Mke wangu hawezi kuandaa milo mitatu kwa wakati na hataki msaidizi wa ndani

Mke wangu hawezi kuandaa milo mitatu kwa wakati na hataki msaidizi wa ndani

Muelekeze, suala la kupiga ugali ni kujifunza tu ndani ya siku au mwez mtu anaweza,
Usigombane na mtu kisa mapishi, ni simple kuyarekebisha
 
Kama ana watoto wadogo watatu kazi zitakua zinamzidia. Nashangaa kwanini hatak mtu wa kumsaidia hapo.
Kwani wote walikuja kwa mwaka mmoja mkuu? Tabia zake ni zile zile hata wakati hajapata mtoto hata moja, mandalizi ya nyumbani yalikua kipengere kwake.
 
Sasa ba mdogo nshasoma nyuzi zako kadhaa hapa jukwaani!

Sasa ba mdogo umesema anajua kupika vyakula vingine kasoro ugali.....

Mkeo ni mtu wa Tanga ama manyara ndo wanakula ugali mlaini kama uji,

Sipend kushauri.....

Lakini kama anapika ugali wa uji emu mwambie aache maji yachemke asonge ugali wake uone, hata wa uji unakuwa mgumu au mlaaini kutokana na kiasi Cha unga.....

Ba mdogo ugali wa kiumeni lazima uwe mgumu kiasi Ila sio tepetepe......

Aseeh mwanamke asiejua kupika kwangu anakosa sifa...... Mwanamke acheze na jiko atoe maakuli safi masotojo tuu......

Miaka saba plus hajui kusonga ugali ? Hebu mtie vibao viwili usipoona changes hapo......

Aache masihara
 
Sasa ba mdogo nshasoma nyuzi zako kadhaa hapa jukwaani!

Sasa ba mdogo umesema anajua kupika vyakula vingine kasoro ugali.....

Mkeo ni mtu wa Tanga ama manyara ndo wanakula ugali mlaini kama uji,

Sipend kushauri.....

Lakini kama anapika ugali wa uji emu mwambie aache maji yachemke asonge ugali wake uone, hata wa uji unakuwa mgumu au mlaaini kutokana na kiasi Cha unga.....

Ba mdogo ugali wa kiumeni lazima uwe mgumu kiasi Ila sio tepetepe......

Aseeh mwanamke asiejua kupika kwangu anakosa sifa...... Mwanamke acheze na jiko atoe maakuli safi masotojo tuu......

Miaka saba plus hajui kusonga ugali ? Hebu mtie vibao viwili usipoona changes hapo......

Aache masihara
Ni kweli unajua kupika vyakula vingi kasoro ugali, ila tatizo kubwa anachukua mda mrefu kuanda hivyo vyakula imagine breakfast saa sita lunch saa 11, hata kama anajua kuvupika ila anachelewesha sanaa bila sababu za msingi.
 
Ni kweli unajua kupika vyakula vingi kasoro ugali, ila tatizo kubwa anachukua mda mrefu kuanda hivyo vyakula imagine breakfast saa sita lunch saa 11, hata kama anajua kuvupika ila anachelewesha sanaa bila sababu za msingi.
Anaa mkono mzitoo........ Plus kujivuta

Mpeleke mazoezi achangamke changamke
 
Si ni hao wa English medium ?
Mfundishe
Twende mbele turudi nyuma, hakuna kitu kinaudhi kama mwanaume uoe mwanamke kwa sheria na taratibu zote za kimila na kidini, halafu tena uje uanze kumfundisha KUPIKA! Aaargh.
 
Mmh!! mzoezi tena hapana, I think she is just negative abt domestic chores.
Basi kupika apike mapema aseeh akiwa na wageni si utakodi mama lishe.....

Mwambie mam'dogo ajitahidi bhn tukija home tukutane na sotojo na ugali mgumu 😂👊
 
Kwani wote walikuja kwa mwaka mmoja mkuu? Tabia zake ni zile zile hata wakati hajapata mtoto hata moja, mandalizi ya nyumbani yalikua kipengere kwake.
Kwni kipindi mnafanya uchumba hiyo tabia ya uvivu hukuiona.?
 
Twende mbele turudi nyuma, hakuna kitu kinaudhi kama mwanaume uoe mwanamke kwa sheria na taratibu zote za kimila na kidini, halafu tena uje uanze kumfundisha KUPIKA! Aaargh.
Umenigusa katika andiko lako, ndoa kubwa sherehe kubwa, ila mke hawezi kuanda chakula kwa wakati loh! Inauma sanaa eti nimfundishe tena mimi.
 
Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.

nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
uliletewa
 
Ugali pia sio chakula muhimu sana kujua kupika, matajiri wengi hawali ugali.
 
Back
Top Bottom