zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Watoto watakula mawe?Ukishinda nyumbani ule milo miwili tu,
Kula milo mitatu mikubwa ukiwa umeshinda nyumbani ni ulafi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto watakula mawe?Ukishinda nyumbani ule milo miwili tu,
Kula milo mitatu mikubwa ukiwa umeshinda nyumbani ni ulafi tu.
Chaguo lako...pambanaMke wanyumbani ni mtamu akiwa anajua kupika na kuanda chumba ukimlinganisha na hao ex soldiers wanao shikwa shikwa kazini.
Kosa la 10labda ukae nae chini umueleweshe vizuri
muulize kama hawezi kupika na hataki msaidizi ana mpango gani?
Vifaa vya jikoni kama vifaa gani mkuu? Mbona jiko langu liko vizuri.He he he mnunulie vifaa vya jikoni.
Tunapokwambia kataa ndoa, tunataka uepuke mambo kama hayo.Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.
nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
Sihitaji kujua. Tunakula restaurant.Wewe unajua?
Watoto wanachemshiwa maziwa au uji wa lishe wanawakewa kwenye chupa wanakuwa wanakunywa kila watakaposikia njaa labda na mayai pia, au wanakula kiporo cha usiku.Watoto watakula mawe?
Nilisha fanya hivo mara kadhaa inaishia kunisifia jinsi navo jua kupika chakula kitamu tu, ila hajifunzi chochote ukumuachiaMfundishe kwa kuonyesha mfano
Mimi nakula miwili kila siku ila watoto wako under 10 ni lazima wale mitatu na evening tea.Ukishinda nyumbani ule milo miwili tu,
Kula milo mitatu mikubwa ukiwa umeshinda nyumbani ni ulafi tu.
Ila mzee wako ustaarabu ulikuwa chini sana.Sisi kwetu ukerewe mwanamke kama huyo ni laana katika familia, inabidi uombewe utambikiwe mizimu ili utakaswe.
Nakumbuka zamani alikuja mgeni wa kike nyumbani akapika ugali mbichi, mzee alimnyuka makofi vibaya mno. ADABU KWENDA MBELE.
Poleni sana MABABA JUNIOR.
Wazee wa TIK TOK.
Mfundishe mbona kazi ndogo sana hio. Ingia nae jikoni, kama mnapika wote vile atajifunza.Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.
nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
Pole sana kaka, kwanza ana umri gan? Pia anajishughulisha na Nini? Hilo suala linaboa sana umenikumbusha kipind flan tulienda Kwa in-law wetu chai ni sa5,6 na hajistukii, ndo lifestyle ndo mana cpend kufikia Kwa mtu labda iwe haiepukik lodg zmejaaHao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.
nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
Hawa wanajua kuolewa ni kuchakatana tuHao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.
nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
Wanatakiwa kula milo mingapu mkuu? Mitano?Kwa nini mnakula milo mitatu kwa siku mkiwa mmeshinda nyumbani??
Mkuu nimeamua kuvumilia hayo sina jinsi, kwasababu ni gharama kupata mgine kwasasa.Kwenye masuala ya ndoa hakuna aliyekamilika mvumilie kwa Hilo maana yamkini na yeye anavumilia baadhi ya madhaifu yako.
Umepata mke mzuri anaehitaji marekebisho kidogo.Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.
nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
Hii ndio point yenyewe mwanawaneMke uta oa mpaka lini wote wana mapungufu mbali mbali huwezi kupata angalau mwenye ukamilivu wa 70% asikundaganye mtu wanawake wana udhaifu mwingi kiliko wanaumme.
Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.
nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!