Mke wangu hatimizi majukumu yake ya nyumbani ipasavyo

Mke wangu hatimizi majukumu yake ya nyumbani ipasavyo

Mkuu kwangu mm mkeo naona hana matatizo makubwa sn.
Mkuu analalamika kunyimwa mbususu wewe unasema mwanamke amemaliza majukumu yake. Seriously!

Angepewa mbususu kila siku asingelalamikia hayo mengine madogo sana. Baada ya kunyanduana ungemwambia kasafishe nyumba, fua nguo na niletee msosi na angetii. Trust me.
 
Poleee..
Labda jaribu kua na dada wa kazi pia.
Kama hakua hivyo tokea mwanzoni,bas amejichokea tuu, kukaa tuu nyumbani kunachosha sana,unakua sort of depressed ivii.kila kitu unaona sawa tuu.
Inshort life la kua ndani tuu ya nyumba is like living with no purpose.
Pole,my 2 cents japo mie sio mwanaume mwenye ndoa.

Yawezekana kabisa mkuu,imagine kufanya kitu kile kile kila siku inachosha na inakuwa haikupi maana ya maisha halafu kingine kazi za nyumbani zinachosha sana tena na watoto wawili[emoji1544]
 
Sina uhakika na hili ila naomba nichangie

Ni kwamba kama kuna uwezekano mtaarifu mama mkwe juu ya matatizo ya mwanae, iwe kinaga ubaga sana akuelewa. Au sijui utumie mshenga, miiko ya ndoa siijui i stand to be corrected

La msingi Mama mkwe awe someone decent usije kuyakoroga zaidi.
Naona hili ni la busara, kwa kweli kuna wanawake wanakua ovyo majumba yao ovyo na hawana huruma kabisa na waume zao. Nachukia mtu anaona mume wake anapambana kuhudumia familia lkn bado hamthamini mwenzake
 
Heshima kwenu ndugu zangu.

Jambo likikukuta mshirikishe mwingine mwenye uzoefu, na mficha maradhi kifo humuumbua.

Naamini humu wapo wengi wenye ndoa na wazoefu wa changamoto mbali mbali,

Nimekaa nikatafakari sana nikaona bora nilete huku jambo langu hili ili nipate mawazo mapya.

Nimekuwa na changamoto kadhaa kwenye ndoa yangu, japo nimekuwa nikizichukulia poa lakin sasa naona ni wakati wa kuwa serious kidogo,

Ninaomba niorodheshe mambo kadhaa ambayo kwa upande wangu nayaona kama ni madhaifu ya mke wangu na niseme tu kuna baadhi nilishaongea nae lakin sijaona mabadiliko yoyote.

Mke wangu ana umri wa miaka 28 na mimi nina 33 na tumejaliwa watoto wawili mpaka sasa. Na mke wangu ni mama wa nyumbani (sio mfanyakazi).
Namshukuru Mungu mengi natimiza na hatujawahi kulala njaa.

Mke wangu ananishangaza kwa tabia ya uvivu aliyonayo,
Ni mvivu kufua nguo, tenga la nguo chafu linaweza kujaa na zaidi lakin nguo hazifuliwi mpaka umkumbushe. Na ukimkumbusha atafua lakin utakuta nusu zimebaki.

Mimi ninafanya shughuli zangu karibu sana na tunaposhi, lakin nikimwambia apike mchana aniletee chakula inakuwa adhabu kubwa sana kwake. Kwahiyo mara nyingi naamua kula kwa mama ntilie tu.

Mwili wake ni mzito sana, hajui kujiongeza katika mambo mengi madogo madogo, kitu kinaweza kuwa kipo sehem sio yake lakini hawezi kunyanyuka akakiondoa mpaka umwambie, hawezi kuona meza ina vumbi au TV akachukua kitambaa akafuta.

Huyu mke wangu suala la kuamka kitandani saa mbili au tatu asubuh kwake ni la kawaida.

