Mke wangu kafumania SMS za mchepuko, anataka nimpe Tsh. Milioni 1 kumpoza machungu

Mke wangu kafumania SMS za mchepuko, anataka nimpe Tsh. Milioni 1 kumpoza machungu

aisee nikweli Kuna kitu nlikiwaza hapo
Fanya mchakato udukue simu yake! Fanya juu chini ufanye timing ya simu yake/zake japo wengine huwa wanajiongeza kuwa na line ya kificho..
Fanya juu chini upate password za simu yake ingia kila sehemu mpaka kwenye ma faili ya voice chati e.t.c
Usisahau kuleta mrejesho.!

NB; Ukiona mwanamke au hata mwanaume haumii kwa kumfumania mwenzake aiseeh 100% kuna mtu anajipakulia huko pembeni.
 
We mpe tu lakini ukishampa mwambie miezi miwili asikuombe ela ya kula yani hapo ndio umemaliza
 
Fanya mchakato udukue simu yake! Fanya juu chini ufanye timing ya simu yake/zake japo wengine huwa wanajiongeza kuwa na line ya kificho..
Fanya juu chini upate password za simu yake ingia kila sehemu mpaka kwenye ma faili ya voice chati e.t.c
Usisahau kuleta mrejesho.!

NB; Ukiona mwanamke au hata mwanaume haumii kwa kumfumania mwenzake aiseeh 100% kuna mtu anajipakulia huko pembeni.
Sim zake hazina password ila hasa anapeda sana sm ya toch anachat sana na anafuta sana sms anamtoto wa miez5
 
Habari wakuu, mke wangu amekuwa na tabia ya kuchunguza sana simu yangu hasa usiku nikiwa nimelala. Sasa kafuma sms za mchepuko, ni mara ya pili na mara hii mke anataka ili yaishe nimpe Tsh. Milioni 1, anadai mbona huko nje nawapa ila kiukweli sitoi nje pesa.

Mke ni muda sasa miezi kadhaa hana time na mimi hata umuhitaji. Wakuu hii imekaaje, mke kutaka hela akikufumania?
Tena una bahati umeombwa hela, mi mtoto wa mama mkwe atakachotoa ni roho yake.

Toa hiyo M, hukutumwa ukachepuke. Hiyo ndiyo njia aliyochagua kupoza machungu yake, toa bila shuruti.
 
Habari wakuu, mke wangu amekuwa na tabia ya kuchunguza sana simu yangu hasa usiku nikiwa nimelala. Sasa kafuma sms za mchepuko, ni mara ya pili na mara hii mke anataka ili yaishe nimpe Tsh. Milioni 1, anadai mbona huko nje nawapa ila kiukweli sitoi nje pesa.

Mke ni muda sasa miezi kadhaa hana time na mimi hata umuhitaji. Wakuu hii imekaaje, mke kutaka hela akikufumania?
Kitendo cha mke wako kuchunguza simu yako hiyo ni ishara kuwa anakupenda sana na pia kukubali kuzaa na wewe pia ni upendo maana kama usingekuwa anakupenda asingekubali kuzaa na wewe.Hapo nachoona mke wako kapoteza hisia na wewe ni kwasababu ya huwa unamcheat sio kwasababu anahitaji sana pesa hiyo ametumia kama tu imliwaze kiaina.Nini kifanyike ili mke wako arudishe hisia zake kwako tena?

Kwanza unatakiwa umuombe mke wako msamaha wa dhati ubaki njia kuu achana na kuchepuka na uoneshe kwa vitendo kuwa umeacha hiyo tabia.

La pili jitahidi umuoneshe mke wako upendo kama kumletea zawadi, mtumie ujumbe mzuri hata kama hakujibu uoneshe jinsi gani ana umuhimu kwenye maisha yako,tokanae out mpeleke sehemu nzuri itakayoweza kureflesh akili yake na kumpa amani ya moyo, msifie sana kwa kupendeza au kwa jambo lolote unaloona ni jema amefanya.

NB: Ukifanya hivyo nilivyokushauri kama demu wako hajabadilika ujue hapo kuna njemba pembeni but kwa mwanamke yoyote kwa hivyo vitu lazima hisia zake arudishe eti Nifah Missy Gf mnaonaje
 
Umenikumbusha kisa Cha bwege mmoja mjasiria Mali mdogo. Alikua anamla mke wa mtu kila Mara, siku mwenye Mali akagundua na kwakutumia simu ya mkewe kamtext bwege kwamba wakakutane kwenye pori wanapokulaniana saa mbili usiku. Kweli muda ulipofika bwege kamuaga mkewe kwamba anawahi masjid. Mwenye Mali alishatangulia porini huku amevalia khanga na washkaji zake hawakua mbali. Bwege kukaribia alidhani Ni mke wa jamaa huku mtarimbo ukiwa nyuzi tisini tayari kwa kula Haram. Kufumba na kufumbua wapambe wa mwenye Mali wakamdaka. Walimuambia tunajua una duka. Sasa hapa Ni mawili, twende kwako ukatupe milioni kumi mbele ya mke wako au tuendelee na plan B.
Bwege kaona Bora kutoa pesa kuliko hii plan B. Basi wakaenda nyumbani kwa bwege kuchukua milioni kumi kiulaini na kuondoka. Huku nyuma mke wa bwege naye kachukua milioni kumi na kurudi kwao na watoto.
Sasa hivi bwege kafilisika hata mtoto mdogo anaweza kumtuma bangi.
 
