Mademoiselle
JF-Expert Member
- Jul 11, 2022
- 704
- 2,842
We si unasemaga mama wa nyumbani ndo mke sahihi....pambana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa la nnemimi hata mlo moja unatosha tu.
Siwezi kumpiga chini kwasababu ya hilo tu unaweza ukapata bomb bure.Ulimchagua mwenyewe au uliletewa? Piga chini katafute mpishi
Hahaha huo udhaifu uliugundua kabla au uliugundua baada ya kumuoa?Nakuambia mkuu hapa ni kuuziana mbuzi kwenye gunia, na ukimuacha ukapata mgine unaweza kupata mwenye udhaifu zaidi ya huo, wanawake wanaudhaifu mwingi sanaa.
Kosa la TanoSiwezi kumpiga chini kwasababu ya hilo tu unaweza ukapata bomb bure.
Haya vumiliaSiwezi kumpiga chini kwasababu ya hilo tu unaweza ukapata bomb bure.
He he he mnunulie vifaa vya jikoni.Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.
nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
Hajui kupika Ugali anapiga Ugali wa mbwa unategemea nini hapo analisha nguruwe?Ndugu chukulia hilo ni pungufu la kibinadamu.
KIKUBWA KWENYE NDOA NI KUHESHIMIANA,KUFARIJIANA NA KUWA CHINI PINDI UNAPOONA UMEMKOSEA MWENZA WAKO.
Wewe unajua?Haya vumilia
Mke wanyumbani ni mtamu akiwa anajua kupika na kuanda chumba ukimlinganisha na hao ex soldiers wanao shikwa shikwa kazini.We si unasemaga mama wa nyumbani ndo mke sahihi....pambana
Kosa la 7We si unasemaga mama wa nyumbani ndo mke sahihi....pambana
Kosa la 8Mke wanyumbani ni mtamu akiwa anajua kupika na kuanda chumba ukimlinganisha na hao ex soldiers wanao shikwa shikwa kazini.
Mfundishe kwa kuonyesha mfanoMimi ndo bread winner nikiingia jikoni nani ataleta food on the table mkuu hapo tafakari pia.
Unataka watoto wafe na njaa?Kwa nini mnakula milo mitatu kwa siku mkiwa mmeshinda nyumbani??
Kosa la 9Mfundishe kwa kuonyesha mfano