Mbaya zaidi, huyu mwanamke hajui kuonesha mapenzi. Navyojua mwanaume ukirud kutoka kwenye mihangaiko unatarajia upokelewe vizuri na mkeo, lakini yeye unakuta kakaa tu kwenye kiti, hakupi ile hali ya kujisikia kama umerudi nyumbani umemkuta mke.

Mbaya zaidi huyu mwanamke ni mvivu hata kwenye kufanya tendo la ndoa. Usipomkumbusha mwenyewe mnaweza kukaa hata wiki mbili na wakati mwingine nikihitaji anagoma mpaka nitumie ushawishi wa hali ya juu au nguvu. Lakini kwa hili siku hizi nimeamua kumpotezea, siombi kabisa, nkishashiba nalala zangu. Mpaka akili inaniambia nitafute mchepuko niwe najipoza kidogo.

Kama upo kwenye ndoa naomba mtazamo wako, maoni na ushauri kuhusu haya yanayonikuta kama mwanachama mwenzako kwenye chama hiki.

Timiza yako kwanza, kama yake atimizi msaidie,
 
Yawezekana kabisa mkuu,imagine kufanya kitu kile kile kila siku inachosha na inakuwa haikupi maana ya maisha halafu kingine kazi za nyumbani zinachosha sana tena na watoto wawili[emoji1544]
Haijalishi kazi za ntumbani kuchosha, pumzika amka hyo saa nne anayotaka kisha akiamka afante hizo kazi hata kwa four hrs then apumzike tena
 
Kabla hujamuoa haya yote hukuyaona Mkuu!?
Heshima kwenu ndugu zangu.

Jambo likikukuta mshirikishe mwingine mwenye uzoefu, na mficha maradhi kifo humuumbua.

Naamini humu wapo wengi wenye ndoa na wazoefu wa changamoto mbali mbali,

Nimekaa nikatafakari sana nikaona bora nilete huku jambo langu hili ili nipate mawazo mapya.

Nimekuwa na changamoto kadhaa kwenye ndoa yangu, japo nimekuwa nikizichukulia poa lakin sasa naona ni wakati wa kuwa serious kidogo,

Ninaomba niorodheshe mambo kadhaa ambayo kwa upande wangu nayaona kama ni madhaifu ya mke wangu na niseme tu kuna baadhi nilishaongea nae lakin sijaona mabadiliko yoyote.

Mke wangu ana umri wa miaka 28 na mimi nina 33 na tumejaliwa watoto wawili mpaka sasa. Na mke wangu ni mama wa nyumbani (sio mfanyakazi).
Namshukuru Mungu mengi natimiza na hatujawahi kulala njaa.

Mke wangu ananishangaza kwa tabia ya uvivu aliyonayo,
Ni mvivu kufua nguo, tenga la nguo chafu linaweza kujaa na zaidi lakin nguo hazifuliwi mpaka umkumbushe. Na ukimkumbusha atafua lakin utakuta nusu zimebaki.

Mimi ninafanya shughuli zangu karibu sana na tunaposhi, lakin nikimwambia apike mchana aniletee chakula inakuwa adhabu kubwa sana kwake. Kwahiyo mara nyingi naamua kula kwa mama ntilie tu.

Mwili wake ni mzito sana, hajui kujiongeza katika mambo mengi madogo madogo, kitu kinaweza kuwa kipo sehem sio yake lakini hawezi kunyanyuka akakiondoa mpaka umwambie, hawezi kuona meza ina vumbi au TV akachukua kitambaa akafuta.

Huyu mke wangu suala la kuamka kitandani saa mbili au tatu asubuh kwake ni la kawaida.

Mbaya zaidi, huyu mwanamke hajui kuonesha mapenzi. Navyojua mwanaume ukirud kutoka kwenye mihangaiko unatarajia upokelewe vizuri na mkeo, lakini yeye unakuta kakaa tu kwenye kiti, hakupi ile hali ya kujisikia kama umerudi nyumbani umemkuta mke.

