Mke wangu hawezi kuandaa milo mitatu kwa wakati na hataki msaidizi wa ndani

Mke wangu hawezi kuandaa milo mitatu kwa wakati na hataki msaidizi wa ndani

Kula milo mitatu kwa siku ni hatari kwa afya
1000019226.jpg
 
Nakuambia mkuu hapa ni kuuziana mbuzi kwenye gunia, na ukimuacha ukapata mgine unaweza kupata mwenye udhaifu zaidi ya huo, wanawake wanaudhaifu mwingi sanaa.
Hahaha huo udhaifu uliugundua kabla au uliugundua baada ya kumuoa?

Kosa la sita
 
Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.

nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
He he he mnunulie vifaa vya jikoni.
 
Back
Top Bottom