Mke wangu kaenda kuolewa na pesa zangu

Mke wangu kaenda kuolewa na pesa zangu

.

Wakuu nilikuwa naishi na huyu mke wangu, ilikuwa imetimia miaka 4 tayari, kwao walikuwa wananijua na kwetu wanamjua vizuri, alivyo maliza kulea mtoto mwaka juzi tukashauriana ajifunze masuala ya saluni Ili badaye nije nimfungulie duka la vipodozi na saluni hapo hapo Kwa maana Mimi ni fundi gereji.

Mwezi wa 12 mwaka Jana alimaliza kujifunza masuala ya saluni akawa ameshajua Kila kitu, tukashauriana mwezi wa tatu mwaka huu aende Kwa dada yake sumbawanga Ili anunue mahindi Ili tuje tuyauze mwezi wa 11 mwaka huu Ili tufungue Biashara yetu ya saluni na duka, nilimpa milioni mbili na laki 6, na gunia Moja kule ilikuwa ni elfu 25 kipindi kile hivyo nikajua tutanunua gunia nyingi halafu tukija kuuza hata Kwa elfu 70 tutapata Hela nyingi.

Alivyo fika kule tuliwasiliana kama wiki Moja tu wiki ya pili akawa hapatikani, nikawa nampigia dada yake akawa ananiambia eti mke wangu kaenda kijiji Cha mbali kununua mahindi na kule mtandao haupo, hali iliendelea hivyo hivyo ikafikia hatua dada mtu akawa hapokei simu zangu na mwisho wa siku naye akawa hapatikani.

Hali ilivyo endelea hivyo ikabidi nimtafute kaka yake, kaka yake naye akamtafuta mama Yao akamueleza, kaka yake ndo akaja kunipa taarifa eti mke wangu aliolewa mbeya na nilimpa talaka na nilikuwa nampiga sana Kwa kumtuhumu yule mtoto siyo wangu, nilichoka sana dada yangu, Mimi yule mwanamke sijawahi hata kumgusa hata Kwa Kofi la bahati mbaya na yule mtoto nilikuwa na uhakika asilimia mia ni wangu,na kibaya zaidi aliwaambia mtoto yule siyo wakwangu eti kaona Bora mtoto akalelewe na baba yake,

Mpaka muda huu hakuna hata ndugu yangu anaye jua Hali hii ninayo pitia Kwa Sasa na naona hata aibu kumweleza mtu, bado nahisi ni ndoto mpaka muda huu japo imepita miezi mitano.
Wewe ni muislam? Mkitoa talaka kuna ushahidi wa maandishi?
 
.

Wakuu nilikuwa naishi na huyu mke wangu, ilikuwa imetimia miaka 4 tayari, kwao walikuwa wananijua na kwetu wanamjua vizuri, alivyo maliza kulea mtoto mwaka juzi tukashauriana ajifunze masuala ya saluni Ili badaye nije nimfungulie duka la vipodozi na saluni hapo hapo Kwa maana Mimi ni fundi gereji.

Mwezi wa 12 mwaka Jana alimaliza kujifunza masuala ya saluni akawa ameshajua Kila kitu, tukashauriana mwezi wa tatu mwaka huu aende Kwa dada yake sumbawanga Ili anunue mahindi Ili tuje tuyauze mwezi wa 11 mwaka huu Ili tufungue Biashara yetu ya saluni na duka, nilimpa milioni mbili na laki 6, na gunia Moja kule ilikuwa ni elfu 25 kipindi kile hivyo nikajua tutanunua gunia nyingi halafu tukija kuuza hata Kwa elfu 70 tutapata Hela nyingi.

Alivyo fika kule tuliwasiliana kama wiki Moja tu wiki ya pili akawa hapatikani, nikawa nampigia dada yake akawa ananiambia eti mke wangu kaenda kijiji Cha mbali kununua mahindi na kule mtandao haupo, hali iliendelea hivyo hivyo ikafikia hatua dada mtu akawa hapokei simu zangu na mwisho wa siku naye akawa hapatikani.

Hali ilivyo endelea hivyo ikabidi nimtafute kaka yake, kaka yake naye akamtafuta mama Yao akamueleza, kaka yake ndo akaja kunipa taarifa eti mke wangu aliolewa mbeya na nilimpa talaka na nilikuwa nampiga sana Kwa kumtuhumu yule mtoto siyo wangu, nilichoka sana dada yangu, Mimi yule mwanamke sijawahi hata kumgusa hata Kwa Kofi la bahati mbaya na yule mtoto nilikuwa na uhakika asilimia mia ni wangu,na kibaya zaidi aliwaambia mtoto yule siyo wakwangu eti kaona Bora mtoto akalelewe na baba yake,

Mpaka muda huu hakuna hata ndugu yangu anaye jua Hali hii ninayo pitia Kwa Sasa na naona hata aibu kumweleza mtu, bado nahisi ni ndoto mpaka muda huu japo imepita miezi mitanok

.

