Mke wangu hataki niendeshe gari alilonunua. Nakereka sana

Mke wangu hataki niendeshe gari alilonunua. Nakereka sana

Mimi ni mwanaume wa kawaida, nimejaaliwa kipato cha wastani tu kinachotokana na juhudi za kujihusisha na hiki na kile kwa kupitia kujiajiri.

Mke wangu pia ni mchakarikaji na anaitumikia biashara ya vyombo vya ndani na mapambo ya ndani ambayo kwa pamoja tuliifungua na inafanya vzr sana.

Tumejaaliwa kuwa na gari moja Suzuki modeli mpya ambayo kiukweli aliinunua yeye mwaka Jana January. Kwasasa mimi ni fundi wa mashine za aina mbalimbali ikiwemo majenereta, magreda, kreni n.k. Na kwa kuwa mishe zangu za kiufundi hazihusishi sana matumizi ya gari ya kutembelea kwahyo huwa naitumia mara chache sana.

Baada ya kumfundisha mkewangu kuendesha akawa nayo kuanzia hapo. Mie Nina pikipiki ambayo hunipeleka huku na kule na kunifanikishia mishughukiko yangu yote bila tashwishi . Ninapohitaji gari kwa ajili ya matumizi ya hapa na pale au ninapoonyesha dalili ya kwamba nitatumia gari siku hiyo, papo hapo mke wangu huanza kujiskia karaha na ataanza kuongea maneno ambayo yanatoa ishara kwamba hataki ntumie gari.

Ukweli sipendezwi na hali hiyo maana inaudhi sana. Kwakuwa nimeshamjulia huwa nampuuza afu nachukua gari naenda kwenye kusudi nililolenga lkn furaha yake hutoweka kwa siku hiyo na hukereka kiukweli. Ingawa mie ndo niliyemfundisha kuendesha lkn pia haniamini napoendesha gari na hapendi nimuendeshe na kila wakati anasikika akinikosoa ninapoendesha, yani huwa dereva namba moja wakati aliyeshika usukani ni mimi.

Na kwa vile ameshajua pia nampuuza katika hilo, mara nyingi mke wangu huamua kukaa siti ya nyuma kwa vile haamini udereva wangu na huona kama nitamsababishia ajali akikaa mbele.

Kwa ufupi hapendezwi ninvyoendesha gari na hili jambo linanikera sana.

NAOMBENI USHAURI WENU WA KUNIJENGA KTK HILI.

Sent using Jamii Forums mobile app

Achana na kuendesha hilo gari, wewe endelea tu na pikipiki. Unapohitaji gari kodisha. Halafu kwenye service na repair atoe yeye asilimia kubwa. Je, kweli ana uwezo wa kununua hilo gari mbali na vikoba?

Je, mna nyumba yenu? Kama ndio, nani alijenga kwa asilimia kubwa kama nae alikuwa anachangia?
 
Mara kibao humu uwa nasema."MALI YA MWANAMKE SIO YAKO".
hao wameumbwa kwa ajili ya kukuzalia watoto na kukulelea mambo mengine hawanaaa.
Ndivyo walivyoumbwa.
Na usidhani kama hakupendi bali ndo hulka yao.
Cha msingi endelea na piki piki yako.
Ipo siku utakuja kununua GARI LA KWENU.
Sio gari lako ni LA KWENU KAMA UTANUNUA.

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Kwa chuki hio, unatengeneza ugonjwa utakao kuua mapema. Relax tu mkuu social media kila mtu yupo huru kuandika chchte ili mrad asivunje sheria.
Nimejikuta nawachukia sana watu wanaotoa siri za wapenzi wao hadharani, hivi unadhani nani anajali? inatusaidia nini>? Jifunze kumheshimu mke au mume wako, social media kamwe haiwezi kukusaidia matatizo yako zaidi utaishia kupata majanga zaidi
 
Mimi ni mwanaume wa kawaida, nimejaaliwa kipato cha wastani tu kinachotokana na juhudi za kujihusisha na hiki na kile kwa kupitia kujiajiri.

Mke wangu pia ni mchakarikaji na anaitumikia biashara ya vyombo vya ndani na mapambo ya ndani ambayo kwa pamoja tuliifungua na inafanya vzr sana.

Tumejaaliwa kuwa na gari moja Suzuki modeli mpya ambayo kiukweli aliinunua yeye mwaka Jana January. Kwasasa mimi ni fundi wa mashine za aina mbalimbali ikiwemo majenereta, magreda, kreni n.k. Na kwa kuwa mishe zangu za kiufundi hazihusishi sana matumizi ya gari ya kutembelea kwahyo huwa naitumia mara chache sana.

