Mke wangu hawezi kuandaa milo mitatu kwa wakati na hataki msaidizi wa ndani

Mke wangu hawezi kuandaa milo mitatu kwa wakati na hataki msaidizi wa ndani

Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.

nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
Tunapokwambia kataa ndoa, tunataka uepuke mambo kama hayo.
 
Watoto watakula mawe?
Watoto wanachemshiwa maziwa au uji wa lishe wanawakewa kwenye chupa wanakuwa wanakunywa kila watakaposikia njaa labda na mayai pia, au wanakula kiporo cha usiku.
 
Ukishinda nyumbani ule milo miwili tu,
Kula milo mitatu mikubwa ukiwa umeshinda nyumbani ni ulafi tu.
Mimi nakula miwili kila siku ila watoto wako under 10 ni lazima wale mitatu na evening tea.
 
Sisi kwetu ukerewe mwanamke kama huyo ni laana katika familia, inabidi uombewe utambikiwe mizimu ili utakaswe.

Nakumbuka zamani alikuja mgeni wa kike nyumbani akapika ugali mbichi, mzee alimnyuka makofi vibaya mno. ADABU KWENDA MBELE.

Poleni sana MABABA JUNIOR.

Wazee wa TIK TOK.
Ila mzee wako ustaarabu ulikuwa chini sana.
 
Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.

nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
Mfundishe mbona kazi ndogo sana hio. Ingia nae jikoni, kama mnapika wote vile atajifunza.
 
Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.

nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
Pole sana kaka, kwanza ana umri gan? Pia anajishughulisha na Nini? Hilo suala linaboa sana umenikumbusha kipind flan tulienda Kwa in-law wetu chai ni sa5,6 na hajistukii, ndo lifestyle ndo mana cpend kufikia Kwa mtu labda iwe haiepukik lodg zmejaa
 
Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.

nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
Hawa wanajua kuolewa ni kuchakatana tu

Ndo muache kuolea Nyege, kabla hujamuoa alikua haji gheto ukamsoma hizo tabia zake?
 
Kwenye masuala ya ndoa hakuna aliyekamilika mvumilie kwa Hilo maana yamkini na yeye anavumilia baadhi ya madhaifu yako.
Mkuu nimeamua kuvumilia hayo sina jinsi, kwasababu ni gharama kupata mgine kwasasa.
 
Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.

nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
Umepata mke mzuri anaehitaji marekebisho kidogo.

1:Ni dhahiri mke wako yupo hivyo kutokana na malezi yake aliyopewa na wazazi wake.

2: Mfundishe taratibu aina ya maisha unayotaka wewe na unaweza kumleta ndugu yako wewe wa kike aje amuelekeze au mpeleke chuoni akajifunze mapishi na usafi, japo hukuzungumzia swala la usafi hasa wa nyumba lakini hayo ni matatizo yanayoendana.

3: Naamini sio mvivu ila tatizo hajui namna ya kutenda analopasa kulitenda ndio maana unamuona anazungukazunguka tu.
 
Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.

nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
1736676455731.png
...WINARYO BE!
 
Back
Top Bottom