Wakuu nilikuwa naishi na huyu mke wangu, ilikuwa imetimia miaka 4 tayari, kwao walikuwa wananijua na kwetu wanamjua vizuri, alivyo maliza kulea mtoto mwaka juzi tukashauriana ajifunze masuala ya saluni Ili badaye nije nimfungulie duka la vipodozi na saluni hapo hapo Kwa maana Mimi ni fundi gereji.

Mwezi wa 12 mwaka Jana alimaliza kujifunza masuala ya saluni akawa ameshajua Kila kitu, tukashauriana mwezi wa tatu mwaka huu aende Kwa dada yake sumbawanga Ili anunue mahindi Ili tuje tuyauze mwezi wa 11 mwaka huu Ili tufungue Biashara yetu ya saluni na duka, nilimpa milioni mbili na laki 6, na gunia Moja kule ilikuwa ni elfu 25 kipindi kile hivyo nikajua tutanunua gunia nyingi halafu tukija kuuza hata Kwa elfu 70 tutapata Hela nyingi.

Alivyo fika kule tuliwasiliana kama wiki Moja tu wiki ya pili akawa hapatikani, nikawa nampigia dada yake akawa ananiambia eti mke wangu kaenda kijiji Cha mbali kununua mahindi na kule mtandao haupo, hali iliendelea hivyo hivyo ikafikia hatua dada mtu akawa hapokei simu zangu na mwisho wa siku naye akawa hapatikani.

Hali ilivyo endelea hivyo ikabidi nimtafute kaka yake, kaka yake naye akamtafuta mama Yao akamueleza, kaka yake ndo akaja kunipa taarifa eti mke wangu aliolewa mbeya na nilimpa talaka na nilikuwa nampiga sana Kwa kumtuhumu yule mtoto siyo wangu, nilichoka sana dada yangu, Mimi yule mwanamke sijawahi hata kumgusa hata Kwa Kofi la bahati mbaya na yule mtoto nilikuwa na uhakika asilimia mia ni wangu,na kibaya zaidi aliwaambia mtoto yule siyo wakwangu eti kaona Bora mtoto akalelewe na baba yake,

Mpaka muda huu hakuna hata ndugu yangu anaye jua Hali hii ninayo pitia Kwa Sasa na naona hata aibu kumweleza mtu, bado nahisi ni ndoto mpaka muda huu japo imepita miezi mitano.
Wiki hii ni ya nenda kwa usalama,wanawake sio nduguzo vuta mwingine mwenye ujuzi wa saloon kabisa,Yuko huko mbeya katumia pesa yako kufungua saloon yake,mtu mwenye laana habadiriki.Na hili liwe fundisho kuto waamini Hawa viumbe,mijitu yenyewe akiwa na pesa katiri akikosa anafungua mapaja ili umuamini,shit.
 
.

Wakuu nilikuwa naishi na huyu mke wangu, ilikuwa imetimia miaka 4 tayari, kwao walikuwa wananijua na kwetu wanamjua vizuri, alivyo maliza kulea mtoto mwaka juzi tukashauriana ajifunze masuala ya saluni Ili badaye nije nimfungulie duka la vipodozi na saluni hapo hapo Kwa maana Mimi ni fundi gereji.

Mwezi wa 12 mwaka Jana alimaliza kujifunza masuala ya saluni akawa ameshajua Kila kitu, tukashauriana mwezi wa tatu mwaka huu aende Kwa dada yake sumbawanga Ili anunue mahindi Ili tuje tuyauze mwezi wa 11 mwaka huu Ili tufungue Biashara yetu ya saluni na duka, nilimpa milioni mbili na laki 6, na gunia Moja kule ilikuwa ni elfu 25 kipindi kile hivyo nikajua tutanunua gunia nyingi halafu tukija kuuza hata Kwa elfu 70 tutapata Hela nyingi.

Alivyo fika kule tuliwasiliana kama wiki Moja tu wiki ya pili akawa hapatikani, nikawa nampigia dada yake akawa ananiambia eti mke wangu kaenda kijiji Cha mbali kununua mahindi na kule mtandao haupo, hali iliendelea hivyo hivyo ikafikia hatua dada mtu akawa hapokei simu zangu na mwisho wa siku naye akawa hapatikani.

