Nilitegemea post kama hii. Ngoja nicheki kama kuna aliyejifanya wife wa jamaa pia.Binam.....
Hivi ndio mambo gani ya kuja kunianika huku jf....[emoji45] [emoji45]
Kama uliona nakukera, kwanini haukuniambia tukiwa nyumbani, kuliko kunileta huku mitandaoni..[emoji25] [emoji25]
Basi sawa.
Leo ukirudi toka kazini, hauto nikuta hapa nyumbani kwako. Na nikifika kijijini nitamueleza shanga ambae ni mama yako, kwa yote haya ulivyo nitendea
Hahahaah mkuu weweeeeeee lol eti kama limevimba na chini duhhhhhhhhhhh!Mkuu huki jui limevimba,lichunguze na chini kama limevimba pia,hili jitu ndio wale wamefili waliokuwaga zamani sana kabla ya gharika,ni hatari sana linaweza kumpa mtu mkuyenge,shauri yako
Mate Kitambi sioooo[emoji23]Yaani nimecheka jamani!!!
Si ufanye tu mazoezi.
Cc Edoc [emoji23] [emoji23]Waheshimiwa nina mgeni ambae sasa anaelekea kumaliza wiki akiwa hapa kwangu, ni binamu yangu huwa anaishi mkoani amekuja kwa shughuli zake binafsi, ataondoka atapokamilisha yaliyomleta.
Nimewaandikia kwa sababu, huyu jamaa amenishangaza sana, imagine weekend hii iliyokwisha anashinda na boxer kutwa nzima tena kifua wazi, au kwasababu amevimba kifua anataka tumwone au?
Mke wangu na house girl wanafua nguo Jumamosi asubuhi eti anaenda pale awasaidie kufua, natoka ndani namuuliza wife mbona mgeni anafua nguo, najibiwa kuwa eti ameomba mwenyewe, hii ni sawa kweli?
Yote tisa, kumi ni Jana, inafikia hatua linamkuta wife jikoni anasonga ugali linaomba limsaidie kusonga ugali, mgeni gani wa namna hii?
Wadau nitumie njia gani kulitimua hili jitu hapo nyumbani? Kabla halijaleta madhara maana mdogo wa mke wangu naona kama yuko nalo karibu sana, pia wife kaniuliza kama mimi pia naweza kufanya mazoezi nikawa kama hilo jitu badala ya kitambi, ingawa alinieleza kwa utani huku tukifurahi na kutaniana ila najiuliza kwanini aseme sasa wakati hili jitu lipo?
Linakaa hapo sebuleni kwenye video hadi usiku mwingi likiwa na mdogo wa mke wangu bila kujali maadili.
Jumapili nilienda kwenye Bonanza la timu yetu ya veterans narudi nimekuta nyumba nzima hawapo wameenda beach wote pamoja na huyu jamaa.
Hivi unaendaje ugenini halafu unaanza kuleta ujuaji wa namna hii?
Wadau msaada wa mawazo unatakiwa haraka.
Umeeleza kwa uzoefu sana,vipi yamewahi kukuta nini Cc miss chaggaha hahahahaha kwanza hilo jitu lisipomgonga wife wako basi wengine wenye mwonekano wa hilo jitu watamla, fanya mazoezi ya kutafuta pesa kwa bidiii zaidi achana na likifua ila piga mazoezi kishikaji usipate magonjwa....
hilo lijitu liambie liache mazoea na wife hawa tunawaita wazee wa kutengeneza mazingira anaweza kuwagonga wote wa kike humo ndani kiutani utani tu kuwa makini... huwa hawatongozi yani ..
kama unaweza liambie hilo jitu lisepe tu mazoea hutaki jitu kubwa
Acha tu mkuu,jitu limeshiba halafu linajali balaa,na navojua wadada wanavojiachiaga wakiwa wanapika,hakija jitu hili linafaidi
Silaha zipo, pia mwanaume lazima uwe mkakamavu Mahondaw.
Mkuu MFALME HATAMBIWI KWENYE HIMAYA YAKEWaheshimiwa nina mgeni ambae sasa anaelekea kumaliza wiki akiwa hapa kwangu, ni binamu yangu huwa anaishi mkoani amekuja kwa shughuli zake binafsi, ataondoka atapokamilisha yaliyomleta.
Nimewaandikia kwa sababu, huyu jamaa amenishangaza sana, imagine weekend hii iliyokwisha anashinda na boxer kutwa nzima tena kifua wazi, au kwasababu amevimba kifua anataka tumwone au?
Mke wangu na house girl wanafua nguo Jumamosi asubuhi eti anaenda pale awasaidie kufua, natoka ndani namuuliza wife mbona mgeni anafua nguo, najibiwa kuwa eti ameomba mwenyewe, hii ni sawa kweli?
Yote tisa, kumi ni Jana, inafikia hatua linamkuta wife jikoni anasonga ugali linaomba limsaidie kusonga ugali, mgeni gani wa namna hii?
Wadau nitumie njia gani kulitimua hili jitu hapo nyumbani? Kabla halijaleta madhara maana mdogo wa mke wangu naona kama yuko nalo karibu sana, pia wife kaniuliza kama mimi pia naweza kufanya mazoezi nikawa kama hilo jitu badala ya kitambi, ingawa alinieleza kwa utani huku tukifurahi na kutaniana ila najiuliza kwanini aseme sasa wakati hili jitu lipo?
Linakaa hapo sebuleni kwenye video hadi usiku mwingi likiwa na mdogo wa mke wangu bila kujali maadili.
Jumapili nilienda kwenye Bonanza la timu yetu ya veterans narudi nimekuta nyumba nzima hawapo wameenda beach wote pamoja na huyu jamaa.
Hivi unaendaje ugenini halafu unaanza kuleta ujuaji wa namna hii?
Wadau msaada wa mawazo unatakiwa haraka.
Siku akisikia jamaa kamla wife wake sijui...
acha basiUmeeleza kwa uzoefu sana,vipi yamewahi kukuta nini Cc miss chagga
Atakuta manyoya tu watu washanyonyoaSiku akisikia jamaa kamla wife wake sijui...
Nasubiri mrejesho hapa jamvini. Lakini wanawake mna mateso kiaina sasa kweli uko busy na lijitu wakati mwenzi wako kimbaumbau si ni kumuharibu kisaikolojia.Atakuta manyoya tu watu washanyonyoa