Mke wangu kalipendea nini hili jitu?

Mke wangu kalipendea nini hili jitu?

Waheshimiwa nina mgeni ambae sasa Anaelekea kumaliza wiki akiwa hapa kwangu, ni binamu yangu huwa anaishi mkoani amekuja kwa shughuli zake binafsi, ataondoka atapokamilisha yaliyomleta

Nimewaandikia kwa sababu, Huyu jamaa amenishangaza sana, imagine weekend hii iliyokwisha anashinda na boxer kutwa nzima tena kifua wazi, au kwa sababu amevimba kifua anataka tumwone au?

Mke wangu na house girl wanafua nguo jumamosi asubuhi eti anaenda pale awasaidie kufua, Natoka ndani namuuliza wife mbona mgeni anafua nguo, najibiwa kuwa eti ameomba mwenyewe, hii ni sawa kweli?

Yote tisa, kumi ni Jana, inafikia hatua linamkuta wife jikoni anasonga ugali linaomba limsaidie kusonga ugali, mgeni gani wa namna hii?

Wadau nitumie njia gani kulitimua hili jitu hapo nyumbani? Kabla halijaleta madhara maana mdogo wa mke wangu naona kama yuko nalo karibu sana, pia wife kaniuliza kama mm pia naweza kufanya mazoezi nikawa kama hilo jitu badala ya kitambi, Ingawa alinieleza kwa utani huku tukifurahi na kutaniana ila najiuliza kwa nn aseme sasa wakati hili jitu lipo?

Linakaa hapo sebuleni kwenye video hadi usiku mwingi likiwa na mdogo wa mke wangu bila kujali maadili

Jumapili Nilienda kwenye Bonanza la timu yetu ya veterans narudi nimekuta nyumba nzima hawapo wameenda beach wote pamoja na huyu jamaa

Hivi unaendaje ugenini halaf unaanza kuleta ujuaji wa namna hii?

Wadau msaada wa mawazo unatakiwa haraka
Binamu nimekupata kesho naweza nikaondoka nimekamilisha michakato yangu...anhsanten
 
Wasiwasi Ndio akili.
Mwambie mkeo,Yaani mchane mkeo hali halisi kwa upande wako.
Hsisaidii kama mke keshalizimikia ataliambia lipunguze mazoea wafanye kmya kmya maana mzee keshapata waswas.
 
Wanawake wanapenda watu wa aina hiyo (kusaidiwa shughul ndogondogo za nyumban, outing, utani kidogo mwili wa mazoez n.k). Wewe umejisahau kwa vile umemzoea, jifunze kuwa km hilo lijitu ila ukichelewa litammega mkeo au hata wote na shemejio
 
Plz so plz, evacuate your family before the fire hazard start to consume your house... Kuishi na wageni ni changamoto sana. I hope anafanya hivyo ili asionekane mzigo kwako, bila kujua kuwa anakuboa. Mvumilie tu amalize siku zake hapo then akiondoka usimkaribishe tena... Wivu umekufika hapaa 😀😀😀. Kama nakuona ulivyofura kwa ghadhabu. Macho mekunduu 😱😱
 
Waheshimiwa nina mgeni ambae sasa Anaelekea kumaliza wiki akiwa hapa kwangu, ni binamu yangu huwa anaishi mkoani amekuja kwa shughuli zake binafsi, ataondoka atapokamilisha yaliyomleta

Nimewaandikia kwa sababu, Huyu jamaa amenishangaza sana, imagine weekend hii iliyokwisha anashinda na boxer kutwa nzima tena kifua wazi, au kwa sababu amevimba kifua anataka tumwone au?

Mke wangu na house girl wanafua nguo jumamosi asubuhi eti anaenda pale awasaidie kufua, Natoka ndani namuuliza wife mbona mgeni anafua nguo, najibiwa kuwa eti ameomba mwenyewe, hii ni sawa kweli?

Yote tisa, kumi ni Jana, inafikia hatua linamkuta wife jikoni anasonga ugali linaomba limsaidie kusonga ugali, mgeni gani wa namna hii?

