Mke wangu kaenda kuolewa na pesa zangu

baya likuepukalo lina heri na wewe Kwa kua hukumpa talaka andika sasa talaka ipeleke kwao endelea na maisha mengine
 
😂😂😂😂😂😂 bhana sio wote wako hivyo
 
Nipe inbox namba ya huyo dada yake na sisi tukusaidie kumvurugaaa
Hii hadithi haina muendelezo yaani mke wako anaenda kuwa mke wa mwanaume mwingine,(kuolewa), halafu inaishia hivyo hivyo, wapi mshenga, wajomba na marafiki wa karibu wa upande wa mwanaume
 
Achana naye uanze upya.. Hi akirudi akukute msupa zaidi .. Usiishi kwa stress ukaharibu afya na future yako atajisifu sana
 
Hapo aliposema mtoto akalelewe na baba yake ndo pa kupachunguza, ukishathibitisha mtoto si wako achana nae otherwise nenda ustawi aitwe mahakamani ili mume mpya nae aelewe kinachoendelea maana usikute naye anajua alimpaga mimba na pengine matumizi alikuwa anamtumia.
 
Pole sana kwa hayo maumivu unayopata,jaribu kusahau na upambane upate mwanamke mwingine uoe.
 
Pole San Kwa yaliokukuta,ila jaribu kutulia na ulielewe tatiz af ulitafutie solution mkuu"UBAYA UBWELA"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…