Mbaya zaidi huyu mwanamke ni mvivu hata kwenye kufanya tendo la ndoa. Usipomkumbusha mwenyewe mnaweza kukaa hata wiki mbili na wakati mwingine nikihitaji anagoma mpaka nitumie ushawishi wa hali ya juu au nguvu. Lakini kwa hili siku hizi nimeamua kumpotezea, siombi kabisa, nkishashiba nalala zangu. Mpaka akili inaniambia nitafute mchepuko niwe najipoza kidogo.

Kama upo kwenye ndoa naomba mtazamo wako, maoni na ushauri kuhusu haya yanayonikuta kama mwanachama mwenzako kwenye chama hiki.
 
Heshima kwenu ndugu zangu.

Jambo likikukuta mshirikishe mwingine mwenye uzoefu, na mficha maradhi kifo humuumbua.

Naamini humu wapo wengi wenye ndoa na wazoefu wa changamoto mbali mbali,

Nimekaa nikatafakari sana nikaona bora nilete huku jambo langu hili ili nipate mawazo mapya.

Nimekuwa na changamoto kadhaa kwenye ndoa yangu, japo nimekuwa nikizichukulia poa lakin sasa naona ni wakati wa kuwa serious kidogo,

Ninaomba niorodheshe mambo kadhaa ambayo kwa upande wangu nayaona kama ni madhaifu ya mke wangu na niseme tu kuna baadhi nilishaongea nae lakin sijaona mabadiliko yoyote.

Mke wangu ana umri wa miaka 28 na mimi nina 33 na tumejaliwa watoto wawili mpaka sasa. Na mke wangu ni mama wa nyumbani (sio mfanyakazi).
Namshukuru Mungu mengi natimiza na hatujawahi kulala njaa.

Mke wangu ananishangaza kwa tabia ya uvivu aliyonayo,
Ni mvivu kufua nguo, tenga la nguo chafu linaweza kujaa na zaidi lakin nguo hazifuliwi mpaka umkumbushe. Na ukimkumbusha atafua lakin utakuta nusu zimebaki.

Mimi ninafanya shughuli zangu karibu sana na tunaposhi, lakin nikimwambia apike mchana aniletee chakula inakuwa adhabu kubwa sana kwake. Kwahiyo mara nyingi naamua kula kwa mama ntilie tu.

Mwili wake ni mzito sana, hajui kujiongeza katika mambo mengi madogo madogo, kitu kinaweza kuwa kipo sehem sio yake lakini hawezi kunyanyuka akakiondoa mpaka umwambie, hawezi kuona meza ina vumbi au TV akachukua kitambaa akafuta.

Huyu mke wangu suala la kuamka kitandani saa mbili au tatu asubuh kwake ni la kawaida.

Mbaya zaidi, huyu mwanamke hajui kuonesha mapenzi. Navyojua mwanaume ukirud kutoka kwenye mihangaiko unatarajia upokelewe vizuri na mkeo, lakini yeye unakuta kakaa tu kwenye kiti, hakupi ile hali ya kujisikia kama umerudi nyumbani umemkuta mke.

Mbaya zaidi huyu mwanamke ni mvivu hata kwenye kufanya tendo la ndoa. Usipomkumbusha mwenyewe mnaweza kukaa hata wiki mbili na wakati mwingine nikihitaji anagoma mpaka nitumie ushawishi wa hali ya juu au nguvu. Lakini kwa hili siku hizi nimeamua kumpotezea, siombi kabisa, nkishashiba nalala zangu. Mpaka akili inaniambia nitafute mchepuko niwe najipoza kidogo.

Kama upo kwenye ndoa naomba mtazamo wako, maoni na ushauri kuhusu haya yanayonikuta kama mwanachama mwenzako kwenye chama hiki.

Uliwahi kuona hizo tabia kabla hamjaoana?
Kilichokuvutia kumuoa awe mkeo na mama wa watoto wako ni kipi haswa?

