Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mleta mada shiki hiki hasa paragraph za mwanzo.Jithibitishie kuwa ameolewa then u move on. Unawezaje kujithibitishia???? Nenda kwao huko sumbawanga kwa wazazi wake ukawasikie mwenyewe badala ya kauli kaka yake. Usipofanya hivyo yakimshinda huko alipo anaweza kurudi akakwambia "nilitekwa Zambia na hukuwahi kunitafuta una roho mbaya sana baba watoto wangu" in her voice.
Ukajiona we ndio mkosaji, ukamsamehe.
Jiridhishe ikibidi nenda hata mbeya unapoambiwa alipo lakini si kwa shari umuone tu inatosha.
But, uki move on ukimpata mwingine usimfungulie saloon, usimtume mahindi kwao hata kama ni iringa. Usimfungulie duka. 🤣🤣🤣🤣
Hajamgusa kwa vibaovvila vingine amegusa na kutinduaKosa lilianzia hapo ambapo hujawahi hata kumgusa, ndio maana anasema mtoto si wako.
Ingekuwa ni mwanamke kafanyiwa hvyo mkekuja kutia huruma hapa.Kuumizana kwenye mapenzi kawaida bro...yaan kawaida Sana...kikubwa kutambua thamani yako then unasonga mbele
🤣🤣🤣🤣😉Ingekuwa ni mwanamke kafanyiwa hvyo mkekuja kutia huruma hapa.
Kumbe huyu jamaa kiazi hivi anatupanga humu.Wewe ni shot ya umeme 😂😂
Nefukuzwa kwenye jumba(ghorofa)langu la Mbweni na mke wangu kisa kuibiwa milioni 10 jana
Hawa wanawake bwana sijui wapoje aisee sijui mgnga wao yuko wapi sijui amekufa au nae amerogwa maan haiwezekani wakati namuoa mke wangu hili jumba langu yeye amelikuta la milioni 200 halafu eti kisa mimi nimepoteza hela za mboga tu vijisenti ndiyo amehamaki na kuamua kunifukuza nyumbani kwenye...www.jamiiforums.com
"Umemuacha mama nyumbani, umeacha madogo,.
Wakuu nilikuwa naishi na huyu mke wangu, ilikuwa imetimia miaka 4 tayari, kwao walikuwa wananijua na kwetu wanamjua vizuri, alivyo maliza kulea mtoto mwaka juzi tukashauriana ajifunze masuala ya saluni Ili badaye nije nimfungulie duka la vipodozi na saluni hapo hapo Kwa maana Mimi ni fundi gereji.
Mwezi wa 12 mwaka Jana alimaliza kujifunza masuala ya saluni akawa ameshajua Kila kitu, tukashauriana mwezi wa tatu mwaka huu aende Kwa dada yake sumbawanga Ili anunue mahindi Ili tuje tuyauze mwezi wa 11 mwaka huu Ili tufungue Biashara yetu ya saluni na duka, nilimpa milioni mbili na laki 6, na gunia Moja kule ilikuwa ni elfu 25 kipindi kile hivyo nikajua tutanunua gunia nyingi halafu tukija kuuza hata Kwa elfu 70 tutapata Hela nyingi.
Alivyo fika kule tuliwasiliana kama wiki Moja tu wiki ya pili akawa hapatikani, nikawa nampigia dada yake akawa ananiambia eti mke wangu kaenda kijiji Cha mbali kununua mahindi na kule mtandao haupo, hali iliendelea hivyo hivyo ikafikia hatua dada mtu akawa hapokei simu zangu na mwisho wa siku naye akawa hapatikani.
Hali ilivyo endelea hivyo ikabidi nimtafute kaka yake, kaka yake naye akamtafuta mama Yao akamueleza, kaka yake ndo akaja kunipa taarifa eti mke wangu aliolewa mbeya na nilimpa talaka na nilikuwa nampiga sana Kwa kumtuhumu yule mtoto siyo wangu, nilichoka sana dada yangu, Mimi yule mwanamke sijawahi hata kumgusa hata Kwa Kofi la bahati mbaya na yule mtoto nilikuwa na uhakika asilimia mia ni wangu,na kibaya zaidi aliwaambia mtoto yule siyo wakwangu eti kaona Bora mtoto akalelewe na baba yake,
Mpaka muda huu hakuna hata ndugu yangu anaye jua Hali hii ninayo pitia Kwa Sasa na naona hata aibu kumweleza mtu, bado nahisi ni ndoto mpaka muda huu japo imepita miezi mitano.
Shida ni wewe. Mwanamke hata akiwa na elfu 70 tu anakuwa tatizo.
Wakuu nilikuwa naishi na huyu mke wangu, ilikuwa imetimia miaka 4 tayari, kwao walikuwa wananijua na kwetu wanamjua vizuri, alivyo maliza kulea mtoto mwaka juzi tukashauriana ajifunze masuala ya saluni Ili badaye nije nimfungulie duka la vipodozi na saluni hapo hapo Kwa maana Mimi ni fundi gereji.
Mwezi wa 12 mwaka Jana alimaliza kujifunza masuala ya saluni akawa ameshajua Kila kitu, tukashauriana mwezi wa tatu mwaka huu aende Kwa dada yake sumbawanga Ili anunue mahindi Ili tuje tuyauze mwezi wa 11 mwaka huu Ili tufungue Biashara yetu ya saluni na duka, nilimpa milioni mbili na laki 6, na gunia Moja kule ilikuwa ni elfu 25 kipindi kile hivyo nikajua tutanunua gunia nyingi halafu tukija kuuza hata Kwa elfu 70 tutapata Hela nyingi.
Alivyo fika kule tuliwasiliana kama wiki Moja tu wiki ya pili akawa hapatikani, nikawa nampigia dada yake akawa ananiambia eti mke wangu kaenda kijiji Cha mbali kununua mahindi na kule mtandao haupo, hali iliendelea hivyo hivyo ikafikia hatua dada mtu akawa hapokei simu zangu na mwisho wa siku naye akawa hapatikani.
Hali ilivyo endelea hivyo ikabidi nimtafute kaka yake, kaka yake naye akamtafuta mama Yao akamueleza, kaka yake ndo akaja kunipa taarifa eti mke wangu aliolewa mbeya na nilimpa talaka na nilikuwa nampiga sana Kwa kumtuhumu yule mtoto siyo wangu, nilichoka sana dada yangu, Mimi yule mwanamke sijawahi hata kumgusa hata Kwa Kofi la bahati mbaya na yule mtoto nilikuwa na uhakika asilimia mia ni wangu,na kibaya zaidi aliwaambia mtoto yule siyo wakwangu eti kaona Bora mtoto akalelewe na baba yake,
Mpaka muda huu hakuna hata ndugu yangu anaye jua Hali hii ninayo pitia Kwa Sasa na naona hata aibu kumweleza mtu, bado nahisi ni ndoto mpaka muda huu japo imepita miezi mitano.
Tupe kisa hiko mkuuWa kazi gani hao washenga?!.. aendelee na maisha yake,mshikaji wangu alioa mke, mzuri kwelikweli,kumbe alikua mke wa mtu
Mwanamke pekee mwenye huruma na pesa zako ni mama yako mzazi
Anatunywesha (ga) chai huyu 😂😂Kumbe huyu jamaa kiazi hivi anatupanga humu.
Hivi tuliwakosea niniWanawake wameshtuka nao sikuhizi full kuwaliza....endeleeni kuumizana