Mke wangu kalipendea nini hili jitu?

Mke wangu kalipendea nini hili jitu?

Kama braza ake haumuintateini afanyaje. Si bora atafute kampani ya wanawake. Umempuuza ndiyo maana yuko karibu na my wife wako na wanawake.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jitu linakukosesha amani
 
Lijitu limeleta balaa nyumbani kwa binamu na dalili za kupiga mashine bure kwisha onekana
 
Mkuu blv me ukilifukuza, kesho yk wife atakuambia nataka niende kwenu kusalimia[emoji12] [emoji12] [emoji12] .
au ka vip acha kupeleka matumizi uone km litatoka kwenda kutafta. Ukiona linahudumia liulize hiv Mzee unaijua segerea?
 
hapana mambo ya aibu unabaki nayo mwenyewe
[emoji28] [emoji28] [emoji28] aya bhna. Naomba na mm nje nkutembelee cku moja maana nna kauzoefu kdgo[emoji12] [emoji12]. Ntakua mdogo wko upande wa mjomba wako wa kule boma ng'ombe [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hilo jitu ni la kufukuza tu litalamba asali yako hivi punde
 
Waheshimiwa nina mgeni ambae sasa Anaelekea kumaliza wiki akiwa hapa kwangu, ni binamu yangu huwa anaishi mkoani amekuja kwa shughuli zake binafsi, ataondoka atapokamilisha yaliyomleta

Nimewaandikia kwa sababu, Huyu jamaa amenishangaza sana, imagine weekend hii iliyokwisha anashinda na boxer kutwa nzima tena kifua wazi, au kwa sababu amevimba kifua anataka tumwone au?

Mke wangu na house girl wanafua nguo jumamosi asubuhi eti anaenda pale awasaidie kufua, Natoka ndani namuuliza wife mbona mgeni anafua nguo, najibiwa kuwa eti ameomba mwenyewe, hii ni sawa kweli?

Yote tisa, kumi ni Jana, inafikia hatua linamkuta wife jikoni anasonga ugali linaomba limsaidie kusonga ugali, mgeni gani wa namna hii?

Wadau nitumie njia gani kulitimua hili jitu hapo nyumbani? Kabla halijaleta madhara maana mdogo wa mke wangu naona kama yuko nalo karibu sana, pia wife kaniuliza kama mm pia naweza kufanya mazoezi nikawa kama hilo jitu badala ya kitambi, Ingawa alinieleza kwa utani huku tukifurahi na kutaniana ila najiuliza kwa nn aseme sasa wakati hili jitu lipo?

Linakaa hapo sebuleni kwenye video hadi usiku mwingi likiwa na mdogo wa mke wangu bila kujali maadili

Jumapili Nilienda kwenye Bonanza la timu yetu ya veterans narudi nimekuta nyumba nzima hawapo wameenda beach wote pamoja na huyu jamaa

Hivi unaendaje ugenini halaf unaanza kuleta ujuaji wa namna hii?

Wadau msaada wa mawazo unatakiwa haraka
Ha ha ha ha msala unao
 
Kwangu mimi huyo ni malaika aliyetumwa kwako ili ujifunze kabla mambo hayajaharibika.Ninashukuru UTAKUWA umejifunza mambo yafuatayo;
1.Ukaribu na familia yako NI MUHIMU kuliko shughuli zako za kwenye mabonanza;
2.Kitambi sio dili
3.Kitoa out familia ni jambo muhimu sana
4.Ndugu zako wanahitaji ukaribu zaidi kuliko huduma za chakula na vitu vingine

Mshukuru kwa ujio wake badala ya kumfukuza

Nawasilisha.
 
Waheshimiwa nina mgeni ambae sasa anaelekea kumaliza wiki akiwa hapa kwangu, ni binamu yangu huwa anaishi mkoani amekuja kwa shughuli zake binafsi, ataondoka atapokamilisha yaliyomleta.