Endelea kuvumilia na ujitahidi umuwekee wasaidizi, sidhani kama tabia zote hizo zimeibuka ghafla tuu maana vijana wa siku hizi mnaoa sura na chura
 
Na ya kufuta vumbi tv ipo pia?vipi ya kitandani? na kupanga siting room pia,na kutandika bedroom? ushauri huu wa under age.

Ni hiv,angalia trend,je hii ni tabia yake toka unamuoa? au ameanza karibuni?kama ni tabia yake toka zamani kabla ya kupata watoto hao wawili basi hiyo haiwezi badilika. Ila kama ni tabia mpya itabadilika ukizungumza naye kwa respect.usimfanye yeye kushinda home ndiyo hana cha kufanya.anza kutambua mchango wake kwenye familia kwa kukufulia nguo hata hizo chache,kulea watoto wenu,kukupikia,hata kama mchana hakuletei chakula huko ofisini kwenu,ila jioni unakutaga chakula ukirudi.hata tu kulinda nyumba yenu ni kazi kubwa.

Kifupi anza kutambua yale mazuri yake kwanza.ila kama unaishi na mke kama unaishi na mdada wa kazi,hata angekuwa mvumilivu vipi mwisho atachoka.

Labda nikwambie,kila ndoa unayoiona hapa duniani inachangamoto zake.Wako wanawake wanaofanya hayo uliyoyasema,ila pia ni wachepukaji,walevi,wachawi.wanachukia ndugu wa mme, so huwezi kuwa na mke mwenye sifa zote,yaaani in short hayupo,simply kwa sababu hakuna mwanadamu mkamilifu.

Naona umesema umefikiria kuwa na mchepuko,hilo ni bomu lingine bro. unaliandaa likulipue ufe.usijaribu hata kidogo.Ni bora uendelee kumkumbusha huyo mkeo hivyo hivyo kuhusu hilo suala la unyumba.

Tafuta tabia nzuri alizonazo na umpongeze na vifurahie.Ongea naye kwa heshima kama mke
Hope umeoa bro uko positive Sana nimependa!
 
Na ya kufuta vumbi tv ipo pia?vipi ya kitandani? na kupanga siting room pia,na kutandika bedroom? ushauri huu wa under age.

Ni hiv,angalia trend,je hii ni tabia yake toka unamuoa? au ameanza karibuni?kama ni tabia yake toka zamani kabla ya kupata watoto hao wawili basi hiyo haiwezi badilika. Ila kama ni tabia mpya itabadilika ukizungumza naye kwa respect.usimfanye yeye kushinda home ndiyo hana cha kufanya.anza kutambua mchango wake kwenye familia kwa kukufulia nguo hata hizo chache,kulea watoto wenu,kukupikia,hata kama mchana hakuletei chakula huko ofisini kwenu,ila jioni unakutaga chakula ukirudi.hata tu kulinda nyumba yenu ni kazi kubwa.

Kifupi anza kutambua yale mazuri yake kwanza.ila kama unaishi na mke kama unaishi na mdada wa kazi,hata angekuwa mvumilivu vipi mwisho atachoka.

Labda nikwambie,kila ndoa unayoiona hapa duniani inachangamoto zake.Wako wanawake wanaofanya hayo uliyoyasema,ila pia ni wachepukaji,walevi,wachawi.wanachukia ndugu wa mme, so huwezi kuwa na mke mwenye sifa zote,yaaani in short hayupo,simply kwa sababu hakuna mwanadamu mkamilifu.

Naona umesema umefikiria kuwa na mchepuko,hilo ni bomu lingine bro. unaliandaa likulipue ufe.usijaribu hata kidogo.Ni bora uendelee kumkumbusha huyo mkeo hivyo hivyo kuhusu hilo suala la unyumba.