Baada ya kumfundisha mkewangu kuendesha akawa nayo kuanzia hapo. Mie Nina pikipiki ambayo hunipeleka huku na kule na kunifanikishia mishughukiko yangu yote bila tashwishi . Ninapohitaji gari kwa ajili ya matumizi ya hapa na pale au ninapoonyesha dalili ya kwamba nitatumia gari siku hiyo, papo hapo mke wangu huanza kujiskia karaha na ataanza kuongea maneno ambayo yanatoa ishara kwamba hataki ntumie gari.

Ukweli sipendezwi na hali hiyo maana inaudhi sana. Kwakuwa nimeshamjulia huwa nampuuza afu nachukua gari naenda kwenye kusudi nililolenga lkn furaha yake hutoweka kwa siku hiyo na hukereka kiukweli. Ingawa mie ndo niliyemfundisha kuendesha lkn pia haniamini napoendesha gari na hapendi nimuendeshe na kila wakati anasikika akinikosoa ninapoendesha, yani huwa dereva namba moja wakati aliyeshika usukani ni mimi.

Na kwa vile ameshajua pia nampuuza katika hilo, mara nyingi mke wangu huamua kukaa siti ya nyuma kwa vile haamini udereva wangu na huona kama nitamsababishia ajali akikaa mbele.

Kwa ufupi hapendezwi ninvyoendesha gari na hili jambo linanikera sana.

NAOMBENI USHAURI WENU WA KUNIJENGA KTK HILI.

Sent using Jamii Forums mobile app

Pambana upate gari yako mkuu.
 
Hilo gari inaonekana katika manunuzi hukuchangia ni lake.Endapo ulichangia katika manunuzi na hataki ulitumie huyo mke ni mbinafsi na hiyo ndoa haipo mbali kuvunjika stay tune brother.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko ni kuokoa ndoa gani wataishi hivyo mpaka lini? Amani kwake itakuwepo daima? Wauze hilo gari linunuliwe lingine liwe chini ya mume halafu awe anamwachia mkewe,siku akilihitaji anachukua na kutumia. Au wabaki bila gari mana muda si mrefu ataanza kuambiwa unajua pesa ya kununua hili gari ilivyopatikana?
Kwanini lisinunuliwe lingine bila kuuza Hilo 'la mke'?
 
Bulichekah nunua gari ingine muachie hio 'yake'. Wengi wananunua magari mawili sio kwamba wanawapenda sana wake zao bali kupunguza kukuganda. Mkitumia gari moja Uhuru unapungua.
 
Mkuu wangu, kila hatua alinihusisha na ninataka nikuhakikishie kwamba pesa za manunuzi zilitokana na biashara na hiyo biashara ni yetu. Naiita ni yetu kwa mantiki mimi ndiye mtoa mtaji kwa 100% na nikamkabidhi kama ajira yake lkn kitega uchumi cha familia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hujui jua sasa. Mali ya mwanaume ikiwemo mshahara, ng'ombe, gari, nyumba n.k. ni mali ya family . Lakini mali ya mke vikiwemo hivyo vyote ni vyake. Na kuvitumia huleta shida nyumbani. Kikubwa jitahidi ununue gari yako nyingine tena kimya kimya. Utaona yeye mwenyewe akijipendekeza tena wala hayo masimango hutayaona tena.

Odhis *
 
Hapo Dawa siku ukichukua nenda kaligongeshe piga mti au daraja haswa haswa engine irud nyuma,Airbags zifumuke kioo cha chembe kama hakijavunjika malizia.....na kama no usiku lichome na moto.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mwanaume wa kawaida, nimejaaliwa kipato cha wastani tu kinachotokana na juhudi za kujihusisha na hiki na kile kwa kupitia kujiajiri.

Mke wangu pia ni mchakarikaji na anaitumikia biashara ya vyombo vya ndani na mapambo ya ndani ambayo kwa pamoja tuliifungua na inafanya vzr sana.

Tumejaaliwa kuwa na gari moja Suzuki modeli mpya ambayo kiukweli aliinunua yeye mwaka Jana January. Kwasasa mimi ni fundi wa mashine za aina mbalimbali ikiwemo majenereta, magreda, kreni n.k. Na kwa kuwa mishe zangu za kiufundi hazihusishi sana matumizi ya gari ya kutembelea kwahyo huwa naitumia mara chache sana.

Baada ya kumfundisha mkewangu kuendesha akawa nayo kuanzia hapo. Mie Nina pikipiki ambayo hunipeleka huku na kule na kunifanikishia mishughukiko yangu yote bila tashwishi . Ninapohitaji gari kwa ajili ya matumizi ya hapa na pale au ninapoonyesha dalili ya kwamba nitatumia gari siku hiyo, papo hapo mke wangu huanza kujiskia karaha na ataanza kuongea maneno ambayo yanatoa ishara kwamba hataki ntumie gari.

