Mke wangu hawezi kuandaa milo mitatu kwa wakati na hataki msaidizi wa ndani

Mke wangu hawezi kuandaa milo mitatu kwa wakati na hataki msaidizi wa ndani

Eeh!! Yaani ulivyokazania wanawake Wana madhaifu mengi sanaa. Kuna wakina sie, sipendi kupika, sipendi kula😂, maji ungeita mma. Kukataa msaidizi anajua huenda akasaidiwa na mengine kwahiyo Bora akomae na vile ashajua unaendelea kumvumilia , Kuna haja gani ya kubadilika ikiwa anaetaka nibadilike Hana athari kubwa na mimi!?. Hata mimi siwezi kubadilika kama mtu anaendelea kunivumilia.

Kuachana sio sahihi kisa kupika, lakini waweza tilia mkazo, hutaki kujifunza nakurejeshea home kwenu kwanza ukiwa tayari kujifunza utanambia, uone atakuwa radhi umpeleke kisa tu hataki kujifunza kupika!?. Kuna muda inabidi uweke pressure kiasi katika mabadiliko ya mtu. Ila kama umeamua kulibeba hivyo hvyo hawezi badilika.
Umenena vyema, kama tabia huipend unaweza kuitoa kwa mtu ukidhamiria kufanya hivyo. Nimeshuhudia watu waliobadilishwa kwa nguvu na wakaka kweny mstari........ni wengi
 
Umenena vyema, kama tabia huipend unaweza kuitoa kwa mtu ukidhamiria kufanya hivyo. Nimeshuhudia watu waliobadilishwa kwa nguvu na wakaka kweny mstari........ni wengi
Yeah ni kwamba yeye mwanaume ndo hajawa tayari kumbadilisha mkewe, akiwa tayari atabadilika.

Kuna wanawake ukishawadekeza sanaa inajenga tabia ya kujiamini huwezi kuchukua maamuzi magumu, sasa mtu wa hivi ukitaka kumbadilisha kwa maongezi pekee utafeli tu.
 
Hata wanaume mna mapungufu yenu, lkn hatusiti kuwavumilia. Mwisho wasiku kila mwamba ngoma atavutia kwake, sote tuna mapungufu. Ingawa kuna mengine unaweza mbadilisha mtu, kuna watu wanabadilishika ujue.

Ila upendo usitir wingi wa dhambi(mapungufu).
MKe kutojua kupika ni kosa kubwa sana, na litatia ufa hiyo ndoa.
 
Eeh!! Yaani ulivyokazania wanawake Wana madhaifu mengi sanaa. Kuna wakina sie, sipendi kupika, sipendi kula[emoji23], maji ungeita mma. Kukataa msaidizi anajua huenda akasaidiwa na mengine kwahiyo Bora akomae na vile ashajua unaendelea kumvumilia , Kuna haja gani ya kubadilika ikiwa anaetaka nibadilike Hana athari kubwa na mimi!?. Hata mimi siwezi kubadilika kama mtu anaendelea kunivumilia.

Kuachana sio sahihi kisa kupika, lakini waweza tilia mkazo, hutaki kujifunza nakurejeshea home kwenu kwanza ukiwa tayari kujifunza utanambia, uone atakuwa radhi umpeleke kisa tu hataki kujifunza kupika!?. Kuna muda inabidi uweke pressure kiasi katika mabadiliko ya mtu. Ila kama umeamua kulibeba hivyo hvyo hawezi badilika.
Mkuu sio kuamua kulibeba ila sina jinsi kila mbinu nimefanya labda kumtimua ndo last resort ndoa hiyo ili ni cost 27m pesa ambao sina kuwekexa kwenye ndoa tena.
 
Yeah ni kwamba yeye mwanaume ndo hajawa tayari kumbadilisha mkewe, akiwa tayari atabadilika.

Kuna wanawake ukishawadekeza sanaa inajenga tabia ya kujiamini huwezi kuchukua maamuzi magumu, sasa mtu wa hivi ukitaka kumbadilisha kwa maongezi pekee utafeli tu.
Mkuu bila kutumia maneno wataka tufanye je ili abadilike mtu wa miaka 30 kwasasa.
 
Mkuu bila kutumia maneno wataka tufanye je ili abadilike mtu wa miaka 30 kwasasa.
Si unaijua Ile sheria ya kujitenga na mke ( nimeisahau jina kidogo) , ushawahi kuijaribu!?.

Jitenge nae kwa muda, kuwa serious hakuna stori nae , kama hutaki kujifunza kuwa mpishi Mzuri basi haya ndo maisha tutayoishi, kama Kuna chumba kingine ndani ya nyuma hamia huko.

Kuna watu hata wakiwa na miaka 30 kama hauoneshi userious katika kile unachokitaka hawezi badilika. Hii inatokana na namna unavyokaa nae, pengine ndani ya miaka mlokaa hajawahi kuona hata ukikasirika au kufoka au kuwa serious, usitegemee mtu aliyezoea hivi akatii amri zako kwa maongezi tu.
 
