- Thread starter
- #81
Mbona kawaida mimi sio muumini wa kuzini ndo nifunge ndoa huyu mwanamke nilimkuta bikra mkuu.Hii inawezekanaje ufunge ndoa na mtu usiyejua tabia yake mmmh [emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kawaida mimi sio muumini wa kuzini ndo nifunge ndoa huyu mwanamke nilimkuta bikra mkuu.Hii inawezekanaje ufunge ndoa na mtu usiyejua tabia yake mmmh [emoji848]
eMisango ikomeye mjini khunu Wasu…..😅Sisi kwetu ukerewe mwanamke kama huyo ni laana katika familia, inabidi uombewe utambikiwe mizimu ili utakaswe.
Nakumbuka zamani alikuja mgeni wa kike nyumbani akapika ugali mbichi, mzee alimnyuka makofi vibaya mno. ADABU KWENDA MBELE.
Poleni sana MABABA JUNIOR.
Wazee wa TIK TOK.
Ana gari afu ajui kuendesha?Ni wa 1995 msomi kiasi hajawahi kuishi nje ya mjini hajui kuendesha gari japo analo ni mvivu
🤣🤣🤣Aisee🙌ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya,
Msiwege mnaoaHao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.
nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
Ndiyo kauli zake sikuzoteWe si unasemaga mama wa nyumbani ndo mke sahihi....pambana
Hataki msichana wa kazi nilishawahi kuleta narudi amesha watomua na kuwalipa pesa zao za usumbufuTafuta mfanyakazi pisi kali zaidi yake mlete alafu Ili asiondoke huyo mfanyakazi mlipe hela zaidi ya wanaopokea wafanyakazi wa kawaida... Baada ya wiki utaona anajua kupika mke
MiwiliWanatakiwa kula milo mingapu mkuu? Mitano?
Kula ulichipikiwa na mpenzi wako uliyemchagua mwenyewe. Unalalamika nini?Yaan mimi na kengele zangu nimesimamisha muwa nakusongea wewe ugali?
Kumjua mtu sio lazma mzini kuna namna ya kufahamiana mambo madogo madogo Kam hayo ya kupika nkMbona kawaida mimi sio muumini wa kuzini ndo nifunge ndoa huyu mwanamke nilimkuta bikra mkuu.
Ni kweli mke wanyumbani ni mtaamu akiwa anajua kupika na kufanya usafi wa chumbani huo ndo msimamo wangu.Ndiyo kauli zake sikuzote
Alisahau kuwa mapenzi hayana formula
Kama panadol kutwa × 3Kwa nini mnakula milo mitatu kwa siku mkiwa mmeshinda nyumbani??
Sasa Demi kweli wewe unakubari kabisa mimi namesimamisha muwa napika ugali na wewe upo kweli?Kula ulichipikiwa na mpenzi wako uliyemchagua mwenyewe. Unalalamika nini?
Mkuu mapishi mengine kama chips, pilao, chapati nyama maharage anajua, ila ugali ndo kasheshe.Kumjua mtu sio lazma mzini kuna namna ya kufahamiana mambo madogo madogo Kam hayo ya kupika nk
Naomba nije kumfundisha kusonga ugali na kuosha Mwiko 😅 (natania)Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.
nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
Au nikuletee MFUNDAMAHALA wa kizaramo ampe training ya masaa tu ili akae sawaHao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.
nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!