Mke wangu kanifanya nianze kupiga punyeto na sasa siwezi tena kuacha

Duh

Mkuu omba toba kwa Mungu kwa kutosimama kwenye nafasi yako kama kichwa.

Au mnakuwa mmelogwa?

How comes?

Uwiii Mungu atusaidie
 
Blaza fukuza huyo ng'ombe arudi kwao... Hizo nidharau na atakuua pia. Na ukipata pesa kula na watoto na michepuko huyo achana nae
Siku hizi tukifukuzwa haturudi kwetu

Turudi ili tuchekwe

Tunabanana hapa hapa mjini

Tunakutana viwanja tu kama kwa Juliana na Samaki samaki

Sasa tukirudi home hizi bata za mjini tunamwachia nani


It is a joke mkuu


Hahahahahahahahaha
Alisikika akisema wifi yetu anayemnyima jamaa unyumba
 
Ku
Kujichukukia sheria mkononi si sahihi...na ndiyo maana Mwenyezi Mungu aliumba mwanamke na Mwanaume.

Huwezi kupata amani ya roho baada ya kujichua...na huna hiyo amani kiasi umekuja huku kuitafuta.

Kaa na mkeo myamalize...mkunyeto si jambo jema litazidi kukuletea msongo wa mawazo na hatimaye magonjwa na kifo cha mapema.
 
hizi hadithi chafu zokome!! Nchi yetu ni nchi Takatifu, usituharibie watoto wetu!
 
FUKUZO HIYO MBURUKENGE UJIPIGIE PUNYETO 😀
😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Sifi, naponda raha. Kati ya punyeto na mwanamke kinachoua mapema zaidi ni mwanamke.
 
Umeongea kwa hisia daah!! Sema kujichua Kuna madhara sana aloo!!
 
Mimi bado naamini, ni mpaka yanikute ndio nitaacha kuamini.

Kenge tena hasikii, mpaka damu zitoke masikioni, huyu mtoto wa mama mkwe akinipiga tukio ndio nitaamini[emoji23]
Daaah![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duh

Mkuu omba toba kwa Mungu kwa kutosimama kwenye nafasi yako kama kichwa.

Au mnakuwa mmelogwa?

How comes?

Uwiii Mungu atusaidie
I hope your hubby enjoys,
Otherwise ninyi watu mwanamme asipokua na busara unaweza pata madhara
 
hayo mambo yasikieni tu kwa wengine lakini mijanamke kama hiyo ndio ile kabla ya ndoa ilikuwa inalazimisha sana kuolewa...nilicho jifunza kwenye haya maisha mtu akiniomba kitu simpi ng'oo....hawa mademu wanatuomba ndoa unaamua kwa upendo kuwapa heshima ya ndoa mkishaoana tu wanaanza kuonyesha rangi yao halisi
 
ulivyokua na hela zako, ulikua unamichepuko sana ww hisia zilikataga kitambo sana, saa hz ndo zimeisha kabisa maana umekwisha kajamba nani, mchepuko upi utakutaka saa hz?

Sasa na mm nimekupatia sait najua huchomoki hapa. na naonaumeyaleta huku Jf.

Pole sana maana hakuna atakaekushauri cha maana, nikikuacha hutaweza kulea hawa watoto
 
🤣🤣
....ni kama nguvu za kike zipo kwenye pesa!!!

“My wife ain’t gonna make love to me if I got no money!”
— Eddie Murphy
 
Unalaza 80K kwa siku na bado umeshindwa kufanya marekebisho ya gari lako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…