Hali ilivyo endelea hivyo ikabidi nimtafute kaka yake, kaka yake naye akamtafuta mama Yao akamueleza, kaka yake ndo akaja kunipa taarifa eti mke wangu aliolewa mbeya na nilimpa talaka na nilikuwa nampiga sana Kwa kumtuhumu yule mtoto siyo wangu, nilichoka sana dada yangu, Mimi yule mwanamke sijawahi hata kumgusa hata Kwa Kofi la bahati mbaya na yule mtoto nilikuwa na uhakika asilimia mia ni wangu,na kibaya zaidi aliwaambia mtoto yule siyo wakwangu eti kaona Bora mtoto akalelewe na baba yake,

Mpaka muda huu hakuna hata ndugu yangu anaye jua Hali hii ninayo pitia Kwa Sasa na naona hata aibu kumweleza mtu, bado nahisi ni ndoto mpaka muda huu japo imepita miezi mitano.
Au ulimla tigo nini Mzee daddy!!
 
Mtoto wako je inakuaje?
Mlioana rasmi au mlikuwa mnaishi pamoja?
Kama mlioana rasmi, bila shaka Kuna taratibu za kuvunja ndoa.
Sio mtu anajiondokea tu.

Fanya kazi, kusanya hela, kadai haki zako.
Apoteze muda na FEDHA kumfuatilia huyo mbuzi!!?..aendelee na maisha yake,vitumbua vingi sana mjini
 
.

Wakuu nilikuwa naishi na huyu mke wangu, ilikuwa imetimia miaka 4 tayari, kwao walikuwa wananijua na kwetu wanamjua vizuri, alivyo maliza kulea mtoto mwaka juzi tukashauriana ajifunze masuala ya saluni Ili badaye nije nimfungulie duka la vipodozi na saluni hapo hapo Kwa maana Mimi ni fundi gereji.

Mwezi wa 12 mwaka Jana alimaliza kujifunza masuala ya saluni akawa ameshajua Kila kitu, tukashauriana mwezi wa tatu mwaka huu aende Kwa dada yake sumbawanga Ili anunue mahindi Ili tuje tuyauze mwezi wa 11 mwaka huu Ili tufungue Biashara yetu ya saluni na duka, nilimpa milioni mbili na laki 6, na gunia Moja kule ilikuwa ni elfu 25 kipindi kile hivyo nikajua tutanunua gunia nyingi halafu tukija kuuza hata Kwa elfu 70 tutapata Hela nyingi.

Alivyo fika kule tuliwasiliana kama wiki Moja tu wiki ya pili akawa hapatikani, nikawa nampigia dada yake akawa ananiambia eti mke wangu kaenda kijiji Cha mbali kununua mahindi na kule mtandao haupo, hali iliendelea hivyo hivyo ikafikia hatua dada mtu akawa hapokei simu zangu na mwisho wa siku naye akawa hapatikani.

Hali ilivyo endelea hivyo ikabidi nimtafute kaka yake, kaka yake naye akamtafuta mama Yao akamueleza, kaka yake ndo akaja kunipa taarifa eti mke wangu aliolewa mbeya na nilimpa talaka na nilikuwa nampiga sana Kwa kumtuhumu yule mtoto siyo wangu, nilichoka sana dada yangu, Mimi yule mwanamke sijawahi hata kumgusa hata Kwa Kofi la bahati mbaya na yule mtoto nilikuwa na uhakika asilimia mia ni wangu,na kibaya zaidi aliwaambia mtoto yule siyo wakwangu eti kaona Bora mtoto akalelewe na baba yake,

Mpaka muda huu hakuna hata ndugu yangu anaye jua Hali hii ninayo pitia Kwa Sasa na naona hata aibu kumweleza mtu, bado nahisi ni ndoto mpaka muda huu japo imepita miezi mitanok

Hii hadithi haina muendelezo yaani mke wako anaenda kuwa mke wa mwanaume mwingine,(kuolewa), halafu inaishia hivyo hivyo, wapi mshenga, wajomba na marafiki wa karibu wa upande wa mwanaume
Huo ni utapeli wa kupunguza shida za maisha,kwanza huenda huyo aloolewa nae wazazi wanamjua ndoo maana ushirikiano umekuwa next level
 
Usimng'ang'anie mwanamke ambaye hakutaki utaumia
 
Sorry.Nje ya uzi.Hivi,bastola inauzwa shilingi ngapi za kitanzania?
NB;Futa mipaka yote ya Ngorongoro. Anza upya.
 
.

Wakuu nilikuwa naishi na huyu mke wangu, ilikuwa imetimia miaka 4 tayari, kwao walikuwa wananijua na kwetu wanamjua vizuri, alivyo maliza kulea mtoto mwaka juzi tukashauriana ajifunze masuala ya saluni Ili badaye nije nimfungulie duka la vipodozi na saluni hapo hapo Kwa maana Mimi ni fundi gereji.

