Mke wangu kalipendea nini hili jitu?

Ushauri mbaya sana
.Je unataka wakauane??kuwa na Huruma.


Jiulize wewe, aje mwanamme ndani ya nyumba yako anashinda anavaa chupi huku akipiga zogo na mkeo bila noma....unafikiri ni nini kinaendelea hapo?
 
Lipeleke kijitu jitu lenyewe si lijitu alafu ww kimtu ila chunga sana meno yako ya balazani
 
LABDA INAWEZEKANA NDO HUYU ushimen
🙁🙁🙁🙁
 
Ukiona manyoya......[emoji28][emoji28]ujue kashaliwa.
 


HAHAHAHAHAHAHAHAHAH NIMECHEKA SANA HY INAITWA INSECURITY HAHAHAHAHAHA KAMA NAMUONA ANAVYOJISHAUA HAHAHAAHAH
 
hivi kweli wewe na pumbu zako 2 unatengeneza sinema ya nyumbani kwako unakuja kuonyesha humu kundini,,,, umeshindwa kabisa kuweka mambo sawa unawahi hapa eti msaada wa haraka unatakiwa... jamani wanaume tunaelekea wapi??? hakika ningekuwa karibu na wewe ningekuzaba makofi..... una vichwa viwili....unashindwa kutumia kimoja kukawa na heshima hapo kwako,,,, mwanaume mwenzio anatembea kifua wazi kwako unashikwa na gubu.... badala ya kumuweka sawa unakimbilia huku....pumbafu sana.....
 
Kaa karibu na mgeni usimwache peke yake ndiyo maana anaona rafiki yake ni mkeo siyo ww.
 
Dah. Namuonea huruma sana mtoa mada... Jamaa huwa linashinda kifua wazi, na wanaangalia muvi na shemela hadi usiku mnene (kifua wazi). Ninachoogopa ni kuwa atawarukia wote...
 
Joto la Dar hajazoea usihofu.😉😉
 
Kuna story ukisoma inabidi ucheke tu kabla ya kucomment, hilo jitu!!
 
Baba na likitambi fanya mazoezi ni mimba ya miezi 9 ya maisha hiyo, Mwanamke/ mwanaume akiwa na tumbo kubwa mbele maisha yote unakuwa na Convex shape
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…