Mke wangu hawezi kuandaa milo mitatu kwa wakati na hataki msaidizi wa ndani

Mke wangu hawezi kuandaa milo mitatu kwa wakati na hataki msaidizi wa ndani

Nilisha mpeleka sehemu akae na familia kubwa ajifunze mengi ila sikupata matokeo chanya mkuu, huyu ni kumvumilia tu sitegemee jipya hata kulima kwenye mazingira ya nyumbani hawezi mpaka tipate kibarua.
Mkuu uvumilivu unahitajika,,,sifahamu umemuoa akiwa na umri gani na mmeishi nae kwa muda gani ,lakini uhakika nilionao kutokana na maelezo yako ni kwamba miaka uliyoishi nae ni michache kuliko aliyoishi kwao,,,hawezi kubadilika kwa haraka kama unavyotaka wewe.
 
Kama hafanyi kazi yoyote mpelekee shule ya mapishi, akigoma mletee msaidizi , akigoma mrudishe kwao akajifunze kupika, akigoma mpige chini. Wanawake wako wengi sana tena watalaam wa jiko.

Swali la kizushi nini kinakuvutia zaidi kutoka kwake, kinachokufanya uvumilie mapungufu yake!
Kutokua na wakika kwa mke ntakae pata mgine unanifanya niwe na mvumilia na lapili mimi siwezi kuishi bila mke hata mwezi moja tu.
 
Mkuu uvumilivu unahitajika,,,sifahamu umemuoa akiwa na umri gani na mmeishi nae kwa muda gani ,lakini uhakika nilionao kutokana na maelezo yako ni kwamba miaka uliyoishi nae ni michache kuliko aliyoishi kwao,,,hawezi kubadilika kwa haraka kama unavyotaka wewe.
Kwahiyo nisubiri atabadilika akiwa amezeeka tayari tumekaa nae zaidi ya miaka 7 sioni mabadiliko yoyote kuhusu hilo.
 
Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.

nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
Kama hachepuki huyo ndio mke material, saidia kupika siyo mbaya.
 
Kwahiyo nisubiri atabadilika akiwa amezeeka tayari tumekaa nae zaidi ya miaka 7 sioni mabadiliko yoyote kuhusu hilo.
Kama umekaa miaka 7 umekubali mapungufu yake. Au umepata michepuko?
 
Mimi ndo bread winner nikiingia jikoni nani ataleta food on the table mkuu hapo tafakari pia.
Tenga muda siku za weekend uwe unamfundisha kimoja kimoja kwa vitendo.
 
Kwa kuwa umethubutu kuleta hii aibu hapa wacha nikuchane,,,,



Mkuu wewe ni mkuu wa kaya, kiongozi ! Kila nyumba ina sheria na tamaduni zake! Jitengenee sheria zako jinsi unataka family 👪 yako isonge.,,

Weka sheria mida flan mwisho chai iwe mezan., lunch na dinner viyvo hivo,,, ! Usipelekeshwe, wanawake wameumbwa kuongozwa, ni kama watoto,,, weka sheria azifuate, mwanzo ataona shida lakini atazoea ! Au umeoa zile type zinashindia madela na vindala vyenye manyoya? Be gentle
 
Ndiyo wa ndoa tulikua hatujawahi kuishi pamoja hata siku moja tulikua tunakutana mchana tu, ilikua sio rajisi kugundua udhaifu wake huo.
Hayo mambo ndio yalifanya nikapiga chini toto la watu eti tukitaka kuonana mpaka tuwe na mtu wa kutusimamia ili tusiingie zambini
 
Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.

nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
Pole sana Tafuta suluhisho mapema maana usipoziba ufa ,utajenga ukuta...Kuna siku watakuja wageni wa JF ww haupo vituko kama hivo vitatokea
 
Hao wanawake wana mapungufu mengi hususani hao tunao oa kutoka familia za mijini za middle class wana mapungufu mengi sanaa ila tuna puuzia ili mradi kama haja anza kuchepuka unamvumilia kuna udhaifu usio vunjisha ndoa, wanaume tuna pambana na mengi kwenye ndoa.

nime mjaribisha hi ni weekend ya nne na shinda nyumbani bila kutoka kila kitu kipo tuna tumia gesi na mkaa kupika ila breakfast tunaipata saa 6 Lunch saa 11 za jioni, ana zungukazunguka ndani tu hatauelewe anacho fanya, hapo nime qmsaidia kazi zingine za usafi, usiku namuabia ache tu tunywe juisi tu kwasababu najua tutakula saa 6 kesho yake hiyo. Ila la kushangaa zaidi hawezi kusonga ugali unakua tepe tepe duh!!!
Pambana jomba. Huyo ndo chaguo lako. Jaribio lolote la kutaka kumwacha litakuwa sio la uzalendo.
 
Ulimchagua mwenyewe au uliletewa? Piga chini katafute mpishi
Ampeleke kozi fupi ya mapishi VETA. Tena aongee na mwalimu wa VETA msisitizo uwe kwenye kupika ugali. Practical apelekwe shule ya bweni iliyo jirani.
 
Tenga muda siku za weekend uwe unamfundisha kimoja kimoja kwa vitendo.
Mkuu nilishafanya hilo mara mbili nika muambia mimi na wanangu ndo tutakua wapishi kwa siku tatu na kwa kwli tulikua tnaanda chakula kwa wakati bila kuchelewa, juice matunda mboga vyote kwenye dining kwa wakati, nikadhani kajifunza, kumbe wapi
 
Mkuu naomba kufahamu ukubwa wa nyumba na pia kama mpo wenyewe tu au mna watoto..?
 
Ampeleke kozi fupi ya mapishi VETA. Tena aongee na mwalimu wa VETA msisitizo uwe kwenye kupika ugali. Practical apelekwe shule ya bweni iliyo jirani.
Bora wewe umepata akili hiyo. Sasa hili furushi limekuja kulalamika hapa. Yaani hajapata solution yoyote yeye binafsi zaidi ya kutaka msichana wa kazi.
 
Kwa kuwa umethubutu kuleta hii aibu hapa wacha nikuchane,,,,



Mkuu wewe ni mkuu wa kaya, kiongozi ! Kila nyumba ina sheria na tamaduni zake! Jitengenee sheria zako jinsi unataka family [emoji128] yako isonge.,,

Weka sheria mida flan mwisho chai iwe mezan., lunch na dinner viyvo hivo,,, ! Usipelekeshwe, wanawake wameumbwa kuongozwa, ni kama watoto,,, weka sheria azifuate, mwanzo ataona shida lakini atazoea ! Au umeoa zile type zinashindia madela na vindala vyenye manyoya? Be gentle
Mkuu labda hilo unahitaji vita nyumbani hizo kanuni zinavunjwa siku ya kwanza kabisa na huna lakumfunya kabisa labda kama unaanza kumpiga utakua kituko kwa majirani.
 
Back
Top Bottom