Nimewaandikia kwa sababu, huyu jamaa amenishangaza sana, imagine weekend hii iliyokwisha anashinda na boxer kutwa nzima tena kifua wazi, au kwasababu amevimba kifua anataka tumwone au?

Mke wangu na house girl wanafua nguo Jumamosi asubuhi eti anaenda pale awasaidie kufua, natoka ndani namuuliza wife mbona mgeni anafua nguo, najibiwa kuwa eti ameomba mwenyewe, hii ni sawa kweli?

Yote tisa, kumi ni Jana, inafikia hatua linamkuta wife jikoni anasonga ugali linaomba limsaidie kusonga ugali, mgeni gani wa namna hii?

Wadau nitumie njia gani kulitimua hili jitu hapo nyumbani? Kabla halijaleta madhara maana mdogo wa mke wangu naona kama yuko nalo karibu sana, pia wife kaniuliza kama mimi pia naweza kufanya mazoezi nikawa kama hilo jitu badala ya kitambi, ingawa alinieleza kwa utani huku tukifurahi na kutaniana ila najiuliza kwanini aseme sasa wakati hili jitu lipo?

Linakaa hapo sebuleni kwenye video hadi usiku mwingi likiwa na mdogo wa mke wangu bila kujali maadili.

Jumapili nilienda kwenye Bonanza la timu yetu ya veterans narudi nimekuta nyumba nzima hawapo wameenda beach wote pamoja na huyu jamaa.

Hivi unaendaje ugenini halafu unaanza kuleta ujuaji wa namna hii?

Wadau msaada wa mawazo unatakiwa haraka.


Kuwa mwanaume ni kazi, Hivi unashindwa nini kumwambia yote uliyotuambia hapa? Print hii karatasi yake, tafuta maneno yenye ustaha mfikishie ujumbe. Hapa ndipo wazungu wanapotushindia, kuwa muwazi.
 
Waheshimiwa nina mgeni ambae sasa Anaelekea kumaliza wiki akiwa hapa kwangu, ni binamu yangu huwa anaishi mkoani amekuja kwa shughuli zake binafsi, ataondoka atapokamilisha yaliyomleta

Nimewaandikia kwa sababu, Huyu jamaa amenishangaza sana, imagine weekend hii iliyokwisha anashinda na boxer kutwa nzima tena kifua wazi, au kwa sababu amevimba kifua anataka tumwone au?

Mke wangu na house girl wanafua nguo jumamosi asubuhi eti anaenda pale awasaidie kufua, Natoka ndani namuuliza wife mbona mgeni anafua nguo, najibiwa kuwa eti ameomba mwenyewe, hii ni sawa kweli?

Yote tisa, kumi ni Jana, inafikia hatua linamkuta wife jikoni anasonga ugali linaomba limsaidie kusonga ugali, mgeni gani wa namna hii?

Wadau nitumie njia gani kulitimua hili jitu hapo nyumbani? Kabla halijaleta madhara maana mdogo wa mke wangu naona kama yuko nalo karibu sana, pia wife kaniuliza kama mm pia naweza kufanya mazoezi nikawa kama hilo jitu badala ya kitambi, Ingawa alinieleza kwa utani huku tukifurahi na kutaniana ila najiuliza kwa nn aseme sasa wakati hili jitu lipo?

Linakaa hapo sebuleni kwenye video hadi usiku mwingi likiwa na mdogo wa mke wangu bila kujali maadili

Jumapili Nilienda kwenye Bonanza la timu yetu ya veterans narudi nimekuta nyumba nzima hawapo wameenda beach wote pamoja na huyu jamaa

Hivi unaendaje ugenini halaf unaanza kuleta ujuaji wa namna hii?

Wadau msaada wa mawazo unatakiwa haraka

[emoji115][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji30]
 
Katika vitu tunavyozingatia wanaume Katika kuoa ni Mke atakayependa ndugu zako lakini kwako nao ni kinyume kabisa....
 
Back
Top Bottom