Mke wangu hatimizi majukumu yake ya nyumbani ipasavyo

Brother, make funny to yourself.
Tafuta manzi wako mmoja mwelewa akupe vile unataka ukirudi nyumbani unalala zako usingizi kama pono mwepesiiii
 
Brother, make funny to yourself.
Tafuta manzi wako mmoja mwelewa akupe vile unataka ukirudi nyumbani unalala zako usingizi kama pono mwepesiiii
 
The Best and the most useful comment, mtoa mada soma hapa uelewe itakusaidia
 
Kwa swala la uvivu, mtafutie house girl.

Issue ya kitandani, usimsubirie akupe. We kamata zigo lako piga mabao yako lala,, tena usihangaike kumkojolesha ili alale na ham zake.
Mchepuko ni muhimu hata kama angekuwa anakupa siku zote- anatakiwa aone kuna ka ushindani ili ajitume.
 
But cha kufanya hapo mpe kitu kinaitwa SUSPENSION........unajua hawa viumbe ukikaa nao wanakuzoea sana mpe likizo kidg akikaa kwao kwa mda akirudi atalekebika

Mtaftie kosa...... Af mpe SUSPENSION
Nilioa mpuuzi fulani hivi . Kwanza kane kikwapa. Halafui wala kupika nikakafulumusha kaswahili kale
 

Tread closed
 
Heshima kwenu ndugu zangu.

Jambo likikukuta mshirikishe mwingine mwenye uzoefu, na mficha maradhi kifo humuumbua.

Naamini humu wapo wengi wenye ndoa na wazoefu wa changamoto mbali mbali,

Nim

Maadamu si mshirikina au mzinifu,wewe mvumilie mzee. Ila uwe unatumia lugha nzuri kumkumbusha.

Au kama uwezo na sijajua imani yako ikoje,ningekushauri kushauri kuongeza mke mwingine wa halali. Lengo si kumuumiza mkeo bali kupata pumziko,lakini hakikisha kwanza umerekebisha kwa mkeo wa sasa.

Jambo lingine hili unatakiwa ulifanyie kazi kuiangalia nafsi yako,kwamba je wewe huna madhaifu yoyote ambayo unamfanyia mkeo ? Kama unayo jaribu kujirekebisha sababu hawa wake zetu kutokana na udhaifu wao huwa kuna muda wanafanya mambo makusudi kutokana na wewe kutomfanyia wema au mfano wake.
 
We mwanaume wa DAR nini? sasa mambo ya mkeo unaleta hapa jamvini, mpandishe cheo awe bimkubwa atatia akili alaaaaaaaah, mnakwama wapi nyinyi
 
Heshima kwenu ndugu zangu.

Jambo likikukuta mshirikishe mwingine mwenye uzoefu, na mficha maradhi kifo humuumbua.

Naamini humu wapo wengi wenye ndoa na wazoefu wa changamoto mbali mbali,
Pole lakini nikujuze wake zetu ndo walivo asiye na hili analile so vumilia na kumsaidia kwa vitendo unapoona Jambo la kurekebisha na si maneno.

Kama uvivu si asili yake basi ni kutokana na ulezi bilia Shaka mmezaa karibu karibu na Hali hiyo hua inapelekea kukosa hamu ya tendo la ndoa hivyo ungoza mahaba kwakumsaidia majukumu ya nyumbani inapobidi.

Huo ni uzoefu wangu wa 8yrs in marriage.
 
Usharu mbovu huu... Mambo ya ndoa ni ya wawili.
 
Mkuu kwangu mm mkeo naona hana matatizo makubwa sn.

Kama tayari ameshakupa watoto 2 maana yake ,
majukumu yake kama mwanamke anayafanya kwa ufasaha.

Kumbuka kazi ya mwanamke ni moja tu,

Kukuliwaza pale unapohitaji mapenzi.

Hayo mambo ya Kiti kinavumbi,,mara usafi wa nyumba,
Hayo sio majukumu yake.

Tafuta house girl.

Dismiss case.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…