya ambayo kiukweli aliinunua yeye mwaka Jana January. Kwasasa mimi ni fundi wa mashine za aina mbalimbali ikiwemo majenereta, magreda, kreni n.k. Na kwa kuwa mishe zangu za kiufundi hazihusishi sana matumizi ya gari ya kutembelea kwahyo huwa naitumia mara chache sana.

Baada ya kumfundisha mkewangu kuendesha akawa nayo kuanzia hapo. Mie Nina pikipiki ambayo hunipeleka huku na kule na kunifanikishia mishughukiko yangu yote bila tashwishi . Ninapohitaji gari kwa ajili ya matumizi ya hapa na pale au ninapoonyesha dalili ya kwamba nitatumia gari siku hiyo, papo hapo mke wangu huanza kujiskia karaha na ataanza kuongea maneno ambayo yanatoa ishara kwamba hataki ntumie gari.

Ukweli sipendezwi na hali hiyo maana inaudhi sana. Kwakuwa nimeshamjulia huwa nampuuza afu nachukua gari naenda kwenye kusudi nililolenga lkn furaha yake hutoweka kwa siku hiyo na hukereka kiukweli. Ingawa mie ndo niliyemfundisha kuendesha lkn pia haniamini napoendesha gari na hapendi nimuendeshe na kila wakati anasikika akinikosoa ninapoendesha, yani huwa dereva namba moja wakati aliyeshika usukani ni mimi.

Na kwa vile ameshajua pia nampuuza katika hilo, mara nyingi mke wangu huamua kukaa siti ya nyuma kwa vile haamini udereva wangu na huona kama nitamsababishia ajali akikaa mbele.

Kwa ufupi hapendezwi ninvyoendesha gari na hili jambo linanikera sana.

NAOMBENI USHAURI WENU WA KUNIJENGA KTK HILI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa inawezekana mgebadilishana jinsia na mkeo, kama wewe ndo umechangia pesa yako katika hilo gari unacholalamika ni nn? We ni mwanaume usiyekuwa na meno au mamlaka hafu unakuja kuomba hayo mamlaka kwa wanaume wenzio. Pambana na hali yako
 
Mimi nisingegusa hiyo gari. Halafu ndani mkishaanza hiki kanunua mke ni chake basi ndoa si imara tena.
 
Duuh! Siku likiwa na tatizo fundi na mfatiliaji utakuwa ni wewe, muulize kama yuko serious kuwa hajisikii vizuri ukilitumia gari, akijibu "YES" achana nalo, tafutq lingine,


Alexander The Great
 
Nimejikuta nawachukia sana watu wanaotoa siri za wapenzi wao hadharani, hivi unadhani nani anajali? inatusaidia nini>? Jifunze kumheshimu mke au mume wako, social media kamwe haiwezi kukusaidia matatizo yako zaidi utaishia kupata majanga zaidi
Sasa ww unataka hizo kero zake azitolee mbinguni?? Eti social media kwani watu walioko huku kwwnye social media ndio hao hao waliopo huko mtaani ambapo angewafuata huko mtaani.
Acha kuwa na mawazo kama ya mtu aliyezaliwa kipindi cha Nyerere.
 
Pole Sana Kaka. Pole Sana kwa mkeo kuwa KERO. Wanawake wenzangu tubadilike jamani. Mume wangu siku anataka kutumia gari.... Namuomba mapema kabisa anipeleke usafiri wa bajaji unapopatikana..... naendelea na ratiba zangu kama kawaida. Nikimaliza narudi nyumbani.... Raha mustarehe... Mapenzi Mubashara[emoji23][emoji28]. Mapenzi yana Raha Sana Wanawake wenzangu ... Haya Mambo madogo madogo haya tujifunze kuya-ignore. Tujifunze kujishusha kwenye baadhi ya mambo ambayo tunaweza kufanya na hayasumbui sana.... Kwani utapungukiwa nini .... Pia Tunapunguza mikwaruzano inayoweza kuepukika. Gari zipo tuu. Cha muhimu Penzi na Raha ya MUME.
Ukisoma hapa mtu unasema yes mwanamke si ndo huyu bhana...sasa njoo geuza upande wa pili wa shilling.. Huwez kuamin ndugu msomaj
 
Back
Top Bottom