Mke wangu kalipendea nini hili jitu?

Mke wangu kalipendea nini hili jitu?

Hahahahaha lol! Njemba kila ikiona kifua kilichoshiba inakosa amani nyumbani kwake na hii ya mkewe kumwambia akafanye mazoezi ajenge kifua kama cha binamu inazidi kumtia unyonge! Sasa inatafuta mikakati ya kumfukuza njemba kabla haijafanya athari ya kumla mke, mdogo wa mke na beki tatu pia!

Ngoja nicheke kwanza.
 
Hilo jitu linatoka na shemeji yako tu acha uoga mkuu!! Kwa ukaribu unaozungumzia naona kabisa anamvizia huyo mdogo wa mkeo kwaiyo we kua na amani labda tu mkumbushe masharti kadhaa ya muhimu akiwa kwako.
 
Mwache bhanaaaa hawezi kuondoka nayo akikusaidia atakuachia ila mwambie Shemeji akusimulie ilikuaje km watafika muafaka
 
Hahahaha

Ndio uanze kumsaidia mkeo kufua kufagia na kupika

La sivyo "lijitu" linajizolea maksi tu
 
Duuuuh, mwanangu weeee, badilisha ratiba ya kurudi nyumbani kutoka kazini mpaka liondoke, ukizubaa 2,jamaa linaandika historia mpya, Kwani linatoka mkoa gani mkuu?
 
Unaanzaje kumuita mgeni wako "lijitu"? Maadili ya mTz yanaanza kupotea polepole.
Sijaona popote mtu kakukemea juu ya uropokaji wako huo, inamaana wanakusapoti!
Hivi msayansi wa mambo unayoshuku, anaweza kujianika hivyo hadi ukahisi?
Nadhani wife wako ni mtu na nidhamu zake.
Watu huwa wanawekewa pazia usoni na asione, ubaradhuri unafanyika mbele yake.
Wenziyo mambo hayo huyafanya kwa mtindo wa kucheza "game" na wakifunga wanafurahi. Wanaona raha sana kuucheza huo mchezo na wewe ukiwepo. Ukiwa umetoka, wanapumzika hawaufanyi, bali hukusubiri ukiwepo.
Unatengewa chakula, ukianza kula tu, ndo muda mzuri wa kukuvunjia heshima na hauwezi kuhisi, Ama kama ni nje kidogo, hachepuki hadi utaporejea nyumbani ,unaagwa kabisa, kukujengea imani. Unawekewa pazia kwa kutumia common sense za kawaida tu na hauwezi kuhisi lolote.
Nilichotaka kusema ni kwamba, mbaya wako hawezi kuijonesha kama anavojenga mazoea mgeni wako, hata siku moja nakwambia.
Acha kuhisihisi wageni na kuwaita majina ya ajabuajabu eti lijitu.
Udhaifu huo ukiendelea nao, ipo siku utakuja kuchapiwa na mtu unayemwanini na kumuona ni legelege, lofa mchunga ng'ombe.
 
Imenibidi nicheke tu...... Yaani umkaribishe mwenyewe, amani ukose wewe, mke wako, nyumba ni yako[emoji16][emoji16][emoji16].... Pole lkn sasa inabidi uchague moja, uvumilie tu na usubiri maumivu au anza kunyanyua mavyuma ili ujazie kama jamaa... Ila du[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Utavuna mabua ukicheka na nyani!
We una 1 pack lenyewe lina 6 pack! Halafu lipo kind kwa wifee na wanawake tunavyopenda kubembelezwa! Naziona kilometers kadhaa kaku overtake!
 
Wasiwasi Ndio akili.
Mwambie mkeo,Yaani mchane mkeo hali halisi kwa upande wako.
Ni bora alitoe baruti, akimwambia mkewe ndio atazidi kuharibu hata kama hakuwa amefikiria kufanya ndio atafanya kweli... Shida ya mapenzi ya kuzungukana ndani ya nyumba huwa hakuna kutongozana, ni utani utani tu mara mtu anafukunyua mzigo.
 
Hahaahaha nimecheka Sana kumbuka huyo Sio mwanaume wa Dar chukua Hatua DNA Bei mbaya Broh
 
Back
Top Bottom