Mwezi wa 12 mwaka Jana alimaliza kujifunza masuala ya saluni akawa ameshajua Kila kitu, tukashauriana mwezi wa tatu mwaka huu aende Kwa dada yake sumbawanga Ili anunue mahindi Ili tuje tuyauze mwezi wa 11 mwaka huu Ili tufungue Biashara yetu ya saluni na duka, nilimpa milioni mbili na laki 6, na gunia Moja kule ilikuwa ni elfu 25 kipindi kile hivyo nikajua tutanunua gunia nyingi halafu tukija kuuza hata Kwa elfu 70 tutapata Hela nyingi.

Alivyo fika kule tuliwasiliana kama wiki Moja tu wiki ya pili akawa hapatikani, nikawa nampigia dada yake akawa ananiambia eti mke wangu kaenda kijiji Cha mbali kununua mahindi na kule mtandao haupo, hali iliendelea hivyo hivyo ikafikia hatua dada mtu akawa hapokei simu zangu na mwisho wa siku naye akawa hapatikani.

Hali ilivyo endelea hivyo ikabidi nimtafute kaka yake, kaka yake naye akamtafuta mama Yao akamueleza, kaka yake ndo akaja kunipa taarifa eti mke wangu aliolewa mbeya na nilimpa talaka na nilikuwa nampiga sana Kwa kumtuhumu yule mtoto siyo wangu, nilichoka sana dada yangu, Mimi yule mwanamke sijawahi hata kumgusa hata Kwa Kofi la bahati mbaya na yule mtoto nilikuwa na uhakika asilimia mia ni wangu,na kibaya zaidi aliwaambia mtoto yule siyo wakwangu eti kaona Bora mtoto akalelewe na baba yake,

Mpaka muda huu hakuna hata ndugu yangu anaye jua Hali hii ninayo pitia Kwa Sasa na naona hata aibu kumweleza mtu, bado nahisi ni ndoto mpaka muda huu japo imepita miezi mitano.
Mbeya sehemu Gani tukamkamate Ili arudishe pesa za watu
 
Wa kazi gani hao washenga?!.. aendelee na maisha yake,mshikaji wangu alioa mke, mzuri kwelikweli,kumbe alikua mke wa mtu
Kwakifupi hakuoa, hapa tunajaribu kubadilishana uzoefu na ndiyo maana labda kaja kwenye jamvi letu hapa jf
 
Wanawake wameshtuka nao sikuhizi full kuwaliza....endeleeni kuumizana
Is not fun , ndio maanq this year pekee matukio ya ukatili kwa wanawake yameongezeka, unafikir ni kawaida nope

Yah wapo wanaume wajinga but si wote. Wanawake wajitahid kuangalia na unaemtendea hayo je anastahili?

Hii kitu imaleta mpasuko kwenye jamii
 
Si umesikia mke kasema mwana si wake
Huo ni uongo wa mwanamke. Huyo mwanamke kadanganya vingi kutimiza haja zake. Je, unamuamini muongo?
Huyu mwamba amesema ana uhakika mtoto ni wake.
Anapaswa kujiridhisha hata kwa vipimo kuwa mtoto ni wake na achukue majukumu ya kumlea.
 
Is not fun , ndio maanq this year pekee matukio ya ukatili kwa wanawake yameongezeka, unafikir ni kawaida nope

Yah wapo wanaume wajinga but si wote. Wanawake wajitahid kuangalia na unaemtendea hayo je anastahili?

Hii kitu imaleta mpasuko kwenye jamii
Kuumizana kwenye mapenzi kawaida bro...yaan kawaida Sana...kikubwa kutambua thamani yako then unasonga mbele
 
Mpango wa mahindi ulikuwa wako au wa kwake kama yeye ndo alikuwa na mpango huo bas alikuwa na mengi nyuma ya pazia
 
Huo ni uongo wa mwanamke. Huyo mwanamke kadanganya vingi kutimiza haja zake. Je, unamuamini muongo?
Huyu mwamba amesema ana uhakika mtoto ni wake.
Anapaswa kujiridhisha hata kwa vipimo kuwa mtoto ni wake na achukue majukumu ya kumlea.
Itampotezea pesa na muda, aendelee na shughuli zake,kama mtoto wake ataletewa tu,kuna watu hung'ang'ania watoto,mtoto alikua shombe wa kiarabu lakini jamaa aling'ang'ana,mpaka mzee alihoji ikiwa ana akili timamu,ndipo alipokubali siyo wake na kupewa fidia laki nane
 
Back
Top Bottom