Tafuta tabia nzuri alizonazo na umpongeze na vifurahie.Ongea naye kwa heshima kama mke

Amuwekee wasaidizi ataona usiku anabadilika... kazi za nyumbani nazo nyingi jameni☺☺☺☺
Haswa ukiwa na watoto wadogo
 
Daaa pole sana kwanza kuwa mvumilivu anza kumlekebisha taratibu
Usitafute mchepuko aisee mie namchepuko penz limenoga balaa mchepuko kabeba had mimba nashindwa kumuacha kiufupi ni kama vile na wake wawili tuuu mchepuko una wivu balaaa
Tulia bomu linakaribia kulipuka hilo anza kuandika wosia Mkuu! Kabla nyumba kuu hajakuzungu!!
 
Kiongozi pole Sana! Kuna kitu kimoja sisi wanaume huwa tunaambiwa/kufundishwa au ni mapokeo kutoka kwa wazee wetu kuhusu maisha ya ndoa au jinsi ya kuishi na mwanamke kwenye ndoa. Tumeshazoea au zoezwa kuwa kazi zote za ndani ni za mwanamke! Mfano tunategemea mwanamke akufulie nguo, apasi nguo nk. Sawa lkn ushawahi fanya hizi kazi ukiwa gheto? Wakati wa u bachelor? Ni time consuming halafu haviishi unazunguka tu hapo hapo mwisho wa siku unajikuta umechoooka!

Naanza na story yangu. Nikiwa na std 5 Mama yetu mlezi aliamua kutushirikisha watoto wote kazi za nyumbani. Watoto wa kiume tulikuwa wawili wa kike watatu. Kaka yangu alipewa kazi ya kufagia uwanja yeye alikuwa std 7 wakati ule. Mimi nikapewa jukumu la kuosha vyombo! Ikawa mchana ndo naifanya hiyo kazi. Wakati ule primary tunarudi nyumbani mchana kula halafu saa nane tunarudi tena shule. Huwezi amini nimeifanya kazi hiyo mpaka namaliza std 7. Kuna wakati nikiwa std 7 nilitamani Sana kuiachia lkn baba alikuwa haulizi mara mbili, hicho kibano ningekipata Cha maana. Nilipomaliza form six nikaja dar kwa Kaka mkubwa hajaoa na tulikuwa watatu, mie ndo mpishi na chores zote za jikoni. Happy napo miaka 2 huku napiga evening classes IFM. Hapa nilipata uzoefu mkubwa Sana Hawa Kaka zangu walinifundisha maujuzi ya mapishi ya haja.

Nilipooa nlijitahidi ku maintain Yale mapokeo ya mfumo dume, mwaka wa Kwanza haikuwa shida, tulipopata Mtoto ikawa shida Dada wa kazi hawakai, wanakimbia kukaa na Mtoto. Wife akawa anachoka Sana na yeye alikuwa housewife. Mwaka wa pili akawa ht kuniwekea chakula inakuwa shida, kufua ndo kabsaa ikawa Sasa nafadhaika nimeoa Nini tena? Kweli tulifarakana kwa issues ndogo ndogo tuu! Lkn Kuna siku nikiwa ofisini Kuna mtu alikuwa analalamika same issue, boss wetu alikuwa mmama mtu mzima akatuita akatuambia yeye akiwa Kama mwanamke na mke wa mtu hakuna kitu anafurahia km mmewe akimpikia chakula! Anasema mme wake siku za jpili huwa aningia jikoni na watoto wake wa kike wanatengeneza msosi mtamu kichizi.

Anasema huwa week yote yeye anawaza jpili tu, na akishakula anajikuta ana hamu na mmewe balaa hahh. Kilichotokea nikahamishia hilo zoezi home. Wife akashangaa nakusanya zana naanza mapishi, alishangaa Sana lkn nikamwambia km unachoka let me help kweli bana wiki mwezi ingawa sio kila siku nikaona ht kauli zake zinabadirika anaanza penda kampani yangu! Hasa jmosi akaomba niwe namtengenezea wali Nazi na roast ya kuku! Ikawa kila jmosi hao mabibo sokoni kwenda kununua mahitaji kitu ambacho mwanzoni hakikuwezekana. Baadae tukaanza kutoka jioni na Mtoto tunakaa sehemu tunapata mbuzi choma. Sasa hivi almost 14 yrs mpaka watu wanatuita mapacha maana huwa almost kila kitu utatukuta pamoja.