Don't entertain mediocre LIFE.
Jaribu kuwa na cleanest LIFE style

Mfano anakuomba pesa I million Ila, kesho usipo quit hiyo tabia haya mambo yanaweza kutokea

Kuua ndoa (divorce)
Magonjwa (HIV/AIDS)
Negativity 24/7 (mikosi)

Watoto kukosa malezi bora yenye msingi imara.

Ushauri
Try to quit UZINZI
Muheshimu mkeo
Revive ur marriage (Ifufue ndoa yako)

Stop to entertain negativity .✊🏿
Huu ndio ushauri bora ufuatwe, tatizo letu vijana tunadhani kufanya fanya uzinzi ni ujanja ila in reality ni upuuzi hasa ukishakuwa nafamilia. Upuuzi wa baba au mama unaenda kupelekea matatizo ya kimalezi kwa watoto wasio na hatia.

NB: ndugu mtoa mada, ndoa yako hadi sasa inapumulia mipira, amekufumania mara mbili now hana hisia na wewe and then anataka faini ya million moja.

Hii inamaanisha kwamba anataka awe na uchumi wake kwanza kabla hajafanya maamuzi yake anayotaka kufanya, she is very smart. Na akianza kuingiza Mia mbili Mia tatu consistently basi atakusumbua sana kwasababu hutambabaisha kwa lolote coz kama pesa za kula na kujilipia kodi mwenyewe anazo so muda amabao wewe utakua ndio umemaliza mambo ya uzinzi sasa unataka utulie na mkeo yeye ndio atakua anaanza so technically ni atakubuluza coz hautakua na maamuzi kwakua wewe ndio uliyeuanzisha huo mchezo.
 
Habari wakuu, mke wangu amekuwa na tabia ya kuchunguza sana simu yangu hasa usiku nikiwa nimelala. Sasa kafuma sms za mchepuko, ni mara ya pili na mara hii mke anataka ili yaishe nimpe Tsh. Milioni 1, anadai mbona huko nje nawapa ila kiukweli sitoi nje pesa.

Mke ni muda sasa miezi kadhaa hana time na mimi hata umuhitaji. Wakuu hii imekaaje, mke kutaka hela akikufumania?
kataaa acha usenge
 
Kitendo cha mke wako kuchunguza simu yako hiyo ni ishara kuwa anakupenda sana na pia kukubali kuzaa na wewe pia ni upendo maana kama usingekuwa anakupenda asingekubali kuzaa na wewe.Hapo nachoona mke wako kapoteza hisia na wewe ni kwasababu ya huwa unamcheat sio kwasababu anahitaji sana pesa hiyo ametumia kama tu imliwaze kiaina.Nini kifanyike ili mke wako arudishe hisia zake kwako tena?

Kwanza unatakiwa umuombe mke wako msamaha wa dhati ubaki njia kuu achana na kuchepuka na uoneshe kwa vitendo kuwa umeacha hiyo tabia.

La pili jitahidi umuoneshe mke wako upendo kama kumletea zawadi, mtumie ujumbe mzuri hata kama hakujibu uoneshe jinsi gani ana umuhimu kwenye maisha yako,tokanae out mpeleke sehemu nzuri itakayoweza kureflesh akili yake na kumpa amani ya moyo, msifie sana kwa kupendeza au kwa jambo lolote unaloona ni jema amefanya.

NB: Ukifanya hivyo nilivyokushauri kama demu wako hajabadilika ujue hapo kuna njemba pembeni but kwa mwanamke yoyote kwa hivyo vitu lazima hisia zake arudishe eti Nifah Missy Gf mnaonaje
Jeraha la Moyo haliponywi kwa Zawadi
 
Habari wakuu, mke wangu amekuwa na tabia ya kuchunguza sana simu yangu hasa usiku nikiwa nimelala. Sasa kafuma sms za mchepuko, ni mara ya pili na mara hii mke anataka ili yaishe nimpe Tsh. Milioni 1, anadai mbona huko nje nawapa ila kiukweli sitoi nje pesa.

Mke ni muda sasa miezi kadhaa hana time na mimi hata umuhitaji. Wakuu hii imekaaje, mke kutaka hela akikufumania?
Unaishi na dalali kiufupi
 
Kama ya kuchepuka ipo kwa nini na yeye asitake hela ya bure
Kama milioni unaiona kubwa maana yake hauna hela,sasa huna hela nguvu ya kuchepuka inatoka wapi
 
Si uliangalia Nyashi na kukojolea pazuri? Pambana na hali yako, ila vijana mtafika mmechoka sana. Kiuchumi tunasema you calculate the cost to pay the price.
 
Mpe 2,millions ya msamaha[1m] na yakutorudia kosa [1m].
 
Huna mke hapo kiongozi, kurupuka kabla hakujakucha.

Hallelujah!!!
 
Back
Top Bottom