Mkuu sio kuamua kulibeba ila sina jinsi kila mbinu nimefanya labda kumtimua ndo last resort ndoa hiyo ili ni cost 27m pesa ambao sina kuwekexa kwenye ndoa tena.
Weeee!! 27m kwa ndoa Moja!?. ni mkristo eehh , maana ndoa za kikristo ndo Huwa ghali hvyo.
 
Bro download ile nyimbo ya CHAMELEONE Acha kuliaaa shida za duniaaaa 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
 
Weeee!! 27m kwa ndoa Moja!?. ni mkristo eehh , maana ndoa za kikristo ndo Huwa ghali hvyo.
Hapana sio ya ki kuristo mkuu kuna zawadi tulizo toa kwa wazazi wake, na tukafanya sherehe mbili kwao na kwatu kuna watu hususani marafiki zangu wakuristo nilitaka kuwafurahisha kwasababu walichangia pia I didn't want to bore them so in short 27m zilikatika zaidi ya nusu ilikua mixhango na zawadi kutoka kwa marafiki ndugu na jamaa, ila hali ndo hiyo mke hawezi mapishi duh
 
Kuwa mvumilivu umfundishe taratibu kadiri umri unavyoongezeka mabadiriko utayaona.

Ukitaka changes za fasta fasta walahi utajikuta unajishauri vibaya na pengine kuanza kupoteza mwelekeo wa familia hata kama unakipato kizuri

Wewe ni Mwalimu wake mfundishe aanze kufanya unachokitaka.
 
Sasa na wewe hapo kama mwanaume una madhaifu makubwa tu. Hapo kelbu moja tu kesho yake chakula kinawahi.
Mwanamke kama huyo usimchekee ni mvivu tu na anawatesa watoto.

Ukiona habadiliki chukua mdada wa kazi muajiri wewe na mwambie marufuku kuondoka. Mwambie mkeo akimuondoa msichana wa kazi na yeye ataondoka au msichana wa kazi atabaki ataondoka yeye. Sometimes ubabe unahitajika.
 
Hapana sio ya ki kuristo mkuu kuna zawadi tulizo toa kwa wazazi wake, na tukafanya sherehe mbili kwao na kwatu kuna watu hususani marafiki zangu wakuristo nilitaka kuwafurahisha kwasababu walichangia pia I didn't want to bore them so in short 27m zilikatika zaidi ya nusu ilikua mixhango na zawadi kutoka kwa marafiki ndugu na jamaa, ila hali ndo hiyo mke hawezi mapishi duh
Aiseee!! Unasafari ndefu ya kufikia uponyaji😀
 
Na hapo anajiona anateseka sana,ukute mpaka anawaambia mashost zake,

Itakuwa hata kitandani napo hakajui,maana wanawake wengi waliomafundi jikoni hata kitandani wapo njema
 
Mkuu hiyo hatua nilisha wahi kuifanya kasingizia kwamba nina mpago na huyu msichana wa kazi kwanini namga'ngania kubaki nyumbani, siku moja sikumkuta na kamnyanganya simu, ninkikaza msimamo mkuu nikujiletea stress za bila kikomo kwasababu siko tayari kuoa kwa wakati hu nasiwezi kukaa mda mrefu bila mke kwa huduma zingine.
 
Hapana sio ya ki kuristo mkuu kuna zawadi tulizo toa kwa wazazi wake, na tukafanya sherehe mbili kwao na kwatu kuna watu hususani marafiki zangu wakuristo nilitaka kuwafurahisha kwasababu walichangia pia I didn't want to bore them so in short 27m zilikatika zaidi ya nusu ilikua mixhango na zawadi kutoka kwa marafiki ndugu na jamaa, ila hali ndo hiyo mke hawezi mapishi duh
Ila ww kaka unaimani, 27m kweli kuwekeza kwenye mambo meusi.

Tuwekeze kwenye ardhi jamn kila siku inapanda thamani, huku bunju b kuna maeneo yanauzwa mpk 600m wakat miaka hiyo watu walinunua kwa elfu 20. 🤣🤣
 
Mkuu hiyo hatua nilisha wahi kuifanya kasingizia kwamba nina mpago na huyu msichana wa kazi kwanini namga'ngania kubaki nyumbani, siku moja sikumkuta na kamnyanganya simu, ninkikaza msimamo mkuu nikujiletea stress za bila kikomo kwasababu siko tayari kuoa kwa wakati hu nasiwezi kukaa mda mrefu bila mke kwa huduma zingine.
Sasa naelewa kwann wanaume mnakufaga mapema, kuna muda matatzo ni kama mnajitafutia.

Nakusikitikia Mungu akupe maarifa na hekima uweze kufanya maamuzi sahihi kwa wakat sahihi.
 
ACHA HIYO NG'OMBE HARAKA SAANA, THEN NJOO INBOX NIKUUNGANISHE NA KABINT KABIIICHII KAKIZIGUA
 
Back
Top Bottom