Kitu kingine mdau nnachokushauri jaribu kujua talent ya wife wako! Anaweza fanya Nini ili umpe nafasi huenda anaona hatimizi ndoto zake. Mimi niligundua wife anauwezo mkubwa wa kufanya connection za biashara kwenye kuuza/ kununua na ku bargain Bei. Nikitaka kununua kitu popote tunaenda wote halafu kazi inakuwa kwake. Yaani lzm tupate kwa Bei nzuri.

Halafu wanasema umeoa mke na si mfanyakazi wa kukuhudumia wewe! Sawa anawajibika kuwa kinara was hizo shughuli lkn huyo no mwenza wako kwa hizo kazi ndogo ndogo za nyumbani ikifika jioni anakuwa amechoka ht hamu na wewe hana tena, hasa ukichukulia ni kazi zinazojirudia rudia kila siku! Mwekee Dada wa kazi halafu jaribu kutafuta kutengeneza mradi utakaofanya muwe mnawasiliana mara kwa mara hence kuleta ukaribu na ari mpya kati yenu!

Yapo mengi lkn mwisho jaribu kuanza kidogo kidogo kuzitatua hizo kero mwenyewe km hajafuta vumbi chumbani wewe futa. Mimi mke wangu akishakula tu anasinzia hata kitanda hawezi tandika kwa hiyo Mimi hutandika najua huo ndo udhaifu wake, lkn mwambie akasimamie site mnajenga, au gari imeharibika ipo kwa fundi au Kuna crisis atafute polisi wa kusolve issue hapo utampenda! Chukulia hayo km ndiyo mapungufu yake Kiongozi!
Dah nimependa inatia moyo sana
 
Pamoja nakuwa mkeo anakauvivu fulani,lakini hata wewe unatakiwa umsaidie baadhi ya kazi.Kazi za ndani Ni nyingi na haziishi.Ukitaka kujua ugumu wa kazi za nyumbani huyo mke asafiri akuachie hao watoto hata wiki moja tu,ndo utajua mkeo anachoka kiasi gani.Nakushauri nguo zako fua mwenyewe na kupiga pasi.Vitu vidogovidogo vinavyokuhusu wewe fanya mwenyewe kwakufanya hivyo utakua umempunguzia kazi hivyo hata upendo kwako utaongezeka.
 
Haijalishi kazi za ntumbani kuchosha, pumzika amka hyo saa nne anayotaka kisha akiamka afante hizo kazi hata kwa four hrs then apumzike tena
Ukishakuwa na watoto tena wawili..sahau kupumzika. Kazi haziishi kiukweli, ukiingia huku mtoto kamwaga juice sijui maziwa ukitokea huku huyu kakupandia miguuni ukishtuka saa kumi na mbili hii hapa.[emoji1787][emoji1787]
 
Ukishakuwa na watoto tena wawili..sahau kupumzika. Kazi haziishi kiukweli, ukiingia huku mtoto kamwaga juice sijui maziwa ukitokea huku huyu kakupandia miguuni ukishtuka saa kumi na mbili hii hapa.[emoji1787][emoji1787]
Naelewa sana maana mm ni mama pia wa watoto wawili, lkn hii haiwi sababu ya ndani kua ovyo kupita kiasi. Imagine mume anasema hadi vumbi kwenye meza limejaa , huu sio uchafu wa siku moja. Kuna wakat watoto wanavuruga ndani haswa lkn mtu akiingia anaona kabisa hii nyumba hua inafanywa usafi ila vitu kukaa huku na kule ni vurugu za watoto. Kuna sehem ukienda ukikaribishwa ukae kweny kochi unatamani ueke kitambaa ndo ukae. Meza ukiandika jina linatokea vyema
 
Back
Top Bottom