Wadau nitumie njia gani kulitimua hili jitu hapo nyumbani? Kabla halijaleta madhara maana mdogo wa mke wangu naona kama yuko nalo karibu sana, pia wife kaniuliza kama mm pia naweza kufanya mazoezi nikawa kama hilo jitu badala ya kitambi, Ingawa alinieleza kwa utani huku tukifurahi na kutaniana ila najiuliza kwa nn aseme sasa wakati hili jitu lipo?

Linakaa hapo sebuleni kwenye video hadi usiku mwingi likiwa na mdogo wa mke wangu bila kujali maadili

Jumapili Nilienda kwenye Bonanza la timu yetu ya veterans narudi nimekuta nyumba nzima hawapo wameenda beach wote pamoja na huyu jamaa

Hivi unaendaje ugenini halaf unaanza kuleta ujuaji wa namna hii?

Wadau msaada wa mawazo unatakiwa haraka
Hahahaaaa!! Litimue hilo jitu,
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] miss chaga unaongea kwa confidence inaonekana una evidence ya mzee m1 wapo wa kutengeneza mazngra tyar ashawah kutengeneza mazngra akakulamba[emoji23] [emoji23] [emoji23]. Eti "hawatongozagi hao" [emoji28] [emoji28]. Hii ni evidence tosha miss chaga wetu tayar ishamkuta[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji23] [emoji23] [emoji23].
Ndukiii [emoji125] [emoji125] [emoji125]. Manake nkikaa hapa miss chaga ataniua nlivomtobolea siri yke[emoji12] [emoji12]
halafu wewe kuna sehemu anakuzidi akili unalika bure aisee inauma balaa mbaya zaidi hajakutongoza aisee acha tu .. ni me namsaidia mtoa mada jamaa wa hivyo huwa hawatongozi mkeo atalika kiutani kama vile kutembelea ganda la ndizi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mh we kuwa Mjanja kimaongezi mara kwa mara muulize mh hivi ulisema unaondoka kesho vile!!?! Ukibadili maongezi muulize mkeo ushaandaa chakula mapema pengine mgeni anaondoka leo asije akachelewa usafili!!!!
 
halafu wewe kuna sehemu anakuzidi akili unalika bure aisee inauma balaa mbaya zaidi hajakutongoza aisee acha tu .. ni me namsaidia mtoa mada jamaa wa hivyo huwa hawatongozi mkeo atalika kiutani kama vile kutembelea ganda la ndizi
Duuuh [emoji15] [emoji15] [emoji15] mwambie bhna ata we ulijikuta tu tyar umelika [emoji12] [emoji12]. Mwambie afuate ushauri wko manake unamwambia yalokukuta kwa hali kama hyo [emoji28] [emoji28] [emoji28]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Kama mkeo amekwambia uafanye mazoezi uwe kama hilo jitu na kupunguza kitambi ina maana anapenda miili kama hiyo, hapendi watu wenye kitambi na miili uzembe maana kuna baadhi ya majukumu wanaishia njiani. Chukua hatua mapema, amefikisha ujumbe kiutu uzima.
 
Fanya mazoezi kitambi kinabomoa hakijengi afya.
 
Duuuh [emoji15] [emoji15] [emoji15] mwambie bhna ata we ulijikuta tu tyar umelika [emoji12] [emoji12]. Mwambie afuate ushauri wko manake unamwambia yalokukuta kwa hali kama hyo [emoji28] [emoji28] [emoji28]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
ha hahaha kweli yani awe makini
 
Mkuu huki jui limevimba,lichunguze na chini kama limevimba pia,hili jitu ndio wale wamefili waliokuwaga zamani sana kabla ya gharika,ni hatari sana linaweza kumpa mtu mkuyenge,shauri yako
 
Acha roho mbaya mkuu. Acha kumchukia jaribu kumzoea uwe karibu nae wewe kwanza kama mwanaume, kutoka nae na mambo mengine. Inaonekana wewe mwanaume mwenzie haupo karibu nae ndo mana anakuwa karibu na watu wengine walie karibu nae.
Kuhusu kusaidia kazi hata mimi nikienda kwa mtu siwezi kujitia ubosi kila kitu nifanyiwe. Ishi na mtu kwa faida hata kama mtu hatazamii wewe kufanya shughuli yoyote.
 
Back
Top Bottom