Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,418
- 5,257
Kusoma kazi mkuu,hata picha tu huoni?Huyo manzi ako yupo kimkakati balaa,wenzio tuna wake wapigaji ila huyo wako kiboko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 Murife runHabari wakuu, mke wangu amekuwa na tabia ya kuchunguza sana simu yangu hasa usiku nikiwa nimelala. Sasa kafuma sms za mchepuko, ni mara ya pili na mara hii mke anataka ili yaishe nimpe Tsh. Milioni 1, anadai mbona huko nje nawapa ila kiukweli sitoi nje pesa.
Mke ni muda sasa miezi kadhaa hana time na mimi hata umuhitaji. Wakuu hii imekaaje, mke kutaka hela akikufumania?
Itakuwa kila akitaka Hela atapekua simu yako ili alianzishe , umwangukie akupige Hela ndefu kama hivyoHabari wakuu, mke wangu amekuwa na tabia ya kuchunguza sana simu yangu hasa usiku nikiwa nimelala. Sasa kafuma sms za mchepuko, ni mara ya pili na mara hii mke anataka ili yaishe nimpe Tsh. Milioni 1, anadai mbona huko nje nawapa ila kiukweli sitoi nje pesa.
Mke ni muda sasa miezi kadhaa hana time na mimi hata umuhitaji. Wakuu hii imekaaje, mke kutaka hela akikufumania?
Zingatia huu ushauriKwa namna anavotanguliza pesa kutatua mambo,
haraka sana fata nyayo za Hakimi, siku si nyingi utalamba joker.
Unasaidiwa.....Ofcoure Hana hisia namim..maana naweza nikakaa kimya mwezi nisimuomne Tendo kumuona atahitaji nae anauchuna Wala hajali Wala nin ndo kwaaza busy na watoto wake
Mkeo ni Gen Z.Habari wakuu, mke wangu amekuwa na tabia ya kuchunguza sana simu yangu hasa usiku nikiwa nimelala. Sasa kafuma sms za mchepuko, ni mara ya pili na mara hii mke anataka ili yaishe nimpe Tsh. Milioni 1, anadai mbona huko nje nawapa ila kiukweli sitoi nje pesa.
Mke ni muda sasa miezi kadhaa hana time na mimi hata umuhitaji. Wakuu hii imekaaje, mke kutaka hela akikufumania?
🙅♂️Mkeo ni Gen Z.
Mpe milioni ili na yeye akahonge kijana wa kumkazaHabari wakuu, mke wangu amekuwa na tabia ya kuchunguza sana simu yangu hasa usiku nikiwa nimelala. Sasa kafuma sms za mchepuko, ni mara ya pili na mara hii mke anataka ili yaishe nimpe Tsh. Milioni 1, anadai mbona huko nje nawapa ila kiukweli sitoi nje pesa.
Mke ni muda sasa miezi kadhaa hana time na mimi hata umuhitaji. Wakuu hii imekaaje, mke kutaka hela akikufumania?
Hiii safi sanaUmenikumbusha kisa Cha bwege mmoja mjasiria Mali mdogo. Alikua anamla mke wa mtu kila Mara, siku mwenye Mali akagundua na kwakutumia simu ya mkewe kamtext bwege kwamba wakakutane kwenye pori wanapokulaniana saa mbili usiku. Kweli muda ulipofika bwege kamuaga mkewe kwamba anawahi masjid. Mwenye Mali alishatangulia porini huku amevalia khanga na washkaji zake hawakua mbali. Bwege kukaribia alidhani Ni mke wa jamaa huku mtarimbo ukiwa nyuzi tisini tayari kwa kula Haram. Kufumba na kufumbua wapambe wa mwenye Mali wakamdaka. Walimuambia tunajua una duka. Sasa hapa Ni mawili, twende kwako ukatupe milioni kumi mbele ya mke wako au tuendelee na plan B.
Bwege kaona Bora kutoa pesa kuliko hii plan B. Basi wakaenda nyumbani kwa bwege kuchukua milioni kumi kiulaini na kuondoka. Huku nyuma mke wa bwege naye kachukua milioni kumi na kurudi kwao na watoto.
Sasa hivi bwege kafilisika hata mtoto mdogo anaweza kumtuma bangi.
Yes nilitaka kujua hilo! Hako kasimu kadogo ndio kana mambo yote!Sim zake hazina password ila hasa anapeda sana sm ya toch anachat sana na anafuta sana sms anamtoto wa miez5
acha mbamba mkuu, mpe hiyo hela yaishe.. kabla hajalipeka mbali ukaingia gharama kubwaHabari wakuu, mke wangu amekuwa na tabia ya kuchunguza sana simu yangu hasa usiku nikiwa nimelala. Sasa kafuma sms za mchepuko, ni mara ya pili na mara hii mke anataka ili yaishe nimpe Tsh. Milioni 1, anadai mbona huko nje nawapa ila kiukweli sitoi nje pesa.
Mke ni muda sasa miezi kadhaa hana time na mimi hata umuhitaji. Wakuu hii imekaaje, mke kutaka hela akikufumania?
Sasa si mahali kabisa hiyo, unachukuwa mwengine tuhMpe hiyo pesa. Maumivu ya kusalitiwa inafaa uyafeel ukiwa japo umevaa hereni za gold jamani😹😹😹
Milioni 1 mahari?? Wazazi wengine ni wema jamani😄Sasa si mahali kabisa hiyo, unachukuwa mwengine tuh
Hili balaa! Bora kubeba malaya!Umenikumbusha kisa Cha bwege mmoja mjasiria Mali mdogo. Alikua anamla mke wa mtu kila Mara, siku mwenye Mali akagundua na kwakutumia simu ya mkewe kamtext bwege kwamba wakakutane kwenye pori wanapokulaniana saa mbili usiku. Kweli muda ulipofika bwege kamuaga mkewe kwamba anawahi masjid. Mwenye Mali alishatangulia porini huku amevalia khanga na washkaji zake hawakua mbali. Bwege kukaribia alidhani Ni mke wa jamaa huku mtarimbo ukiwa nyuzi tisini tayari kwa kula Haram. Kufumba na kufumbua wapambe wa mwenye Mali wakamdaka. Walimuambia tunajua una duka. Sasa hapa Ni mawili, twende kwako ukatupe milioni kumi mbele ya mke wako au tuendelee na plan B.
Bwege kaona Bora kutoa pesa kuliko hii plan B. Basi wakaenda nyumbani kwa bwege kuchukua milioni kumi kiulaini na kuondoka. Huku nyuma mke wa bwege naye kachukua milioni kumi na kurudi kwao na watoto.
Sasa hivi bwege kafilisika hata mtoto mdogo anaweza kumtuma bangi.
"UNAIBIWA''ili yaishe anataka nimpe Tsh. Milioni 1, anadai mbona huko nje nawapa ila kiukweli sitoi nje pesa.