Ukweli sipendezwi na hali hiyo maana inaudhi sana. Kwakuwa nimeshamjulia huwa nampuuza afu nachukua gari naenda kwenye kusudi nililolenga lkn furaha yake hutoweka kwa siku hiyo na hukereka kiukweli. Ingawa mie ndo niliyemfundisha kuendesha lkn pia haniamini napoendesha gari na hapendi nimuendeshe na kila wakati anasikika akinikosoa ninapoendesha, yani huwa dereva namba moja wakati aliyeshika usukani ni mimi.

Na kwa vile ameshajua pia nampuuza katika hilo, mara nyingi mke wangu huamua kukaa siti ya nyuma kwa vile haamini udereva wangu na huona kama nitamsababishia ajali akikaa mbele.

Kwa ufupi hapendezwi ninvyoendesha gari na hili jambo linanikera sana.

NAOMBENI USHAURI WENU WA KUNIJENGA KTK HILI.

Sent using Jamii Forums mobile app
CHAI.
 
kama kichwa cha familia kuna mahali umelega sana bro!!!
utoe mtaji kwa 100% na usijue mapato na matumizi?? Mpaka mwanamke ananunua gari kama kichwa huku play your role ipasavyo ndo maana Leo unapitia karaha zote hzo!!
anyway ishakua ktk hali hiyo kama unaenda mke wako na yeye anakupenda ila ugomvi wenu Ni kwenye gari tu Fanya hv Achana na hilo gari as if Ni la jirani yako do not engage kwa namna yoyote ile na inatakiwa ajue hilo, kama kipato kitaruhusu ununue gari lako na ajue kabisa gari Ni lako asitie hata mguu kwenye gari laki mbona mtaelewana tu
Maendeleo hayana chama
 
Kuna mmoja kaacha yote mawili tena kanunua mwenyewe, saizi anapanda daladala haijalishi wote wanaenda mjini.

Gari na amani ya moyo kipi bora?
 
Bro,fanya ununue gari lako tu. Huyo mwanamke ana ubinafsi
Mimi ni mwanaume wa kawaida, nimejaaliwa kipato cha wastani tu kinachotokana na juhudi za kujihusisha na hiki na kile kwa kupitia kujiajiri.

Mke wangu pia ni mchakarikaji na anaitumikia biashara ya vyombo vya ndani na mapambo ya ndani ambayo kwa pamoja tuliifungua na inafanya vzr sana.

Tumejaaliwa kuwa na gari moja Suzuki modeli mpya ambayo kiukweli aliinunua yeye mwaka Jana January. Kwasasa mimi ni fundi wa mashine za aina mbalimbali ikiwemo majenereta, magreda, kreni n.k. Na kwa kuwa mishe zangu za kiufundi hazihusishi sana matumizi ya gari ya kutembelea kwahyo huwa naitumia mara chache sana.

Baada ya kumfundisha mkewangu kuendesha akawa nayo kuanzia hapo. Mie Nina pikipiki ambayo hunipeleka huku na kule na kunifanikishia mishughukiko yangu yote bila tashwishi . Ninapohitaji gari kwa ajili ya matumizi ya hapa na pale au ninapoonyesha dalili ya kwamba nitatumia gari siku hiyo, papo hapo mke wangu huanza kujiskia karaha na ataanza kuongea maneno ambayo yanatoa ishara kwamba hataki ntumie gari.

Ukweli sipendezwi na hali hiyo maana inaudhi sana. Kwakuwa nimeshamjulia huwa nampuuza afu nachukua gari naenda kwenye kusudi nililolenga lkn furaha yake hutoweka kwa siku hiyo na hukereka kiukweli. Ingawa mie ndo niliyemfundisha kuendesha lkn pia haniamini napoendesha gari na hapendi nimuendeshe na kila wakati anasikika akinikosoa ninapoendesha, yani huwa dereva namba moja wakati aliyeshika usukani ni mimi.

Na kwa vile ameshajua pia nampuuza katika hilo, mara nyingi mke wangu huamua kukaa siti ya nyuma kwa vile haamini udereva wangu na huona kama nitamsababishia ajali akikaa mbele.

Kwa ufupi hapendezwi ninvyoendesha gari na hili jambo linanikera sana.

NAOMBENI USHAURI WENU WA KUNIJENGA KTK HILI.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwann usimpuuze ukanunua gari badala yake unampuuza kwa kulazimisha kuendesha lake? Na mafuta pia huwa unampuuza anajiwekea? Servise? Ww kumfundisha gari si tiketi ya wewe kulitumia akiwa analihitaji. Nunua gari kali kuliko lake halafu hapo utakuwa umempuuza na atajisikia kupuuzwa.
 
Back
Top Bottom